Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,375
We unatakiwa unyang'anywe hiyo silaha kabla hujaleta madhara.Mimi ya kwangu nimeitoa hivi majuzi tuu baada ya process ndeefu. Mane, I feel like bustin' a cap in some nigga's ass! (teh-teh-teh).
Hivi unaponunua silaha,risasi unalipia separately? Sio kwamba inakuwa package moja na ukizimaliza ndipo unaanza kununua?Nilienda pale Tanganyika Arms
Zina bei sana kuanzia 3.6mil bila risasi, tena ukimaliza hapo uanze kuhonga hadi upate
Process ndefu zinazochangia rushwa
unajua kirefu cha smg?kirefu chake ni short machine gun so husiwe unakulupuka kujibu hoja wakati hujui then unapotosha watu1. Kuwindia wanyama ni
Rifles zote kama 458, 375, ...
2. kuwindia ndege ni Short Guns zote
3. Kivita ni SMG, AK47,G3, LMG ....
4.Kujilinda ni bastola aina zote, short Guns zote lakini mtu binafsi hawezi kumiliki fungu la tatu
Acha uongo kirefu cha smg ni sub machine gun hata JKT mujibu wa sheria hujapita halafu eti unatoa ufafanuzi wa silaha kwani ukikaa kimya utapungukiwa nini.unajua kirefu cha smg?kirefu chake ni short machine gun so husiwe unakulupuka kujibu hoja wakati hujui then unapotosha watu
Hivi unajua kama watu wanataka kukuibia alafu wakajua kuwa una bastola, hatua ya kwanza ni kuuawa ili usimzuru yeye hivyo ni bora usiwe nayo ili hata akitaka Mali kwako anaweza kuchukua alafu akakuachaBastola muhimu sana, asikwambie mtu. Ukiwa nayo unakuwa na extra power you can go anywhere and at anytime
Tofauti za hizo mbili ni,Kama hujui nyamaza acha kudanganya watu SMG means sub-mashine gun, inaitwa sub sababu inabadili mapigo tofauti na SAR ambayo ni semi automatic riffle ambayo ukipiga lazima ukoki tena ili upige.
How do you know that you are a verified Jf user?Hii thread nimeikumbuka duuu! yaani Enzi hizo nilichangia tena nilikuwa sijawa verifaidi usa! JF mnatunza nyaraka
Bora waliichukua mkuu! Manake sijui ulikuwa unawaza nini ulivyoamua id yako iwe jambazi....Nakumbuka kipinda cha nyuma nilikuwa na bastola na nilivyo ipata sikupitia stage zote hizo nilipata kupitia kwa mgongo wa mzee wangu, Siku moja mzee akaja kuniambia nimekupa siku mbili tu uwe umesha irudisha, nikagoma kuirusha siku ya tatu asubuhi zikaja defenda 2 zimejaza askari wakachukua mali yao nikaenda kufuta kibali cha umiliki silaha
Leo hii nimebaki na Rungu kama silaha yangu
Hivi unaponunua silaha,risasi unalipia separately? Sio kwamba inakuwa package moja na ukizimaliza ndipo unaanza kununua?