Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

27



Maisha yaliendelea kama kawaida kwa bwana Oleg na maisha yake aliyoyachagua DOUBLE LIFE.
Maisha yake na mkewe Leila pamoja na watoto wao wawili waliishi kama kawaida wakawa obsessed na lifestyle ya uingereza . Wanao walipelekwa kwenye shule za uingereza .
Kipindi Oleg akiwa holiday huko Moscow , walikuwa na deep discussion na mkuu wa kitengo Cha FCD wakati huo bwana Nikolai gribin kuhusiana na na position mbalimbali za siasa za Russia na pia viongozi wa kisiasa waliokuwa na ushawishi wakati huo. Kipindi hicho kulikuwa na mwanasiasa aliyekuwa anachipukia na kuwa na ushawishi kwenye chama chake Cha komunist party aliyeitwa Mikhail Gorbachev.
Huyu bwana Gorbachev alitarajiwa angekuwa kiongozi wa Soviet kwa wakati huo. Kutokana na aina yake ya uongozi na pia misimamo Yake kuhusu siasa za kimataifa ,alimvutia Margaret thatcher na ilitarajiwa angefanya ziara ya kitaifa nchini uingereza. Na hatimaye 1984 Gorbachev alikubali mwaliko kutoka uingereza.
Hapa majasusi wa pande zote mbili M16 na KGB wakacheza karata zao kwenye ziara hii . KGB waliamua kumpangia Gorbachev nini aseme akikutana na Margaret na vilevile M16 wakampangia thatcher ninj cha kuongea mbele ya mgeni wake kwa msaada wa Oleg.
Hili swala Oleg Gordievsky lilimpa ushawishi sana na umaarufu ,kwa pande zote mbili kinzani sio ndani ya M16 Bali pia hata kwa KGB. Bwana Oleg alicheza kwenye nafasi yake kama mkuu wa kitengo Cha political intelligence ndani ya ubalozi wa Soviet hapo London. Kwa mfano Moscow walipanga topic za kuongelewa na Gorbachev kwenye ziara hiyo ,kama vile maswala ya kijeshi ,uchumi na teknolojia. Pia pamoja ya yote haya Urusi walidhani huenda tukio la kudukuliwa kwa kiongozi wao wa nchi kwenye nchi ya kigeni.
Kwa mfano ilisemekana Nikita Khrushchev alipofanya ziara ya kitaifa nchini uingereza mwaka 1956 sehemu aliyofikia ilidukuliwa kwa kupandikizwa vinasa sauti . Tukio hili Urusi walipojua lilizusha sana Mgogoro wa kidiplomasia baina ya nchi hizi mbili. Hivyo kwenye ziara hii walijipanga. Kukutana kwa viongozi Hawa wawili kwa wakati huo kulizusha mijadala mikali miongoni mwa wachambuzi wa siasa za kimataifa. Hii ilitokana na haiba ya viongozi Hawa na misimamo waliokuwa nayo. Gorbachev alikuwa ni breeding ya mfumo wa communism uliobeba mfumo mzima wa Soviet huku Margaret thatcher akiwa ni mpingaji wa mfumo huo kandamizi na wa kinyonyaji. Lakini ilikuja kuonekana Gorbachev alikuwa na itikadi za kiliberali kwa mbali. Na ndio iliamua ziara hii kufanyika kwa msaada wa majasusi wa pande zote mbili.
Hatimaye Mikhail na mkewe Raisa Gorbachev waliwasili London tarehe 15 Dec 1984 na ziara hii ilikuwa ya siku nane. Alitarajiwa pia kufanya shopping,na pia kutembelea British library ambapo bwana Karl Marx aliandika kitabu Cha das kapital na mambo mengine mengi.
Ziara hii ilienda vizuri kama ilivyotarajiwa .



**********@*******

Turudi Hadi kwa CIA huko Langley Virginia.[emoji116][emoji116]
Bwana Burton Gerber aliyekuwa ndiye alikuwa mkuu wa kitengo ndani ya CIA kilichokuwa kinashughulika na ujasusi ndani ya Soviet.
Alikuwa mtaalamu katika kitengo hicho. Ni kwamba huyu bwana alitamani sana kujua taarifa za kijasusi walizokuwa wanapata M16 kutoka kwenye chanzo Chao . Kutokana na bwana huyu kuwa expert katika kukusanya taarifa nyeti za kijasusi ndani ya Soviet ,hakuwa anapata taarifa fresh na za moto kama M16 walizokuwa wanapata kutoka kwa NOCTON a.k.a Oleg.
Kiufupi CIA walitamani kujua chanzo hiki ,lakini M16 kamwe hawakutaka kumu expose Oleg Kwa CIA . Kuna nukuu inasema " The psychological gratification of all intelligence work lies in knowing more than your adversaries,but also more than your allies...... In the all- embracing global view from Langley,the CIA had a right to know anything and everything it wanted to know".
Ni kwamba kupitia info alizokuwa anatoa Oleg Kwa M16 , CIA aliona atapoteza ushawishi duniani hususan kwenye swala la ujasusi .
Linapokuja swala ujasusi CIA alikuwa ana share taarifa na mashirika mengine kwa makubaliano maalumu hususan kama Lina maslahi kwa wote. Lakini kwenye swala la Oleg ,M16 hawakutaka kutoa identity ya NOCTON kwa namna yoyote ile.
Bill Casey mkurugenzi wa CIA wakati huo alitumia ushawishi aliokuwa nao kwa M16 lakini bado uingereza iliendelea kukaza.
Basi kutokana na uingereza kuendelea kukaza, ikatoka order from above ( huenda kwa Reagan au bill Casey),kwa Siri kwa ajili ya kumtambua huyu source aliyekuwa anawapa info M16. Hii ilikuwa ni mapema mwaka 1985. Na hili swala endapo uingereza wangegundua wanafanyiwa ujasusi ingekuwa ni kukiuka mutual agreements walizojiwekea baina ya mashirika haya mawili na ingezusha mtafaruku mkubwa .Huu mpango alipewa Gerber. Ofisi hii ya kitengo Cha ujasusi ndani ya Soviet ndipo idara ya counter-intelligence ilikuwepo na ndio idara ambayo Aldrich Ames aliisimamia...........[emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji1].
Huyu bwana Ames mbali na kuwa mkuu wa idara hii lakini maisha yake binafsi yalikuwa yanashida kidogo.
Huyu mwamba alikuwa ni mlevi kupindukia ukizingatia alikuwa na mke au mchepuko ambao ulikuwa unatumia pesa vibaya mno. Huyu bwana kutokana na maisha yake kuwa broke alijikuta na deni la $47000. Inasemekana wakati mmoja aliwaza kuvamia benki kutaka ku settle mambo . Hii ilitokana na matumizi makubwa aliyokuwa nayo mkewe Rosario dupuy. Hili swala lilimletea mgogoro yeye na wakuu wake wa kazi hapo kitengoni Langley . Mbali na tabia zake hizi wakuu wake wa kazi hawakumtilia maanani wala kumhisi vibaya bwana huyu.. ... What A fatal mistake

