Taratibu nchi za ulaya zimeanza kukubaliana na utaratibu wa manunuzi ya gesi kwa mfumo wa rubble. Slovakia yawa ya kwanza kukubali

Dawa yake ipo Kwa kiatu yake🏃
 

Hata France pia alikataa
 
USA akiamua chimba mafuta yake hizo nchi zitaumia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
maelezo mengi hlf ukaitaja slovakia tu , hata nikuuliza mara ngap umewai litaja neno slovakia haizid mara 5 , sasa unaitumiaje iwe kama kielelezo cha ulaya wakati ni nchi iliyo na mshikamano na Urusi hata kabla ya vita hii ya uvamizi ndani ya ukraine , ebu jiheshimu haupo kijiwe na urojo aseee
 
Nachokiona very soon kila mwenye chake atadai kulipwa kwa hela yake. Waarabu na mafuta yao wanasikilizia tu

Anguko la dollar liko pale pale
tsh itanyanyuka lin ?
 
Swaumu imekaza hadi dishi linayumba mzee
 
POLE [emoji23][emoji23][emoji23]
 

We jamaa acha uongo ni nchi gani Kati ya zile zilizo pigwa sanction na russia ambayo inaendelea kulipa kwa mfumo wa euro na dollali badala ya rubble?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…