kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Aende Hospitali aliyozaliwa mtoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aende kwenye ofisi za RITA sio hospital. Ukiwa na tangazo lako ni rahisi tu. Sasa sijui anapatikana mkoa gani. Mikoani nadhani hiyo huduma inatolewa ofisii ya DC.Nenda na tangazo la mtoto hospital alipozaliwa nadhan gharama ni shilingi 3000-5000 hivi..ama kadi la clinic
Fuata huu ushauri... na mara nying sana ofisi za RITA zinakuwa kwenye ofisi za wilaya. Gharama yake nadhani ni elfu 4..Kama una tangazo nenda ofisi ya RITA iliyopo karibu utaelekezwa hatua nyingine za kufuata, Kama huna tangazo itabidi ufuatilie kwanza ktk hospital alikozaliwa mtoto
Elfu tanoFuata huu ushauri... na mara nying sana ofisi za RITA zinakuwa kwenye ofisi za wilaya. Gharama yake nadhani ni elfu 4..
All the best.
Tangazo naona mama hakuchukua ,what if nikienda na RITA na kopi ya kadi ya klinic ,will it work?Kama una tangazo nenda ofisi ya RITA iliyopo karibu utaelekezwa hatua nyingine za kufuata, Kama huna tangazo itabidi ufuatilie kwanza ktk hospital alikozaliwa mtoto
Nikienda na kopi ya Kadi ya klinic RITA ni process zipi nitaambiwa nifuate then after?Nenda na tangazo la mtoto hospital alipozaliwa nadhan gharama ni shilingi 3000-5000 hivi..ama kadi la clinic
Tangazo naona mama hakuchukua ,what if nikienda na RITA na kopi ya kadi ya klinic ,will it work?
fuata tangazo hospital alikozaliwa watakupa, RITA gharama ni 3500 tu Kwa watoto, Wiki iliyopita nimetoka ukoNikienda na kopi ya Kadi ya klinic RITA ni process zipi nitaambiwa nifuate then after?
Kuna fomu ya kujaza ili kupata cheti au wanajiandikishaje?Huku kwetu watoto wote chini ya miaka mitano wanajiandikisha hapo zahanati na wanaletewa vyeti. Maendeleo makubwa kupitia Mh. Magufuli.
Kuna fomu ya kujaza ili kupata cheti au wanajiandikishaje?
Ukienda na Tangazo rita wanahitaji nini na nini?fuata tangazo hospital alikozaliwa watakupa, RITA gharama ni 3500 tu Kwa watoto, Wiki iliyopita nimetoka uko
Mkuu rita wanahitaji kitu gani kingine zaidi ya tangazo na elfu 5?Kama una tangazo nenda ofisi ya RITA iliyopo karibu utaelekezwa hatua nyingine za kufuata, Kama huna tangazo itabidi ufuatilie kwanza ktk hospital alikozaliwa mtoto