Tukiachana na personal life la bwana huyu, ni kwamba kutokana na position aliyokuwa nayo alikuwa na access ya taarifa za kijasusi zote kuhusiana na urusi wakati huo . Pia alikuwa anajua taarifa zote za majasusi waliopandikizwa ndani ya urusi wa KGB wanaotoa taarifa za kijasusi kwa Marekani. Kazi hii ya CIA kutaka kujua au kumjua jasusi anayeipa uingereza taarifa za kiintelijensia uingereza alikuwa nayo bwana huyu pamoja na Gerber. Wazungu waliwahi sema "EVERY SPY LEAVES CLUES". Wamarekani walianzia kwenye msemo huu kutaka kusolve hili fumbo la huyu SOURCE ni nani??
Kitengo hichi alichokuwepo bwana Ames wakaanza taratibu kupitia taarifa zote za kijasusi walizokuwa wanazipata kwa M16 ambazo NOCTON au Oleg alizokuwa anawapa.
Kwa mfano kuhusiana taarifa za operation ya kijasusi ya Russia iliyokuwa inafanywa ya Kutaka kufahamu viashiria vya kutokea kwa vita ya nyuklia ,ilianza kutoa clue kwamba huenda huyu source atakuwa ni afisa wa KGB ,na huenda ana cheo kikubwa kiasi kwenye shirika Hilo kuweza kupata taarifa hizi[emoji848].
Wakaanza kupata clue nyingine ,kwamba huenda huyu SOURCE atakuwa na uwezekano wa kukutana na M16 mara kwa mara. Na wakaweza kung'amua kwamba huyu source huenda yupo nje Russia na possiblity ya source huyu kuwa ndani ya uingereza ilikuwa ni mkubwa . Vilevile CIA wakaendelea kupata clues zaidi ,kwamba kwa taarifa walizokuwa wanapata M16 kutoka kwa SOURCE zilikuwa zinatoa infos chache kuhusiana na maswala ya kijeshi au kiteknolojia lakini zilikuwa zipo based kwenye maswala ya politics kwa kiasi kikubwa. Na kwa vile CIA walikuwa wanajua organizational structure ya shirika la KGB , waliamini huyu source atakuwa anafanya kazi kwenye idara FCD (first chief directorate) kitengo kidogo Cha political intelligence.[emoji3578][emoji3578][emoji28].
CIA wakaendelea kufanya enquiries za kutosha kuhusiana na SOURCE . CIA wakajiuliza swali lingine muhimu . Ni lini nchi ya Soviet ilianza kupoteza majasusi au mapandikizi wake waliokuwa nchi za magharibi ? Na kweli wakaanza ku connect dot. Baadhi ya watu kadhaa hususan majasusi walishtukiwa wakihusishwa kufanya kazi na Russia, Arne treholt, na haavik wa Norway na vilevile berlig wa sweeden , na la Zaidi ni huyu bettaney au Koba aliyekamatwa nchini uingereza kwa tuhuma za kijasusi. Marekani wakapata clues kwamba huenda huyu SOURCE ndio aliyewachomesha .
Marekani wakaendelea kupata clues zaidi wakiamini kutokana na hao majasusi waliotuhumiwa na kukamatwa kwenye nchi za Norway, Sweden na uingereza , huenda huyu SOURCE alishawahi fanya kazi kwenye nchi mojawapo ya Scandinavia. Pia CIA wakaanza kuunganisha dot Zaidi kufukuzwa kwa balozi wa Russia nchini uingereza Bwana Arkadi guk baada ya kugundulika au kutuhumiwa alikuwa anafanya ujasusi ndani ya nchi hiyo.
Baada ya CIA kufanya enquiries hizi zote pamoja na kuchora pattern zote na kuunganisha matukio , zilimwangukia bwana OLEG GORDIEVSKY .[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38].
Wanasema kwamba kuhusiana na hili nanukuu" The Brits thought they knew something the Americans didn't know they knew.... But now the CIA knew something that M16 did not know they knew" . Hii ilikuwa ni gemu katika ulimwengu wa kijasusi.Ni kama unamwinda mtu ambaye naye anakuwinda ila hujui kama anakuwinda .

Kutokana na CIA majibu kuhusiana na mwamba NOCTON a.k.a Oleg au source. wao Walimpa jina la uficho au codename TICKLE.............

