KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Kumbe ulikuwa unaifuatilia kimya kimya![emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alichokuwa anakifanya Jiwe Si ndo ujamaa huo,..Wakazalishwa akina Oleg wengi ikiwemo Kigogo na Mange.,..ndo maana mwenda zake nchi ilimshinda[emoji28][emoji28] na kilichoangusha hasa u dictator na viongozi kutotoa uhuru wa baadhi ya mambo lazima uzalishe kina Oleg wa Kila aina
Ni kweli imagine kuishi zama za mkono wa chuma kama za jiwe mda wote kufatiliana na wengine kupotezwa kimya kimya. In short ujamaa ni kautumwa flani wananchi wote mnashikiwa akili na watu WachacheAlichokuwa anakifanya Jiwe Si ndo ujamaa huo,..Wakazalishwa akina Oleg wengi ikiwemo Kigogo na Mange.,..ndo maana mwenda zake nchi ilimshinda
Ilikuwa rahisi sana CIA kumjua source kuliko Urusi kumtambua mapema , maana wao walikuwa wanapata info bila kumjua source hivyo walikuwa na grounds za kumjua source tofauti na Urusi ambao wao Yuko ndani na wanafanya kazi nayeOleg ,kapanda cheo na kitumbua kinaingia mchanga
Ila wazee wa langley nimewakubali,hadi hapo wako mbele hatua moja,warusi nyuma,wamemjua oleg kabla ya kremlin hawajamjua,halafu wamepiga kimya
swadakta,na hasa aina ya infos alizokua anawafeed MI6Ilikuwa rahisi sana CIA kumjua source kuliko Urusi kumtambua mapema , maana wao walikuwa wanapata info bila kumjua source hivyo walikuwa na grounds za kumjua source tofauti na Urusi ambao wao Yuko ndani na wanafanya kazi naye
Ujasusi ndio nguvu ya nchi. Mfano mdogo sana, Libya ilikuwa na jeshi la kutisha lakini kilichomkuta Gaddafi ni Intelligence failures. Taifa likichezewa kijasusi mnaweza hata kupandikiziwa Rais, mkanunua silaha feki, dola kuendeshwa kutokea nchi nyingine na kujikuta mmekuwa koloni ficho!Nilichogundua nchi za wenzetu zilizo serious kwenye mambo yake huwekeza sana kwenye ujasusi.
Hapa kwetu na Afrika kwa ujumla ujasusi walio nao sirious ni wa siasa tu , tena siasa za ndani ambazo kimsingi ni siasa mbovu na zenye ubinafsi na kujikimbikizia madaraka.
Hatuna ujasusi wa uchumi, ujasusi wa teknolojia, ujasusi wa matibabu madawa , ujasusi wa elimu na mengi yenye muktadha wa namna hiyo.
Hii ni changamoto kubwa sana kwetu na natumaini tutaendelea kuwa kua daraja la chini mpaka tutakapo badili fikra na mitazamo yetu.
Idara za usalama zilipaswa kutengwa kabisa na mikono ya wanasiasa! Hakuna wavuruga nchi popote kama wanasiasa! Hawa ndio huwa puppets wa maadui wa Taifa kwa kujua au kutokujua.Unajua hizi idara zetu pia nafukiria kama zingekuwa zinajiweza kiuchumi zingekuwa independent pia kutekeleza majukumu Yao pasipo kuingiliwa na Hawa wanasiasa . Shida huku kwetu wanasiasa ndio wenye Hela
SawasawaIdara za usalama zilipaswa kutengwa kabisa na mikono ya wanasiasa! Hakuna wavuruga nchi popote kama wanasiasa! Hawa ndio huwa puppets wa maadui wa Taifa kwa kujua au kutokujua.
Hapo pa koloni ficho mbona ni hatari, yapasa budget ya intelligence iwe kubwa sanaUjasusi ndio nguvu ya nchi. Mfano mdogo sana, Libya ilikuwa na jeshi la kutisha lakini kilichomkuta Gaddafi ni Intelligence failures. Taifa likichezewa kijasusi mnaweza hata kupandikiziwa Rais, mkanunua silaha feki, dola kuendeshwa kutokea nchi nyingine na kujikuta mmekuwa koloni ficho!
Yes zipo nyingi tu bosiHongera mkuu, nna swali kwako una story zingine za kijasusi zenye kufikirisha ukiacha hii ya Oleg ?
Omutima unadunda Kama niko kwenye live event.......ni atai kweikweiDah
Hii episode ya leo ya moto sana hii