Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

Alichokuwa anakifanya Jiwe Si ndo ujamaa huo,..Wakazalishwa akina Oleg wengi ikiwemo Kigogo na Mange.,..ndo maana mwenda zake nchi ilimshinda
Ni kweli imagine kuishi zama za mkono wa chuma kama za jiwe mda wote kufatiliana na wengine kupotezwa kimya kimya. In short ujamaa ni kautumwa flani wananchi wote mnashikiwa akili na watu Wachache
 
Oleg ,kapanda cheo na kitumbua kinaingia mchanga

Ila wazee wa langley nimewakubali,hadi hapo wako mbele hatua moja,warusi nyuma,wamemjua oleg kabla ya kremlin hawajamjua,halafu wamepiga kimya
Ilikuwa rahisi sana CIA kumjua source kuliko Urusi kumtambua mapema , maana wao walikuwa wanapata info bila kumjua source hivyo walikuwa na grounds za kumjua source tofauti na Urusi ambao wao Yuko ndani na wanafanya kazi naye
 
Nilichogundua nchi za wenzetu zilizo serious kwenye mambo yake huwekeza sana kwenye ujasusi.

Hapa kwetu na Afrika kwa ujumla ujasusi walio nao sirious ni wa siasa tu , tena siasa za ndani ambazo kimsingi ni siasa mbovu na zenye ubinafsi na kujikimbikizia madaraka.

Hatuna ujasusi wa uchumi, ujasusi wa teknolojia, ujasusi wa matibabu madawa , ujasusi wa elimu na mengi yenye muktadha wa namna hiyo.

Hii ni changamoto kubwa sana kwetu na natumaini tutaendelea kuwa kua daraja la chini mpaka tutakapo badili fikra na mitazamo yetu.
Ujasusi ndio nguvu ya nchi. Mfano mdogo sana, Libya ilikuwa na jeshi la kutisha lakini kilichomkuta Gaddafi ni Intelligence failures. Taifa likichezewa kijasusi mnaweza hata kupandikiziwa Rais, mkanunua silaha feki, dola kuendeshwa kutokea nchi nyingine na kujikuta mmekuwa koloni ficho!
 
Unajua hizi idara zetu pia nafukiria kama zingekuwa zinajiweza kiuchumi zingekuwa independent pia kutekeleza majukumu Yao pasipo kuingiliwa na Hawa wanasiasa . Shida huku kwetu wanasiasa ndio wenye Hela
Idara za usalama zilipaswa kutengwa kabisa na mikono ya wanasiasa! Hakuna wavuruga nchi popote kama wanasiasa! Hawa ndio huwa puppets wa maadui wa Taifa kwa kujua au kutokujua.
 
Ujasusi ndio nguvu ya nchi. Mfano mdogo sana, Libya ilikuwa na jeshi la kutisha lakini kilichomkuta Gaddafi ni Intelligence failures. Taifa likichezewa kijasusi mnaweza hata kupandikiziwa Rais, mkanunua silaha feki, dola kuendeshwa kutokea nchi nyingine na kujikuta mmekuwa koloni ficho!
Hapo pa koloni ficho mbona ni hatari, yapasa budget ya intelligence iwe kubwa sana
 
Back
Top Bottom