.........
 
IMG_20230503_110135_705.jpg

Mikhail Gorbachev na Margaret thatcher walipokuwa wamekutana mwishoni mwa 1984 .
 
21


Baada ya kufika safe walianza kutambulishana rasmi sasa kila mmoja akawa familiar na mwenzake .
Guscott alimwambia Oleg eneo hili ndio ingekuwa ni kama safe house na wangekutana hapa mara kwa mara kwa kila walipopata wasaha wa kukutana na Oleg angetoa umbea wake kwa M16 pasipo kugundulika au kufuatiliwa .
Maafisa wa M16 kipindi oleg akiwa kwao walikuwa wameandaa mpango mkakati wa kumtorosha bwana Oleg na familia yake nchini urusi endapo angekuja kuhisiwa na KGB anaifanyia uingereza kazi kwa Siri Na walitarajia hili lingetokea. Huo mpango ulipewa jina la operation PIMLICO. hivyo wakawa wanampa kama briefings za mpango huo uliokuwa kwenye makaratasi.
Ni kwamba hapo kabla M16 hawakuwahi kuwa na access ya kumtumia jasusi wa KGB ndani ya uingereza anayefanya kazi under official diplomatic cover. Hivyo Sasa kwakuwa Oleg alikuwa ndani ya uingereza waliamua kumbadilisha jina la uficho la SUNBEAM na kupewa jina la NOCTON . Asili ya jina hili ni Kijiji kilichoko huko Lincolnshire uingereza. Kulikuwa na sababu ya kumbadilisha jina la uficho.
Wanadai kwamba Japo M16 na M15 ni mashirika pacha lakini kila mmoja alikuwa anafanya kazi kivyake na kwa namna anavyojua yeye .. kwa mfano shirika la M15 lilikuwa Lina deal sana na domestic surveillance ndani ya uingereza, pia lilikuwa na wajibu katika kuwafuatilia nyendo za maafisa wa ki Soviet hapo London. Hivyo M16 wa wakaona M15 wangeweza ku compromise mpango wa kumtumia Oleg kuwapa taarifa . Wakaamua kuwashirikisha baadhi ya maafisa wachache sana wa ngazi za juu wa M15 ikiwemo D.G. Lengo la kuwashirikisha Hawa M15 ni kulinda asset Yao inayowapa info asije akagundulika na maafisa wengine wa kitengo na mpango uka leak. Huu mpango wa mashirikiano baina ya haya mashirika pacha kishughulika na hili swala la Oleg au NOCTON waliupa jina la uficho la LAMPAD.
Baada ya hayo yote baada ya kupeana briefings za hapa na pale baina ya Oleg na maafisa hao wa M16 wakaagana na kuondoka. Ni kwamba Oleg alipaswa kuwa katika safe house hiyo na kuwapa infos makachero hao wa uingereza kila ilipopatikana nafasi
Oleg pia alianza kuwapa infos za baadhi ya maafisa wa M16 Waliokuwa wanawafanyia kazi Soviet. Kwa mfano hapo nyuma ndani ya M15 kulikuwa Kuna afisa mstaafu aliyeitwa Roger Hollis ilisemekana alikuwa ni mole ndani ya shirika Hilo na alikuwa anavujisha taarifa nyeti kwa KGB, lakini kwa mujibu wa taarifa za Siri alizokuwa Nazo Oleg ni kwamba mchawi hakuwa huyo Hollis Bali alikuwa ni afisa mwingine mstaafu wa M16 aliyeitwa John cairncross aliyekuwa ni mole wa Soviet mwaka 1964.
Pia Oleg Kutokana na kufukunyua ma file ya KGB ,aligundua kwamba kulikuwa Kuna agent aliyeitwa ELLI ambaye M16 hawakuwahi mjua hapo kabla ,aliyepandikzwa na Soviet mwaka 1946 na alikuwa anaitwa Leo Long na alikuwa amepandikizwa kwenye chuo Cha Cambridge akitoa Siri kwa Soviet wakati wa vita ya pili ya dunia. Pia Oleg aliendelea kutema Siri ,kwamba hata aliyekuwa mtaalamu na injinia wa mabomu ya nyuklia aliyekuwa anaifanyia kazi
Idara ya kijeshi ya Britain's wartime atomic bomb research aliyeitwa Bruno pontecorvo alikuwa anauza taarifa za Siri za kijeshi kwa urusi wakati huo. Pia Oleg aliwapa infos za wanasiasa hususan wa chama Cha labour party walioko madarakani waliokuwa kwenye payroll ya KGB .Hizi infos zilitua mezani kwa M16 na zikakaliwa kikao na maafisa wa ngazi za juu waliokuwa wanajua hili swala la NOCTON. Taarifa hizi Ziliwashtua na vilevile kuwashangaza.
Katika taarifa hizi zote , M16 waliamua kuipa uzito taarifa kuhusu Michael foot kiongozi wa upinzani wa chama Cha labour ambaye alitarajiwa kuchuana na margaret thatcher kwenye uchaguzi wa 1984. M16 waliona endapo Michael Foot angeshinda uchaguzi uliotarajiwa na hizi taarifa kuwekwa public , ingeleta Mgogoro mkubwa wa kikatiba kwa taifa la uingereza na ingekuwa kashfa kubwa ya kisiasa. Hili swala wakapewa M15 Kwa ajili ya kuchukua hatua zaidi walizoona ingemfaa. D.G wa M15 akalifikisha hili swala la tuhuma za foot mezani kwa katibu mkuu wa bunge (chief secretary) sir Robert Armstrong . Huyu alikuwa ni mshauri mkuu wa P.M wa uingereza na vilevile alikuwa na jukumu la maswala mazima katika kusimamia kamati za usalama na intelejensia kwa taifa la uingereza. Amewahi kuhudumu hapo nyuma kama principal private secretary kwa mawaziri wakuu kama Harold Wilson na Edward heath. Alipofikishiwa hizi taarifa aliamua kuziminyia chini kwa kuona hizi tuhuma zipo kisiasa zaidi. Akaona asilifikishe kwa Margaret thatcher. Huyu bwana Armstrong alikuwa ni miongoni mwa washauri walioaminika na margaret thatcher. Armstrong aliona ngoja kwanza asimwambie kuhusu hizi tuhuma za mpinzani wake wa kisiasa Michael foot. Ripoti zinadai endapo Armstrong angemwambia Margaret thatcher , thatcher angetumia hizo tuhuma kumkaanga Michael Foot kwenye kampeni. Kifupi Armstrong hakuwahi mwambia yoyote tuhuma za Michael Foot hata kwenye chama Cha conservative, labour au hata marafiki wa uingereza kama marekani. Swala likabaki kwa M16 , endapo Michael foot akishinda uchaguzi mkuu ingeleta mtafaruku kidogo ,na ingebidi Hadi malkia wa uingereza apewe taarifa . Lakini kama bahati Michael foot a.k.a agent BOOT hakushinda uchaguzi huo.

