Uchawi utakuuwaUSMA piga hao vyura hadi wapoteane
Mkuu hao sio wakuwaombea washinde dharau nyingi Kuna watu niliwaambia Huku kitaaa tulitamani kuwaonbea ushindi lakini kwa Ile shiti aliongea Ali kwamwe juu ya uzalendo hamna namna wapigwe tu.Tuweke tofauti zetu pembeni
Tuwaombee washinde
Pw utchukua usijlNinashabikia klabu ya Simba. Hakuna timu bora Tanzania kama Simba Sports Club.
Leo ninasimama kama Mtanzania kuanza kushangilia ushindi wa watani zangu Utopolo wahed. Nawaombea kwa moyo mweupe. Kombe la Shirikisho wakilichukua tutanufaika kama Taifa....
Watanzania tusimame na Yanga kwani wanawakilisha Taifa
GENTAMYCIME
Wenyewe walisema hawahitaji support yetu. Haikutosha wakamtukana Mgunda na mchezaji wetu FeisalTuweke tofauti zetu pembeni
Tuwaombee washinde
Ni sayansi tuUchawi utakuuwa
Mkishindwa, mnataka tushindwe wote. Hii ni tabia za wachawi. Wachawi wakubwa nyieNi sayansi tu
Wewe mshipa wa noma umekufa, rekodi za Mayele na Kibu Denis zinakuumbuwa lakini huna hata chembe ya aibu.Wakichukua wengine tutaficha wapi sura zetu. Wafungwe hata 7 ikiwezekana