Nimembakishia maneno ila why usaliti nchi yangu, .Mimi nachukia sana watu wasaliti wajambo lolote hawafai kabisa ni Wana selfish desire aiseeNi kweli, lakini si Moja kwa Moja mbakshie maneno kidogo .
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Aisee..Nimembakishia maneno ila why usaliti nchi yangu, .Mimi nachukia sana watu wasaliti wajambo lolote hawafai kabisa ni Wana selfish desire aisee
Mnh!View attachment 2604932
Huyu ndio Michael foot au codename agent BOOT
Kiongozi wa chama Cha labour party alliyechuana na margareth thatcher katika kinyang'anyiro Cha uchaguzi mkuu wa P.M wa uingereza mwaka 1984.
Huyu bwana alikuwa kwenye payroll ya KGB kwa miaka mingi.
Aisee![emoji3]Walinda legacy [emoji1]
FungukaAisee..
20
Akiwa nchini mexico bibiye Rosa hakujua Aldrich Ames ni jasusi. Lakini baadaye alikuja kugundua kwamba huyu bwana ake mpya ni spy na ameoa hii ilileta mtafaruku kidogo , kutokana na shinikizo la huyu mchepuko Aldrich alimwahidi angemuacha mkewe Nancy kwa talaka. Lakini utaratibu wa kuchukua maamuzi ya kumtaliki Nancy yalikuwa ni ya gharama sana ukilinganisha na kiasi Cha mshahara wa afisa huyo as per CIA salary scale alikuwa akipokea tu Dola elfu kama arobaini na kidogo kwa mwaka kipindi hicho. Kutokana na huyu Rosa kuwa ni mwanamke wa matanuzi , Aldrich alimwahidi angeacha kazi CIA na kuamua kutafuta kazi yenye mshahara mkubwa ku meet standard za mrembo huyo . Maamuzi haya ya kumsikiliza huyu mchepuko yalimgharimu maisha yake yote........
Turudi kwa bwana SUNBEAM..
Ubalozi wa Russia au Soviet ulikuwa maeneo ya Kensington palace gardens viungani mwa Jiji la London. Nyumba aliyofikia Oleg na familia yake haikuwa mbali sana na ofisi za ubalozi wa Soviet .
Ilikuwa ni nyumba yenye vyumba viwili mitaa hiyo ya Kensington .
Siku chache baada ya kufika alitembea Hadi mtaa wa nyuma ya ubalozi wake akiwa amevaa kofia ambayo sio rahisi kutambulika hadi kwenye kibanda Cha simu . Alibonyeza namba kadhaa alizokuwa Nazo alizopewa na guscott miaka michache nyuma akiwa Copenhagen. Baada ya ku dial hizo namba,alisikia upande wa pili wa simu sauti ikisema "hello , welcome to London, ,thank you for calling. We look forward to seeing you...." Hii ilikuwa ni sauti ilyorekodiwa ya bwana guscott ikimkaribisha Oleg London na rekodi ile ilitaka wakutane mwezi July tarehe nne.
Sasa ni rasmi Oleg alikuwa mikononi mwa M16 ndani ya uingereza .
Mkewe na wanawe wali adapt maisha ya uingereza kwa haraka sana.
Kipindi Oleg anawasili aliyempokea alikuwa ni balozi ambaye alikuwa ni secretary wa ubalozi huo wa Soviet aliyeitwa Arkadi Vasilyevich guk . Huyu bwana aliwasili hapo ubalozini miaka miwili nyuma. Mkomunisti kindakindaki na Cha pombe wa vodka ile mbaya. Hapo London alikuwa anakula na kunywa made in Russia peke Yake.
Alitambulishwa kwa wafanyakazi wenzake wa hapo ubalozini na orientation za hapa na pale.
Baadaye Oleg alikuja kugundua huu ubalozi ni ofisi yenye manungu, kujipendekeza,masengenyo, vinyongo na wivu na kila aina ya ushenzi miongoni mwa wafanyakazi wake wote aliowakuta .
Baadaye Bwana Oleg alianza harakati namna ya kuwasiliana na M16 ,na hatimaye tarehe nne July akapiga Tena namba zile alizopiga mara ya kwanza ila kwenye kibanda tofauti Cha simu . Na mara hii bwana Geoffrey guscott alipokea . Walipanga kukutana mchana huo eneo ambalo sio rahisi kwa manjagu wa KGB kuwepo . Walipanga kukutana kwenye hotel ya holiday inn mtaa wa Sloane. Na kweli Oleg alifika na kumuona guscott aliyekuwa amekaa na mwanamama mmoja wa makamu kidogo. Huyu mama alijulikana kama Veronica price. Walisalimiana na Kisha wakasimama na kutoka wakienda moja kwa Moja nje ya hotel hiyo kupitia mlango wa nyuma. Oleg aliwafuata pasipo kusema neno.nyuma ya hotel kulikuwa na park ya magari . Kulikuwa na gari inasubiri hapo ikiwa imepakiwa tokea hapo usiku wa jana yake aina ya ford wakaingia ndani ya gari Hilo lililokuwa na plate number ambazo sio rahisi ku track. Guscott na Oleg walikaa siti za nyuma wakaanza maongezi wakijuliana Hali ,huku mwanamama Veronica price akiendesha. Walikuwa wakiongea ki Russia pasipo huyo mama kujua Nini wanaongea. Veronica price aliendelea ku drive gari Hadi Bayswater zilipokuwa nyumba kadhaa . Nyumba hizi zilichaguliwa kama safe house na M16 kwa ajili ya bwana Oleg. Zilikuwa umbali wa mwendo wa gari masaa mawili kutoka ubalozi wa Soviet hapo London.