Mwaka 1982 joto la Vita baridi lilikuwa limepanda sana kwa pande zote east na west .. Kremlin waliamini kwamba nchi za magharibi hususani uingereza wangeanzisha vita halisi.
Nimefikia hapa

Jangiri sugu Fortunatus Buyobe njoo ukopi ukaniuzie
 
Nilichogundua nchi za wenzetu zilizo serious kwenye mambo yake huwekeza sana kwenye ujasusi.

Hapa kwetu na Afrika kwa ujumla ujasusi walio nao sirious ni wa siasa tu , tena siasa za ndani ambazo kimsingi ni siasa mbovu na zenye ubinafsi na kujikimbikizia madaraka.

Hatuna ujasusi wa uchumi, ujasusi wa teknolojia, ujasusi wa matibabu madawa , ujasusi wa elimu na mengi yenye muktadha wa namna hiyo.

Hii ni changamoto kubwa sana kwetu na natumaini tutaendelea kuwa kua daraja la chini mpaka tutakapo badili fikra na mitazamo yetu.
 
27



Maisha yaliendelea kama kawaida kwa bwana Oleg na maisha yake aliyoyachagua DOUBLE LIFE.
Maisha yake na mkewe Leila pamoja na watoto wao wawili waliishi kama kawaida wakawa obsessed na lifestyle ya uingereza . Wanao walipelekwa kwenye shule za uingereza .
Kipindi Oleg akiwa holiday huko Moscow , walikuwa na deep discussion na mkuu wa kitengo Cha FCD wakati huo bwana Nikolai gribin kuhusiana na na position mbalimbali za siasa za Russia na pia viongozi wa kisiasa waliokuwa na ushawishi wakati huo. Kipindi hicho kulikuwa na mwanasiasa aliyekuwa anachipukia na kuwa na ushawishi kwenye chama chake Cha komunist party aliyeitwa Mikhail Gorbachev.
Huyu bwana Gorbachev alitarajiwa angekuwa kiongozi wa Soviet kwa wakati huo. Kutokana na aina yake ya uongozi na pia misimamo Yake kuhusu siasa za kimataifa ,alimvutia Margaret thatcher na ilitarajiwa angefanya ziara ya kitaifa nchini uingereza. Na hatimaye 1984 Gorbachev alikubali mwaliko kutoka uingereza.
Hapa majasusi wa pande zote mbili M16 na KGB wakacheza karata zao kwenye ziara hii . KGB waliamua kumpangia Gorbachev nini aseme akikutana na Margaret na vilevile M16 wakampangia thatcher ninj cha kuongea mbele ya mgeni wake kwa msaada wa Oleg.
Hili swala Oleg Gordievsky lilimpa ushawishi sana na umaarufu ,kwa pande zote mbili kinzani sio ndani ya M16 Bali pia hata kwa KGB. Bwana Oleg alicheza kwenye nafasi yake kama mkuu wa kitengo Cha political intelligence ndani ya ubalozi wa Soviet hapo London. Kwa mfano Moscow walipanga topic za kuongelewa na Gorbachev kwenye ziara hiyo ,kama vile maswala ya kijeshi ,uchumi na teknolojia. Pia pamoja ya yote haya Urusi walidhani huenda tukio la kudukuliwa kwa kiongozi wao wa nchi kwenye nchi ya kigeni.
Kwa mfano ilisemekana Nikita Khrushchev alipofanya ziara ya kitaifa nchini uingereza mwaka 1956 sehemu aliyofikia ilidukuliwa kwa kupandikizwa vinasa sauti . Tukio hili Urusi walipojua lilizusha sana Mgogoro wa kidiplomasia baina ya nchi hizi mbili. Hivyo kwenye ziara hii walijipanga. Kukutana kwa viongozi Hawa wawili kwa wakati huo kulizusha mijadala mikali miongoni mwa wachambuzi wa siasa za kimataifa. Hii ilitokana na haiba ya viongozi Hawa na misimamo waliokuwa nayo. Gorbachev alikuwa ni breeding ya mfumo wa communism uliobeba mfumo mzima wa Soviet huku Margaret thatcher akiwa ni mpingaji wa mfumo huo kandamizi na wa kinyonyaji. Lakini ilikuja kuonekana Gorbachev alikuwa na itikadi za kiliberali kwa mbali. Na ndio iliamua ziara hii kufanyika kwa msaada wa majasusi wa pande zote mbili.
Hatimaye Mikhail na mkewe Raisa Gorbachev waliwasili London tarehe 15 Dec 1984 na ziara hii ilikuwa ya siku nane. Alitarajiwa pia kufanya shopping,na pia kutembelea British library ambapo bwana Karl Marx aliandika kitabu Cha das kapital na mambo mengine mengi.
Ziara hii ilienda vizuri kama ilivyotarajiwa .



