Tarehe 03 Juni, 2023 Yanga inachukua kombe, kila mmoja aseme AMEN

Tarehe 03 Juni, 2023 Yanga inachukua kombe, kila mmoja aseme AMEN

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

AMEN

AMEN

AMEN

AMEN

AMEN


AMEN





AMEN
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kweli hilo hapo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

AMEN

AMEN

AMEN

AMEN

AMEN


AMEN





AMEN
Tuwaombee safari ya kurudi iwe salama
 
Amen hazikutosha nini?
Nilitimiza wajibu wangu kama mtani wa jadi.

Walitukana kocha wetu
Wametubeza sana
Walisema hawahitaji dua zetu
Nasi hatukuacha kuwaombea ushindi.

Kiburi si maungwana
 
Ninashabikia klabu ya Simba. Hakuna timu bora Tanzania kama Simba Sports Club.

Leo ninasimama kama Mtanzania kuanza kushangilia ushindi wa watani zangu Utopolo wahed. Nawaombea kwa moyo mweupe. Kombe la Shirikisho wakilichukua tutanufaika kama Taifa....

Watanzania tusimame na Yanga kwani wanawakilisha Taifa

GENTAMYCIME
Kombe gani Yanga wanaweza kuchukua, labda la mbuzi!
 
Kombe gani Yanga wanaweza kuchukua, labda la mbuzi!
Hili hapa mkuu wangu
FB_IMG_1685857642318.jpg
 
Back
Top Bottom