Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

Freedom of speech sponsored by interenet bundles! 😊
Hyo kulala salama ni just lazy excuse na watu ka nyie ni conservative you don't want change, Kuna vitu hata vya utendaji wa kawaida wa huduma kijamii hyo inahusikaje na kulala Kwa amani. To me napendelea mabadiliko chanya Kwa nchi yangu kuendana na nyakati sio kutumia old ways zisizotupa namna ya kwenda mbele Sasa Hadi Leo madawati na vyoo vya shule ni changamoto huoni Kuna mahali tumekwama kufikiri. So amani na kulala isiwe chaka la justification ya kuwa wavivu.
 
Nikichojifunza ni kwamba ukiisaliti nchi yako kwa namna yoyote ,lazima utalipa high price even the blood price of your loved ones.
Oleg naweza kusema ni bahati ilikuwa upande wake ,kama ilivyo tu kwa ilivyokuwa kwa Kim Philby ambaye naye yupo huko Russia kwa Siri .
Yote Tisa KGb itabaki kuwa Moja ya taasisi nyeti ya kuigwa kama mfano kwa nchi nyingi duniani mpka sasa japokuwa Ili collapse mwaka 1991.



Sawasawa
 
Mpaka sehemu ya 36 then Kuna aftermath ndio inafika mwisho
Kumbe Niko nyuma sana. Nadhani inabidi kama anayo amesave sehemu episode zote ni vizuri zipandishwe kwenye thread kama updates, maana kwa mtu kama Mimi itakuwa ngumu kupitia page zote ili kupata mtiririko mzuri.
 
Kumbe Niko nyuma sana. Nadhani inabidi kama anayo amesave sehemu episode zote ni vizuri zipandishwe kwenye thread kama updates, maana kwa mtu kama Mimi itakuwa ngumu kupitia page zote ili kupata mtiririko mzuri.
Yes waifanyie hivo itakuwa Vizuri na rahisi Kwa users wanaoanza kuisoma kuliko kufatilia comments moja moja inachosha
 
Jino kwa jino ila Oleg ni too much kawauza kgb wengi sana kaitia USSR hasara kubwa anatakiwa apate adhabu ya kipekee.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
No . Oleg ni Cha mtoto , Kuna mtu aliitwa Kim Philby huyu ni mwingereza na alifanya kama alivyofanya Oleg tu . Ingetokea Oleg amekamatwa na KGB adhabu ilikuwa ni Moja tu angepigwa shaba ya kichwa na kuzikwa kwenye kaburi ambalo halina alama yoyote.. Of course alihukumiwa adhabu ya kifo.na ikitokea yupo exposed mahali popote uraiani lazima awe assassinated . Ndio maana uingereza wanamficha sana... Kwa Sasa nadhani ni mzee sana anakaribia tisini huko
 
No . Oleg ni Cha mtoto , Kuna mtu aliitwa Kim Philby huyu ni mwingereza na alifanya kama alivyofanya Oleg tu . Ingetokea Oleg amekamatwa na KGB adhabu ilikuwa ni Moja tu angepigwa shaba ya kichwa na kuzikwa kwenye kaburi ambalo halina alama yoyote.. Of course alihukumiwa adhabu ya kifo.na ikitokea yupo exposed mahali popote uraiani lazima awe assassinated . Ndio maana uingereza wanamficha sana... Kwa Sasa nadhani ni mzee sana anakaribia tisini huko
Mkuu ikikupendeza upatapo nafasi tushushie kazi za kim philby Naona UK kumtumia Oleg ilikuwa ni kulipiza kisasi kwa Ussr kwa kumtumia Kim philby na vilevile M16 walipata siri nyingi za Kgb

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom