Taratibu za kupata cheti cha kuzaliwa kutoka RITA Tanzania

Taratibu za kupata cheti cha kuzaliwa kutoka RITA Tanzania

Rita wanapatikana Ofisi yoyote ya Mkuu Wa wilaya.

Nenda huko utapata maelekezo

Mtoto kuanzia miaka 0 mpaka 10 ada ni Sh 5000, unavyoenda nenda na picha na Copy ya kadi ya Kliniki au Cheti cha ubatizo na kama huna vyote basi barua ya Mtendaji Wa mtaa.

Mtu kuanzia miaka 10 nakuendelea ni Sh 10000, uende na Picha, na copy ya Cheti cha ubatizo au cheti cha Darasa LA saba na kama huna vyote hivyo uende na barua ya Mtendaji Wa mtaa.

Muda Wa kupata cheti ni Wiki mbili baada ya kujaza fomu.
 
Rita wanapatikana Ofisi yoyote ya Mkuu Wa wilaya.

Nenda huko utapata maelekezo

Mtoto kuanzia miaka 0 mpaka 10 ada ni Sh 5000, unavyoenda nenda na picha na Copy ya kadi ya Kliniki au Cheti cha ubatizo na kama huna vyote basi barua ya Mtendaji Wa mtaa.

Mtu kuanzia miaka 10 nakuendelea ni Sh 10000, uende na Picha, na copy ya Cheti cha ubatizo au cheti cha Darasa LA saba na kama huna vyote hivyo uende na barua ya Mtendaji Wa mtaa.

Muda Wa kupata cheti ni Wiki mbili baada ya kujaza fomu.
Nimekupata mkuu ahsante

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Rita wanapatikana Ofisi yoyote ya Mkuu Wa wilaya.

Nenda huko utapata maelekezo

Mtoto kuanzia miaka 0 mpaka 10 ada ni Sh 5000, unavyoenda nenda na picha na Copy ya kadi ya Kliniki au Cheti cha ubatizo na kama huna vyote basi barua ya Mtendaji Wa mtaa.

Mtu kuanzia miaka 10 nakuendelea ni Sh 10000, uende na Picha, na copy ya Cheti cha ubatizo au cheti cha Darasa LA saba na kama huna vyote hivyo uende na barua ya Mtendaji Wa mtaa.

Muda Wa kupata cheti ni Wiki mbili baada ya kujaza fomu.
Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau poleni na majukumu, nina uhitaji wa haraka wa kupata hiki cheti, je! ni vitu gani muhimu nahitaji kuwa navyo? Na ofisi zao ziko wapi kwa hapa Dar?
 
Ofisi zipo katika wilaya zote sjajua kwa wilaya mpya chamsingi uwe na utambulisho kutoka serikali za mtaa,au kitambulisho cha kula,au living certificate
 
Nenda ofisi ya Mkuu wa Wilaya ambako zipo ofisi za Rita (Watoaji vyeti vya kuzaliwa na Vifo)

Kama ni wewe mwenyewe(mtu mzima ) Nenda na Elfu Kumi (Kama hawajaweka malipo ya M-pesa maana kwingine unalipa kwa M-Pesa) watakupa fomu ya kujaza ambayo utaambatanisha kopi ya Cheti cha Ubatizo au Cha Darasa la saba au Barua ya Mtendaji pamoja na Picha.

Kama ni kwa mtoto ni Sh Elfu tano, Picha yake na kadi ya kliniki.

Cheti kinatoka baada ya wiki moja ya malipo.
 
Nenda ofisi ya Mkuu wa Wilaya ambako zipo ofisi za Rita (Watoaji vyeti vya kuzaliwa na Vifo)

Kama ni wewe mwenyewe(mtu mzima ) Nenda na Elfu Kumi (Kama hawajaweka malipo ya M-pesa maana kwingine unalipa kwa M-Pesa) watakupa fomu ya kujaza ambayo utaambatanisha kopi ya Cheti cha Ubatizo au Cha Darasa la saba au Barua ya Mtendaji pamoja na Picha.

Kama ni kwa mtoto ni Sh Elfu tano, Picha yake na kadi ya kliniki.

Cheti kinatoka baada ya wiki moja ya malipo.
Asante sana mkuu
 
Habari za uzima wana jf
Nimepoteza cheti changu cha kuzaliwa naombeni ushauri jinsi ya kupata kingine
 
Back
Top Bottom