Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

Mazombi kule. Wenye akili wako huku. Ukileta kisichoeleweka huku wanakujua mapema
Surely huku sio kwa kila mtu ,watu wanakuumbua na facts na sio rahisi watu kuwachota akili kizembe zembe .Na pia huku nasikia hata top official figures wa serikalini hupita huku kwa fake i.d kuchukua nondo kimya kimya [emoji28][emoji3578][emoji3578]
 
Kuna stori fulani ya Habib anga ya kijasusi niliwahi ikuta kule kwa mtu Fulani na niliwahi isoma kitambo kidogo humu na hakuna credit yoyote kwa bwana yule ...lilinishangaza kidogo
Kama anakopi na kupest basi ibaki alama symbol katikati ya notice zile, labda aandike upya teena. Na walivyo vilaza watakopi tuu na kupes5 tuu. Nakumbuka hata huyo Hanga alikalamikaga humu.
 
Kabisa
 
Once again..... 💪💪💪
 
Nitag kwenye huo Uzi ndugu
 
Dah hii habari ya Hawa jamaa na bintiye ili trend sana, nakumbuka enzi za Theresa May, ila hii kazi Huwa ni ngumu sana na una risk Hadi familia yako.
Ila na Hawa Russia Kwa mambo ya sumu za hatari mbona wako vizuri hivi, hyo biological war ipo siku wataangamiza Dunia nzima sasa
 
Hakuna KAZI nyepesi duniani

Kukaa NJAA nayo KAZI ngumu kwelikweli
 
Yea ilitrend sana kipindi hicho na inasemekana hii ishu ilimsumbua sana Theresa may hususan kwa wapinzani wake wa kisiasa
 
Surely huku sio kwa kila mtu ,watu wanakuumbua na facts na sio rahisi watu kuwachota akili kizembe zembe .Na pia huku nasikia hata top official figures wa serikalini hupita huku kwa fake i.d kuchukua nondo kimya kimya [emoji28][emoji3578][emoji3578]
Na pia huku nasikia hata top official figures wa serikalini hupita huku kwa fake i.d kuchukua nondo kimya kimya![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umepita mulemule.
 
Maisha ya jasusi ni yanatafakarisha sana, ni kazi ambayo sio ya kila mtu, ni watu .

Pengine mwanajeshi ana maisha mazuri kuliko jasusi.
 
Huyu mwamba Oleg japo watu wanamuona snich. Lakini mimi kwa jicho la 3 namuona shujaaa wa dunia. Usariti wake ulikuwa na maana sana. Kuna uwezekano mpaka sasa dunia isingekuwa hivi ilivyo. Huyu mwamba alisaidia sana kufanya visitokee vita vya nuclear
 
Linchi lenyewe la kulilinda liko wapi cariha ?. Hili hili ambalo ukijifanya kulilinda wewe mmoja,lakini mamia wanalitafuna kuanzia matawi mpaka mizizi. Tena wakuu ndio hawajali kuitafuna
Ni huzuni Kwa kweli ila wazalendo Wachache wapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…