**********@*******

Turudi Hadi kwa CIA huko Langley Virginia.[emoji116][emoji116]
Bwana Burton Gerber aliyekuwa ndiye alikuwa mkuu wa kitengo ndani ya CIA kilichokuwa kinashughulika na ujasusi ndani ya Soviet.
Alikuwa mtaalamu katika kitengo hicho. Ni kwamba huyu bwana alitamani sana kujua taarifa za kijasusi walizokuwa wanapata M16 kutoka kwenye chanzo Chao . Kutokana na bwana huyu kuwa expert katika kukusanya taarifa nyeti za kijasusi ndani ya Soviet ,hakuwa anapata taarifa fresh na za moto kama M16 walizokuwa wanapata kutoka kwa NOCTON a.k.a Oleg.
Kiufupi CIA walitamani kujua chanzo hiki ,lakini M16 kamwe hawakutaka kumu expose Oleg Kwa CIA . Kuna nukuu inasema " The psychological gratification of all intelligence work lies in knowing more than your adversaries,but also more than your allies...... In the all- embracing global view from Langley,the CIA had a right to know anything and everything it wanted to know".
Ni kwamba kupitia info alizokuwa anatoa Oleg Kwa M16 , CIA aliona atapoteza ushawishi duniani hususan kwenye swala la ujasusi .
Linapokuja swala ujasusi CIA alikuwa ana share taarifa na mashirika mengine kwa makubaliano maalumu hususan kama Lina maslahi kwa wote. Lakini kwenye swala la Oleg ,M16 hawakutaka kutoa identity ya NOCTON kwa namna yoyote ile.
Bill Casey mkurugenzi wa CIA wakati huo alitumia ushawishi aliokuwa nao kwa M16 lakini bado uingereza iliendelea kukaza.
Basi kutokana na uingereza kuendelea kukaza, ikatoka order from above ( huenda kwa Reagan au bill Casey),kwa Siri kwa ajili ya kumtambua huyu source aliyekuwa anawapa info M16. Hii ilikuwa ni mapema mwaka 1985. Na hili swala endapo uingereza wangegundua wanafanyiwa ujasusi ingekuwa ni kukiuka mutual agreements walizojiwekea baina ya mashirika haya mawili na ingezusha mtafaruku mkubwa .Huu mpango alipewa Gerber. Ofisi hii ya kitengo Cha ujasusi ndani ya Soviet ndipo idara ya counter-intelligence ilikuwepo na ndio idara ambayo Aldrich Ames aliisimamia...........[emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji1].
Huyu bwana Ames mbali na kuwa mkuu wa idara hii lakini maisha yake binafsi yalikuwa yanashida kidogo.
Huyu mwamba alikuwa ni mlevi kupindukia ukizingatia alikuwa na mke au mchepuko ambao ulikuwa unatumia pesa vibaya mno. Huyu bwana kutokana na maisha yake kuwa broke alijikuta na deni la $47000. Inasemekana wakati mmoja aliwaza kuvamia benki kutaka ku settle mambo . Hii ilitokana na matumizi makubwa aliyokuwa nayo mkewe Rosario dupuy. Hili swala lilimletea mgogoro yeye na wakuu wake wa kazi hapo kitengoni Langley . Mbali na tabia zake hizi wakuu wake wa kazi hawakumtilia maanani wala kumhisi vibaya bwana huyu.. ... What A fatal mistake

