myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
🤣🤣Na ndio maana ka nchi umaskini hauishi mpaka kiama, Yani imagine nguvu imewekezwa kulinda wanasiasa na chama Dola tu vitu vingine ka uchumi, maendeleo yameachwa Yana hang out. China kufikia level ya ku surpass USA imewekeza kwenye intelligence ya uchumi, masoko, elimu na uwekezaji ikiwemo kulinda maadili ya asili Yao huku kwetu hola bin hola. Intelligence zetu zingejiimarisha Kila idara tungepiga hatua shida wanajificha kwenye chaka la amani
.....