We mtanzania humjui kwa ulimbukeni?Mtz yeye kutumia vitu vya kutoka nje,kwake ni sawa na kuwaringishia wengine kuwa ana mkwanja mnene na elimu ya kutosha eti!.[emoji23][emoji23][emoji23]Na marafiki zangu ni wa Irish aisee wakija bongo wakienda supermarket wananunua bidhaa made in Irish Kwa kuzitafta na wanafurahia kabisa huku Tanzania sijui kwanini hatupendi kununua vitu made in Tanzania tunapenda vya nje
Funguka
Sina neno....Funguka
[emoji1787]Mimi hizo post zingine alizoweka sijasoma nasubili nasubil kwenye kitasa niendelee hizo habari alisoma shule A akamtongoza msichana B sizitaki
Hivi yoga kapotelea wapi? Bi dada alinikamata vyema ghafla akapotea nami nikawa mvivu kufuatilia Habari za Mr. born town.Ni hovyo kweli yani hata story ya yoga alijifanyaga yake na kutoza watu ili kupata updates baada ya yoga ku stop updates na yeye aka stop, heri mleta mada ana share humu free Kwa wote kujifunza Sasa huyu mwizi anatoza wengine
Na ile story ya dada Yoga mbona uliikopi na kuipeleka twitter?kwa jina naitwa Fortunatus Buyobe au ukipenda niite ndimu mkata shombo.
Kwanza naomba nijibu hoja yako moja kwa haraka sana bila kuikawiza
1. Kwamba nimekukopy na hadi nimechukua picha zako. Swali ni, ni wewe ndiye umezipiga picha hizi? Kama sio unajimilikishaje hakimiliki?
2. Kwa msisiti mkubwa ni kwamba sijakunukuu, siwezi kukunukuu na uwezo wangu wa kuandika tayari upo dhahili (mnyonge mnyongeni haki yake mpeni) ni kwamba members humu humu watapika consistency yako ya uandishi. Wataangalia chapisho lako la jana, la leo na la keshokutwa kisha kila kitu kitakuwana baina yako nami.
3. Hapa ndio pa muhimu zaidi. Bwana Oleg Gordievsky habari zake zimeandikwa sehemu nyini sana.
Naomba niseme wewe Story yako umeicopy hapa na kuitafsiri kwa kiswahili [emoji116]
How the KGB Closed In On Its Most Notorious Double Agent
Ben Macintyre’s ‘The Spy and the Traitor’ reveals the astonishing career of Oleg Gordievsky, a second-generation KGB agent who worked for England’s MI6 for years.www.thedailybeast.com
So hii ni open source document don’t own any rights na mbaya zaidi hukuwa mbunifu bali umecopy neno hadi neno.
Mimi bwana Oleg nimemsoma kulitia mwandishi BEN MACYNTYRE aliyefanya naye mahojiano. Hata hizo picha unazodai kuwa ni zako umezitoa kwenye hints za kitabu chake cha A SPY AND TRAITOR hivyo HUNA CHOCHOTE KILICHO CHAKO.
Mimi nina vyangu. My flow, Mpangilio wa matukio, na haya hayajionyeshi kwenye hii stotu tu bali na nyingine nyingi.
Karibu Telegramm utakuta story hii inaitwa THE MOLE, mle ndani imeanza na kina Aimes, Hanssen na ikaishia na Oleg. Sasa jiangalie. Ungekuwa na Identity ya kueleweka ningekushitaki
Stori inakosa muendelezo baada ya new ceo kunyoosha mikono kwa born town.Hivi yoga kapotelea wapi? Bi dada alinikamata vyema ghafla akapotea nami nikawa mvivu kufuatilia Habari za Mr. born town.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] tuna safari ndefu kweliWe mtanzania humjui kwa ulimbukeni?Mtz yeye kutumia vitu vya kutoka nje,kwake ni sawa na kuwaringishia wengine kuwa ana mkwanja mnene na elimu ya kutosha eti!.[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2] huyu baba Hana aibu anajichukulia ujiko woteNa ile story ya dada Yoga mbona uliikopi na kuipeleka twitter?
Nakwambia I think plan ilivokuwa inaendelea born town akagundua mchezo na kuudhibiti mapema ikiwemo new CEO kufatiliwa ma file yake ikiwemo machafu so imebidi new CEO awe mdogo ka piritoni,;ila kuja Kwa Paka nchini Kuna jamboHivi yoga kapotelea wapi? Bi dada alinikamata vyema ghafla akapotea nami nikawa mvivu kufuatilia Habari za Mr. born town.
OkaySina neno....