Tukiachana na personal life la bwana huyu, ni kwamba kutokana na position aliyokuwa nayo alikuwa na access ya taarifa za kijasusi zote kuhusiana na urusi wakati huo . Pia alikuwa anajua taarifa zote za majasusi waliopandikizwa ndani ya urusi wa KGB wanaotoa taarifa za kijasusi kwa Marekani. Kazi hii ya CIA kutaka kujua au kumjua jasusi anayeipa uingereza taarifa za kiintelijensia uingereza alikuwa nayo bwana huyu pamoja na Gerber. Wazungu waliwahi sema "EVERY SPY LEAVES CLUES". Wamarekani walianzia kwenye msemo huu kutaka kusolve hili fumbo la huyu SOURCE ni nani??
Kitengo hichi alichokuwepo bwana Ames wakaanza taratibu kupitia taarifa zote za kijasusi walizokuwa wanazipata kwa M16 ambazo NOCTON au Oleg alizokuwa anawapa.
Kwa mfano kuhusiana taarifa za operation ya kijasusi ya Russia iliyokuwa inafanywa ya Kutaka kufahamu viashiria vya kutokea kwa vita ya nyuklia ,ilianza kutoa clue kwamba huenda huyu source atakuwa ni afisa wa KGB ,na huenda ana cheo kikubwa kiasi kwenye shirika Hilo kuweza kupata taarifa hizi[emoji848].
Wakaanza kupata clue nyingine ,kwamba huenda huyu SOURCE atakuwa na uwezekano wa kukutana na M16 mara kwa mara. Na wakaweza kung'amua kwamba huyu source huenda yupo nje Russia na possiblity ya source huyu kuwa ndani ya uingereza ilikuwa ni mkubwa . Vilevile CIA wakaendelea kupata clues zaidi ,kwamba kwa taarifa walizokuwa wanapata M16 kutoka kwa SOURCE zilikuwa zinatoa infos chache kuhusiana na maswala ya kijeshi au kiteknolojia lakini zilikuwa zipo based kwenye maswala ya politics kwa kiasi kikubwa. Na kwa vile CIA walikuwa wanajua organizational structure ya shirika la KGB , waliamini huyu source atakuwa anafanya kazi kwenye idara FCD (first chief directorate) kitengo kidogo Cha political intelligence.[emoji3578][emoji3578][emoji28].
CIA wakaendelea kufanya enquiries za kutosha kuhusiana na SOURCE . CIA wakajiuliza swali lingine muhimu . Ni lini nchi ya Soviet ilianza kupoteza majasusi au mapandikizi wake waliokuwa nchi za magharibi ? Na kweli wakaanza ku connect dot. Baadhi ya watu kadhaa hususan majasusi walishtukiwa wakihusishwa kufanya kazi na Russia, Arne treholt, na haavik wa Norway na vilevile berlig wa sweeden , na la Zaidi ni huyu bettaney au Koba aliyekamatwa nchini uingereza kwa tuhuma za kijasusi. Marekani wakapata clues kwamba huenda huyu SOURCE ndio aliyewachomesha .
Marekani wakaendelea kupata clues zaidi wakiamini kutokana na hao majasusi waliotuhumiwa na kukamatwa kwenye nchi za Norway, Sweden na uingereza , huenda huyu SOURCE alishawahi fanya kazi kwenye nchi mojawapo ya Scandinavia. Pia CIA wakaanza kuunganisha dot Zaidi kufukuzwa kwa balozi wa Russia nchini uingereza Bwana Arkadi guk baada ya kugundulika au kutuhumiwa alikuwa anafanya ujasusi ndani ya nchi hiyo.
Baada ya CIA kufanya enquiries hizi zote pamoja na kuchora pattern zote na kuunganisha matukio , zilimwangukia bwana OLEG GORDIEVSKY .[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38].
Wanasema kwamba kuhusiana na hili nanukuu" The Brits thought they knew something the Americans didn't know they knew.... But now the CIA knew something that M16 did not know they knew" . Hii ilikuwa ni gemu katika ulimwengu wa kijasusi.Ni kama unamwinda mtu ambaye naye anakuwinda ila hujui kama anakuwinda .

Kutokana na CIA majibu kuhusiana na mwamba NOCTON a.k.a Oleg au source. wao Walimpa jina la uficho au codename TICKLE.............

.........
Dah
Hii episode ya leo ya moto sana hii
 
27



Maisha yaliendelea kama kawaida kwa bwana Oleg na maisha yake aliyoyachagua DOUBLE LIFE.
Maisha yake na mkewe Leila pamoja na watoto wao wawili waliishi kama kawaida wakawa obsessed na lifestyle ya uingereza . Wanao walipelekwa kwenye shule za uingereza .
Kipindi Oleg akiwa holiday huko Moscow , walikuwa na deep discussion na mkuu wa kitengo Cha FCD wakati huo bwana Nikolai gribin kuhusiana na na position mbalimbali za siasa za Russia na pia viongozi wa kisiasa waliokuwa na ushawishi wakati huo. Kipindi hicho kulikuwa na mwanasiasa aliyekuwa anachipukia na kuwa na ushawishi kwenye chama chake Cha komunist party aliyeitwa Mikhail Gorbachev.
Huyu bwana Gorbachev alitarajiwa angekuwa kiongozi wa Soviet kwa wakati huo. Kutokana na aina yake ya uongozi na pia misimamo Yake kuhusu siasa za kimataifa ,alimvutia Margaret thatcher na ilitarajiwa angefanya ziara ya kitaifa nchini uingereza. Na hatimaye 1984 Gorbachev alikubali mwaliko kutoka uingereza.
Hapa majasusi wa pande zote mbili M16 na KGB wakacheza karata zao kwenye ziara hii . KGB waliamua kumpangia Gorbachev nini aseme akikutana na Margaret na vilevile M16 wakampangia thatcher ninj cha kuongea mbele ya mgeni wake kwa msaada wa Oleg.
Hili swala Oleg Gordievsky lilimpa ushawishi sana na umaarufu ,kwa pande zote mbili kinzani sio ndani ya M16 Bali pia hata kwa KGB. Bwana Oleg alicheza kwenye nafasi yake kama mkuu wa kitengo Cha political intelligence ndani ya ubalozi wa Soviet hapo London. Kwa mfano Moscow walipanga topic za kuongelewa na Gorbachev kwenye ziara hiyo ,kama vile maswala ya kijeshi ,uchumi na teknolojia. Pia pamoja ya yote haya Urusi walidhani huenda tukio la kudukuliwa kwa kiongozi wao wa nchi kwenye nchi ya kigeni.
Kwa mfano ilisemekana Nikita Khrushchev alipofanya ziara ya kitaifa nchini uingereza mwaka 1956 sehemu aliyofikia ilidukuliwa kwa kupandikizwa vinasa sauti . Tukio hili Urusi walipojua lilizusha sana Mgogoro wa kidiplomasia baina ya nchi hizi mbili. Hivyo kwenye ziara hii walijipanga. Kukutana kwa viongozi Hawa wawili kwa wakati huo kulizusha mijadala mikali miongoni mwa wachambuzi wa siasa za kimataifa. Hii ilitokana na haiba ya viongozi Hawa na misimamo waliokuwa nayo. Gorbachev alikuwa ni breeding ya mfumo wa communism uliobeba mfumo mzima wa Soviet huku Margaret thatcher akiwa ni mpingaji wa mfumo huo kandamizi na wa kinyonyaji. Lakini ilikuja kuonekana Gorbachev alikuwa na itikadi za kiliberali kwa mbali. Na ndio iliamua ziara hii kufanyika kwa msaada wa majasusi wa pande zote mbili.
Hatimaye Mikhail na mkewe Raisa Gorbachev waliwasili London tarehe 15 Dec 1984 na ziara hii ilikuwa ya siku nane. Alitarajiwa pia kufanya shopping,na pia kutembelea British library ambapo bwana Karl Marx aliandika kitabu Cha das kapital na mambo mengine mengi.
Ziara hii ilienda vizuri kama ilivyotarajiwa .



