Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
Aiseee
Vrou van samaria give me bit of water to drink
Vrou van samaria give me bit of water to drink
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namin wrote in wazima...natafuta msaada wa kupata cheti cha kuzaliwa(sina kitambulisho chochote )
Kama upa tayari kunisaidia njoo pm ..
Of course hela ya chain ipo
Sent using Jamii Forums mobile app
It makes sense kujaribu kutumia njia za panya wakati ilikuwa ni suala la kwenda RITA tu, mnamalizana!!Asnt...Sena uko Rita saiv kazi sana kupata.vigezo vyote sins(kadi ya pigs kura,leseni,chet drsa saba,)
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante broHakuna ujanja wala shortcut kupata cheti cha kuzaliwa. The easiest way ni kwenda RITA ukianzia wilayani kwako utapata maelezo manyoofu kabisa , kama huna hizo identities watakuelekeza cha kufanya..hukohuko. huku mitaani wala himu jf hakuna mtengeneza vyeti nyeti kama hivyo wala mwenye uwezo wa kukufanyia kwa niaba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amna bro....natafuta to msaada was short cut mana njia rasmi nimeshindwa bcoz mzazi wangu 1 in mbongo(kafarik) na mwengine sio...so saiv Niko dar illa Moshe zote wanomba niwe na kitambulisho cha nidaUmetumwa na rita uje utukamate watengeneza cheti kwa njia za panya
Tushakustukia
Sent from my iPhone using JamiiForums
Fika kituo chochote cha police kwa uchunguzi zaidi! Na kama umezaliwa kigoma sahauNaamini wote ni wazima natafuta msaada wa kupata cheti cha kuzaliwa(sina kitambulisho chochote ) kama upa tayari kunisaidia njoo pm Of course hela ya chain ipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu kwa sasa watu wa Kigoma sio sehemu ya TanzaniaFika kituo chochote cha police kwa uchunguzi zaidi! Na kama umezaliwa kigoma sahau
Sent by Diaspora
Nida ? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nenda nida
Asante, je nahitaji kuwa na Loss report?Nenda Rita pale posta karibu na bilcanaz ikiwa na kopi yako na sh 5000 usisahau kuwa na kitambulisho ili uingie
AsanteNilipoteza changu mwishoni mwa mwaka 2017. Kwa kuwa kilikuwa kimetolewa mkoani, ikabidi niende pale ofisi za RITA makao makuu. Nilipoenda na copy yake, nikaambiwa nikalipe 1500. Kisha nikafanya taratibu nyingine kama nilivyoelekezwa na kuambiwa kurudi baada ya siku kadhaa. Siku niliyorudi nikakuta kile kitabu kilichotumika kuandikisha hicho cheti miaka zaidi ya 25 iliyopita kiko pale. Nikaulizwa iama nataka kufanya mabadiliko kwenye majina yangu. Nikawaambia ndio, basi nikaambiwa niandike barua kwa ajili ya hayo marekebisho kisha nikalipia 6500. Nikapewa tarehe ya kuja kuchukua Cheti changu. Maisha yakaendelea. Muhimu unapoenda pale uwe na kitambulisho
Kitambulisho gani tena cha kuingia???Nenda Rita pale posta karibu na bilcanaz ikiwa na kopi yako na sh 5000 usisahau kuwa na kitambulisho ili uingie
chochote chenye picha yakoKitambulisho gani tena cha kuingia???
Astaghafirullah.Nenda nida