Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wa Ames unakushawishi?Kiukweli usaliti wa Oleg haujanishawishi kabisa [emoji28] how can you hate ur country kiasi hicho.
Ila msaliti ni msaliti hamna Cha msaliti NZuri au mubaya
Yeye alikuwa na shida ya hela hyo waweza elewa, Sasa hutaki hela unatoa tu Bure haloo.Ila wa Ames unakushawishi?
Mbona Oleg alianza kulipwa hela?Yeye alikuwa na shida ya hela hyo waweza elewa, Sasa hutaki hela unatoa tu Bure haloo.
Ila wote tu hapo hamnazo na recruitment Yao haifanyika kiumakini wala
Aliona ni upuuzi kuuza siri bureè tuu, bora achukue ili kufidia siri zake.Mbona Oleg alianza kulipwa hela?
Mwanzo aligoma kupokea hela kuhofia kushtukiwa lakini baadae alianza kupokea hela.
All in all wasaliti hawafai wanaweza uza nchi hivi hivi na Huwa hawakosekani popoteMbona Oleg alianza kulipwa hela?
Mwanzo aligoma kupokea hela kuhofia kushtukiwa lakini baadae alianza kupokea hela.
Kama yule wa tutashtakiwa Miga naye yupo kwenye payroll somewhere.All in all wasaliti hawafai wanaweza uza nchi hivi hivi na Huwa hawakosekani popote
PMLICO ilifanya kazi vzr[emoji38]Oleg aliponyoka mkuu.
Sema nisiseme kupoteza Radha ya story.
Ila Ames alidakwa yupo sello.
Record yake imevunjwa juzi juzi na hassen 2001
warusi wanaenda kumkosa olegUtamu kolea....
Hii story kuna kitu cha msingi sana imetufundisha nacho ni kwamba West walikuwa smart sana kwenye kuplan UJASUSI wao kuliko East au soviet. Na hichi kitu pekee ndio kilimuokoa huyu Oleg gordievskjyOleg aliponyoka mkuu.![]()
Sema nisiseme kupoteza Radha ya story.
Ila Ames alidakwa yupo sello.
Record yake imevunjwa juzi juzi na hassen 2001
[emoji38]Oleg aliponyoka mkuu.
Sema nisiseme kupoteza Radha ya story.
Ila Ames alidakwa yupo sello.
Record yake imevunjwa juzi juzi na hassen 2001
West hawakuwa smart sema Oleg ndio aliwasaidia maana alikuwa na access na taarifa nyeti so sioni u smart wamshukuru Oleg alivowasaidia na wao wakamuokoa.Hii story kuna kitu cha msingi sana imetufundisha nacho ni kwamba West walikuwa smart sana kwenye kuplan UJASUSI wao kuliko East au soviet. Na hichi kitu pekee ndio kilimuokoa huyu Oleg gordievskjy
Yeah, hata mm naona hivyo but sijui kwanini inapaishwa sana KGB kuliko CIA au M16! Tena sasa hivi watu wanavyomzungumzia Putin as kachero mstaafu mmbobezi as if hakukuwa kama yeye ilhali kuna wana hawana majina Lkn ni hatari sana.Hii story kuna kitu cha msingi sana imetufundisha nacho ni kwamba West walikuwa smart sana kwenye kuplan UJASUSI wao kuliko East au soviet. Na hichi kitu pekee ndio kilimuokoa huyu Oleg gordievskjy
Sawa tu msaliti si wakumchekea huyo ni zaidi ya ibilisi uyuda wake unaleta madhara makubwa Kwa watu wengi.Kama yule wa tutashtakiwa Miga naye yupo kwenye payroll somewhere.
Je,ni sahihi kwa alichofanyiwa kipindi kile kwa ku refer kauli yako???
KGB nadhani walikuwa wanasifika kwa ukatili tu na si kingine. Think tank yao ilikuwa poor sana. Ila pia kingine ni kwamba kitu chochote ambacho hakijiexpose sana hutokea tu kuogopwa ukilinganisha na kitu ambacho kiko wazi.Yeah, hata mm naona hivyo but sijui kwanini inapaishwa sana KGB kuliko CIA au M16! Tena sasa hivi watu wanavyomzungumzia Putin as kachero mstaafu mmbobezi as if hakukuwa kama yeye ilhali kuna wana hawana majina Lkn ni hatari sana.
Ukisoma hii story sijui kipindi hicho Putin alikuwa wapi!?
Kuna msemo unasema "kama huoni udhaifu wako basi huo ndio udhaifu wenyewe" 😂 😂 😂West hawakuwa smart sema Oleg ndio aliwasaidia maana alikuwa na access na taarifa nyeti so sioni u smart wamshukuru Oleg alivowasaidia na wao wakamuokoa.
So ilikuwa kufa kufaana
Fact...KGB nadhani walikuwa wanasifika kwa ukatili tu na si kingine. Think tank yao ilikuwa poor sana. Ila pia kingine ni kwamba kitu chochote ambacho hakijiexpose sana hutokea tu kuogopwa ukilinganisha na kitu ambacho kiko wazi.
Sio udhaifu ni vile hawakufikiria possible options kuwa what if huyu atatoroka na kumbuka huo usaliti wa Oleg ni kama kuishi mume na mke unayemwamini sana ukute ndio anakuuza so kutoboa hapo ni ngumu mnoKuna msemo unasema "kama huoni udhaifu wako basi huo ndio udhaifu wenyewe" [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kitendo cha kuweza kumpata Jasusi wa upande wa pili, kutumia na kumtorosha bila shida hii ni udhaifu mkubwa kwa KGB