mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boda watu wanavuka sana wana njia zaoNaingia
Vipi kuna gharama yoyote kukipata na ni baada ya muda ganiKaribu
Ova
Upande wa garama sina uhakika ila vzuri ukaenda ishu ndogo Hiyo mkuuVipi kuna gharama yoyote kukipata na ni baada ya muda gani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mlikumbuka kutumia lakini? Maana boda ile hawana msamiati wa HAPANA kwenye bulangata zaoBoda watu wanavuka sana wana njia zao
Wengine wanapenda salimia jamaa zap upande wa pili,
Kuna wakati nlikuwa Zambia nliporudi nkaingia tunduma sasa kuna Siku tunawa tunapiga mambo yetu pale hotel ya Yule msafa stone silver eh usiku kama saa nne hivi jamaa wakasema twendeni nakonde ahh wakaendeleze si walipigia Hizo njia Mara hao nakonde nkasema kweli boda ni boda tukarudi alfajiri tunduma na mahangover yetu
Ova
Boda ile nnauzoefu nao sana pale jifanye mnyela tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] mlikumbuka kutumia lakini? Maana boda ile hawana msamiati wa HAPANA kwenye bulangata zao
Pale nishakaaga miezii 6 nabadilisha fedha za kigeni[emoji23] [emoji23] [emoji23] mlikumbuka kutumia lakini? Maana boda ile hawana msamiati wa HAPANA kwenye bulangata zao
DuuPale nishakaaga miezii 6 nabadilisha fedha za kigeni
Ova
Nilikatiza pale mara mbili 98 na 99Boda dume lile watu hawalali
Ova
Mi Mara kibao enzi Uzi kwenda dizungaNilikatiza pale mara mbili 98 na 99
2000 nlikatiza beltbridge dahNilikatiza pale mara mbili 98 na 99
Dah umenikumbusha mbali sana daraja la Beitbridge longtime kitambo sana nitakuja kusimulia habari yake2000 nlikatiza beltbridge dah
Sasa kuna muda niliazima jacket ya mpumbavu mmoja mbongo kumbe kulikuwa na hash miarufu nashangaa nganga anani mind mbwa ananisogelea ile chama na mogela Mara wazee hao kujieleza nakuambia nlivuta njiani
Ilikuwa balaa.....jamaa y ule mbongo najua nilimmind sana
Ova
Kiasi ganiKulipia lazima mkuu kama utaratibu haujabadilika tu
nenda rita utapata maelezo mengi kuhusiana na cheti cha kuzaliwa.Namin wrote in wazima...natafuta msaada wa kupata cheti cha kuzaliwa(sina kitambulisho chochote )
Kama upa tayari kunisaidia njoo pm ..
Of course hela ya chain ipo
Sent using Jamii Forums mobile app
nenda rita utapata maelezo mengi kuhusiana na cheti cha kuzaliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app