**********@*******

Turudi Hadi kwa CIA huko Langley Virginia.[emoji116][emoji116]
Bwana Burton Gerber aliyekuwa ndiye alikuwa mkuu wa kitengo ndani ya CIA kilichokuwa kinashughulika na ujasusi ndani ya Soviet.
Alikuwa mtaalamu katika kitengo hicho. Ni kwamba huyu bwana alitamani sana kujua taarifa za kijasusi walizokuwa wanapata M16 kutoka kwenye chanzo Chao . Kutokana na bwana huyu kuwa expert katika kukusanya taarifa nyeti za kijasusi ndani ya Soviet ,hakuwa anapata taarifa fresh na za moto kama M16 walizokuwa wanapata kutoka kwa NOCTON a.k.a Oleg.
Kiufupi CIA walitamani kujua chanzo hiki ,lakini M16 kamwe hawakutaka kumu expose Oleg Kwa CIA . Kuna nukuu inasema " The psychological gratification of all intelligence work lies in knowing more than your adversaries,but also more than your allies...... In the all- embracing global view from Langley,the CIA had a right to know anything and everything it wanted to know".
Ni kwamba kupitia info alizokuwa anatoa Oleg Kwa M16 , CIA aliona atapoteza ushawishi duniani hususan kwenye swala la ujasusi .
Linapokuja swala ujasusi CIA alikuwa ana share taarifa na mashirika mengine kwa makubaliano maalumu hususan kama Lina maslahi kwa wote. Lakini kwenye swala la Oleg ,M16 hawakutaka kutoa identity ya NOCTON kwa namna yoyote ile.
Bill Casey mkurugenzi wa CIA wakati huo alitumia ushawishi aliokuwa nao kwa M16 lakini bado uingereza iliendelea kukaza.
Basi kutokana na uingereza kuendelea kukaza, ikatoka order from above ( huenda kwa Reagan au bill Casey),kwa Siri kwa ajili ya kumtambua huyu source aliyekuwa anawapa info M16. Hii ilikuwa ni mapema mwaka 1985. Na hili swala endapo uingereza wangegundua wanafanyiwa ujasusi ingekuwa ni kukiuka mutual agreements walizojiwekea baina ya mashirika haya mawili na ingezusha mtafaruku mkubwa .Huu mpango alipewa Gerber. Ofisi hii ya kitengo Cha ujasusi ndani ya Soviet ndipo idara ya counter-intelligence ilikuwepo na ndio idara ambayo Aldrich Ames aliisimamia...........[emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji1].
Huyu bwana Ames mbali na kuwa mkuu wa idara hii lakini maisha yake binafsi yalikuwa yanashida kidogo.
Huyu mwamba alikuwa ni mlevi kupindukia ukizingatia alikuwa na mke au mchepuko ambao ulikuwa unatumia pesa vibaya mno. Huyu bwana kutokana na maisha yake kuwa broke alijikuta na deni la $47000. Inasemekana wakati mmoja aliwaza kuvamia benki kutaka ku settle mambo . Hii ilitokana na matumizi makubwa aliyokuwa nayo mkewe Rosario dupuy. Hili swala lilimletea mgogoro yeye na wakuu wake wa kazi hapo kitengoni Langley . Mbali na tabia zake hizi wakuu wake wa kazi hawakumtilia maanani wala kumhisi vibaya bwana huyu.. ... What A fatal mistake

Tukiachana na personal life la bwana huyu, ni kwamba kutokana na position aliyokuwa nayo alikuwa na access ya taarifa za kijasusi zote kuhusiana na urusi wakati huo . Pia alikuwa anajua taarifa zote za majasusi waliopandikizwa ndani ya urusi wa KGB wanaotoa taarifa za kijasusi kwa Marekani. Kazi hii ya CIA kutaka kujua au kumjua jasusi anayeipa uingereza taarifa za kiintelijensia uingereza alikuwa nayo bwana huyu pamoja na Gerber. Wazungu waliwahi sema "EVERY SPY LEAVES CLUES". Wamarekani walianzia kwenye msemo huu kutaka kusolve hili fumbo la huyu SOURCE ni nani??
Kitengo hichi alichokuwepo bwana Ames wakaanza taratibu kupitia taarifa zote za kijasusi walizokuwa wanazipata kwa M16 ambazo NOCTON au Oleg alizokuwa anawapa.
Kwa mfano kuhusiana taarifa za operation ya kijasusi ya Russia iliyokuwa inafanywa ya Kutaka kufahamu viashiria vya kutokea kwa vita ya nyuklia ,ilianza kutoa clue kwamba huenda huyu source atakuwa ni afisa wa KGB ,na huenda ana cheo kikubwa kiasi kwenye shirika Hilo kuweza kupata taarifa hizi[emoji848].
Wakaanza kupata clue nyingine ,kwamba huenda huyu SOURCE atakuwa na uwezekano wa kukutana na M16 mara kwa mara. Na wakaweza kung'amua kwamba huyu source huenda yupo nje Russia na possiblity ya source huyu kuwa ndani ya uingereza ilikuwa ni mkubwa . Vilevile CIA wakaendelea kupata clues zaidi ,kwamba kwa taarifa walizokuwa wanapata M16 kutoka kwa SOURCE zilikuwa zinatoa infos chache kuhusiana na maswala ya kijeshi au kiteknolojia lakini zilikuwa zipo based kwenye maswala ya politics kwa kiasi kikubwa. Na kwa vile CIA walikuwa wanajua organizational structure ya shirika la KGB , waliamini huyu source atakuwa anafanya kazi kwenye idara FCD (first chief directorate) kitengo kidogo Cha political intelligence.[emoji3578][emoji3578][emoji28].
CIA wakaendelea kufanya enquiries za kutosha kuhusiana na SOURCE . CIA wakajiuliza swali lingine muhimu . Ni lini nchi ya Soviet ilianza kupoteza majasusi au mapandikizi wake waliokuwa nchi za magharibi ? Na kweli wakaanza ku connect dot. Baadhi ya watu kadhaa hususan majasusi walishtukiwa wakihusishwa kufanya kazi na Russia, Arne treholt, na haavik wa Norway na vilevile berlig wa sweeden , na la Zaidi ni huyu bettaney au Koba aliyekamatwa nchini uingereza kwa tuhuma za kijasusi. Marekani wakapata clues kwamba huenda huyu SOURCE ndio aliyewachomesha .
Marekani wakaendelea kupata clues zaidi wakiamini kutokana na hao majasusi waliotuhumiwa na kukamatwa kwenye nchi za Norway, Sweden na uingereza , huenda huyu SOURCE alishawahi fanya kazi kwenye nchi mojawapo ya Scandinavia. Pia CIA wakaanza kuunganisha dot Zaidi kufukuzwa kwa balozi wa Russia nchini uingereza Bwana Arkadi guk baada ya kugundulika au kutuhumiwa alikuwa anafanya ujasusi ndani ya nchi hiyo.
Baada ya CIA kufanya enquiries hizi zote pamoja na kuchora pattern zote na kuunganisha matukio , zilimwangukia bwana OLEG GORDIEVSKY .[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38].
Wanasema kwamba kuhusiana na hili nanukuu" The Brits thought they knew something the Americans didn't know they knew.... But now the CIA knew something that M16 did not know they knew" . Hii ilikuwa ni gemu katika ulimwengu wa kijasusi.Ni kama unamwinda mtu ambaye naye anakuwinda ila hujui kama anakuwinda .

Kutokana na CIA majibu kuhusiana na mwamba NOCTON a.k.a Oleg au source. wao Walimpa jina la uficho au codename TICKLE.............

.........
Ujasusi ndani ya ujasusi...

CIA wamemfahamu ila KGB hawajamfahamu msaliti wao.... inashangaza.
 
Nilichogundua nchi za wenzetu zilizo serious kwenye mambo yake huwekeza sana kwenye ujasusi.

Hapa kwetu na Afrika kwa ujumla ujasusi walio nao sirious ni wa siasa tu , tena siasa za ndani ambazo kimsingi ni siasa mbovu na zenye ubinafsi na kujikimbikizia madaraka.

Hatuna ujasusi wa uchumi, ujasusi wa teknolojia, ujasusi wa matibabu madawa , ujasusi wa elimu na mengi yenye muktadha wa namna hiyo.

Hii ni changamoto kubwa sana kwetu na natumaini tutaendelea kuwa kua daraja la chini mpaka tutakapo badili fikra na mitazamo yetu.
Na ndio maana ka nchi umaskini hauishi mpaka kiama, Yani imagine nguvu imewekezwa kulinda wanasiasa na chama Dola tu vitu vingine ka uchumi, maendeleo yameachwa Yana hang out. China kufikia level ya ku surpass USA imewekeza kwenye intelligence ya uchumi, masoko, elimu na uwekezaji ikiwemo kulinda maadili ya asili Yao huku kwetu hola bin hola. Intelligence zetu zingejiimarisha Kila idara tungepiga hatua shida wanajificha kwenye chaka la amani
 
Na ndio maana ka nchi umaskini hauishi mpaka kiama, Yani imagine nguvu imewekezwa kulinda wanasiasa na chama Dola tu vitu vingine ka uchumi, maendeleo yameachwa Yana hang out. China kufikia level ya ku surpass USA imewekeza kwenye intelligence ya uchumi, masoko, elimu na uwekezaji ikiwemo kulinda maadili ya asili Yao huku kwetu hola bin hola. Intelligence zetu zingejiimarisha Kila idara tungepiga hatua shida wanajificha kwenye chaka la amani
Unajua hizi idara zetu pia nafukiria kama zingekuwa zinajiweza kiuchumi zingekuwa independent pia kutekeleza majukumu Yao pasipo kuingiliwa na Hawa wanasiasa . Shida huku kwetu wanasiasa ndio wenye Hela
 
Unajua hizi idara zetu pia nafukiria kama zingekuwa zinajiweza kiuchumi zingekuwa independent pia kutekeleza majukumu Yao pasipo kuingiliwa na Hawa wanasiasa . Shida huku kwetu wanasiasa ndio wenye Hela
Hizi idara Zingetakiwa ziwe vyombo huru kuanzia usalama wa taifa, sijui takukuru zimepewe full autonomy ya kufanya majukumu Yao sio kuwa mara chini ya Rais, mara sijui bunge zinakuwa toothless dog asiye bite. Pia zingeweseshwa ki fund ingawa hata Sasa Huwa hawakaguliwi matumizi Yao. Kwa case ka hii ya Oleg ni somo kubwa ka nchi idara zetu zijifunze kitu
 
Back
Top Bottom