Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

Kwa mujibu wa maoni binafsi ya mwandishi wa hii ishu ya Oleg Bwana Ben macintyre, Ni kwamba kile kitendo Cha kuitwa Hadi kupata mwaliko ikulu ya white house kwa Ronald Reagan lilikuwa ni Kama tusi la nguoni kwa KGB na mbaya zaidi alipewa medani ya heshima ya juu na malkia Elizabeth...
 
Ohooooo
 
Person of interest
 
Hatari
 
Kuna yanayoendelea sasa ktk nchi za Urusi,Ukraine na west ambapo majasus wa kila upande wanahaha kutafuta taarifa


Mfano unakuta west wanasafirisha silaha kuzipeleka Ukraine kwa ajili ya mapambano lkn hizo silaha inabid ziende kwa kificho


Wakat huo Urusi kupitia majasus wake nae anataka kujua silaha zinapitia wap na kuhifadhiwa wap ili azilipue


Kwa hiyo majasus wanashirik pakubwa kwenye hili zoez
 
Surely huku sio kwa kila mtu ,watu wanakuumbua na facts na sio rahisi watu kuwachota akili kizembe zembe .Na pia huku nasikia hata top official figures wa serikalini hupita huku kwa fake i.d kuchukua nondo kimya kimya [emoji28][emoji3578][emoji3578]
[emoji28][emoji28][emoji28]...! Lazima I see huku kuna nondo hatari. Mtu mwenye uelewa lazima uje uchote maarifa huku.

Ukitaka kujua huku kuna nondo za maana pitia huu Uzi, members wamejadiri kama wako bunge la congress.

Huku sio kwa majaribio. Ukileta kitu huku uwe na uhakika, utafikiri watu wanaingia mpaka moyoni mwako
 
Haya mambo Huwa yanakuja kugundulika Baada ya vita kuisha ,pale wataalamu wa hayo maswala wanapokuja na tafiti za kijasusi kuhusiana na hii vita.
 
Nimejaribu kuanzisha Uzi na kupandisha humu jf ila naona kama umezuiliwa na mods Sasa sijui shida ni nini haswa na huo Uzi [emoji848][emoji848]. Nawaomba wanipe maelezo
Wakileta maznguzi unganisha na huu tuu
 
Nimejaribu kuanzisha Uzi na kupandisha humu jf ila naona kama umezuiliwa na mods Sasa sijui shida ni nini haswa na huo Uzi [emoji848][emoji848]. Nawaomba wanipe maelezo
Uzi Gani huo itakuwa mods hawajau release don't forget to tag me please
 
Na marafiki zangu ni wa Irish aisee wakija bongo wakienda supermarket wananunua bidhaa made in Irish Kwa kuzitafta na wanafurahia kabisa huku Tanzania sijui kwanini hatupendi kununua vitu made in Tanzania tunapenda vya nje
Quality
 
Kati Kwa kati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…