Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Freedom of speech sponsored by interenet bundles! 😊
Hyo kulala salama ni just lazy excuse na watu ka nyie ni conservative you don't want change, Kuna vitu hata vya utendaji wa kawaida wa huduma kijamii hyo inahusikaje na kulala Kwa amani. To me napendelea mabadiliko chanya Kwa nchi yangu kuendana na nyakati sio kutumia old ways zisizotupa namna ya kwenda mbele Sasa Hadi Leo madawati na vyoo vya shule ni changamoto huoni Kuna mahali tumekwama kufikiri. So amani na kulala isiwe chaka la justification ya kuwa wavivu.