Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

Kwa Tanzania hata wananchi wenyewe hatuko tayari kulipa gharama za mafanikio. Hili nililiona enzi ya JPM nilikua nafanya kazi mahali ktk taasisi fulani sasa wakati jpm anabadilisha mifumo mingi kwenye maeneo mbali mbali ikiwemo mfumo ule wa malipo kwa control number asee watu walikuwa hawamtaki hata kidogo maana aliwapokonya ulaji mwingi na wakawa hadi wakimuombea mabaya.

Siyo hapo tu ata ile system ya kubana fedha toka kwa mafisadi, kufanya review ya wafanyakazi serikalini (na kuwatoa wafanyakazi hewa) na mifumo mingine yenye tija kwa taifa mbeleni kitu ambacho kilifanya maisha yawe magumu kwa muda huo Watu hawakuwa tayari kuvumilia hali hiyo. Wakaanza kusikika "bora kikwete bora kikwete "[emoji23]
Kifupi watanzania wanapenda aina ya uongozi ambayo ni nyoro nyoro isiyowabana utasikia tu wakisema "hata kama kuna watu wanapiga si mradi tuko hai na tuna amani Mungu atatusaidia tu huko mbeleni" [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2] ni kwamba watanzania na mifumo ya kiutawala ni wagumu mno kubadilika na wanapenda upigaji. So mleta mabadiliko Huwa hawamtaki lazima aundiwe zengwe sijui nani katuloga kama taifa. Imagine mtu kapewa nafasi ya uongozi haongezi jambo lolote lenye tija na anakula tu mshahara Sasa kitu kilichotumika miaka 20 utumie Leo 2023 si inakuwa tayari outdated Kwa mengi?
Na ndio maana watu walipinga mfumo wa control number ili waendelee kupiga tu wizi wao.
Siku tukiacha conservative na kubadilika na kuwa zaidi problem solver na kuwa wabunifu tutapiga hatua ila hizi business as usual tutaachwa na Dunia
 
[emoji2][emoji2][emoji2] ni kwamba watanzania na mifumo ya kiutawala ni wagumu mno kubadilika na wanapenda upigaji. So mleta mabadiliko Huwa hawamtaki lazima aundiwe zengwe sijui nani katuloga kama taifa. Imagine mtu kapewa nafasi ya uongozi haongezi jambo lolote lenye tija na anakula tu mshahara Sasa kitu kilichotumika miaka 20 utumie Leo 2023 si inakuwa tayari outdated Kwa mengi?
Na ndio maana watu walipinga mfumo wa control number ili waendelee kupiga tu wizi wao.
Siku tukiacha conservative na kubadilika na kuwa zaidi problem solver na kuwa wabunifu tutapiga hatua ila hizi business as usual tutaachwa na Dunia
And just to make it summary tunaweza conclude sasa kwamba nchi hii ni ngumu sana kufikia level za wenzetu. Watatoka walionyuma yetu na kutupita sisi tuko hapa hapa na kimsingi kwa sasa ni kila mtu anaangaza angaza anachoweza kukipata achukue chake mapema tu hakuna namna
 
Inashangaza sna sana mpaka leo hii karne ya 21 dunia ya Science & Technology eti katika nchi yetu kuingia ndani ya jengo la Bunge kutunga sheria na kuisimamia serikali eti kigezo ni ujue kusoma na kuandika tu mwenye above 21yrs!!!!????? 😂
Ningekuwa Rais ningeanza kwanza na hili hakiyanani
 
And just to make it summary tunaweza conclude sasa kwamba nchi hii ni ngumu sana kufikia level za wenzetu. Watatoka walionyuma yetu na kutupita sisi tuko hapa hapa na kimsingi kwa sasa ni kila mtu anaangaza angaza anachoweza kukipata achukue chake mapema tu hakuna namna
[emoji2][emoji2][emoji2]hapo pa kuchukua chako mapema kumenichekesha kweli yani. Ni kwamba mifumo ya kiutawala nchi hii effectiveness yake ndogo labda Iko 45% hivi ya ku deliver.
 
[emoji2][emoji2][emoji2]hapo pa kuchukua chako mapema kumenichekesha kweli yani. Ni kwamba mifumo ya kiutawala nchi hii effectiveness yake ndogo labda Iko 45% hivi ya ku deliver.
The stronger will survive the weaker will perish.... Hujasikia huko kwenye mikopo ya halmashauri inapigwa vibaya mpaka pm anaambia aistopishe kwanza?? 😂 😂 😂
 
Kwangu Mimi idara ya usalama inabidi kuwezeshwa maana ndio core au engine ya ku drive change. Ila ikiwa blind na mambo yote yanakuwa blind vile vile na huwezi shindana na kitu usichokijua nguvu yake lazima upigwe
Changamoto kubwa kwa nchi zetu za kiafrika, idara hizi hazipo huru, nyingi zinaendeshwa kwa msukumo wa kisiasa
 
Huyu Oleg ni kwamba anasifiwa maana bila yy kuna uwezekano kungekuwa na vita ya nuclear kati ya mataifa. Na taarifa alizozitoa ni kuwataja raia wa wingereza marekani na mataifa mengine ya Europe wanaotoa siri zao kwa Russia, na raia gani wa Russia ni jasusi. Kwahyo sio kweli kuwa russia ilichezewa, ila pia Russia ilichezea wengine vibaya sana.
Kabisa....ulikuwa mchezo wa kuwahiana tu.

KGB nao waliweza kuwatumia kina Aldeich Ames, Robert Hanseen, Jack Barsky (tena huyu alikuwa sleeper agent aliyepandikizwa na Kgb huko US)......hao na wengine waliweza pia kuwavuruga wamagharibi kwa faida ya Ussr.
 
The stronger will survive the weaker will perish.... Hujasikia huko kwenye mikopo ya halmashauri inapigwa vibaya mpaka pm anaambia aistopishe kwanza?? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sasa jamani hata swala la upigaji la mikopo tumeshindwa kuudhibiti na Kuna idara zote hapo si kituko and I think sio imeshindikana nadhani upigaji unaanzia juu mpaka chini so kuwajibishana hamna.
 
Kabisa....ulikuwa mchezo wa kuwaiana tu.

KGB nao waliweza kuwatumia kina Aldeich Ames, Robert Hanseen, Jack Barsky (tena huyu alikuwa sleeper agent aliyepandikizwa na Kgb huko US)......hao na wengine waliweza pia kuwavuruga wamagharibi kwa faida ya Ussr.

Sasa huyo Aldeich Ames ndie alie suspect kuwa Goby Oleg, ndie anavujisha siri za ussr. Wakt huo Aldeich alikuwa mkuu wa CIA idara inayopambana na russia huku akiwa anavujisha siri za CIA kwa kgb
 
Hizo nchi zote zinazojiita tajiri, ukiacha Russia ambayo ina utajiri asilia, mataifa mengine yote uchumi wao ni wa kwenye makaratasi. Ndiyo maana wameweka nguvu kubwa sana kwenye ujasusi. Budget km CIA siyo mchezo kaka! Uingereza aliyetutawala sisi, pamoja na kuondoka, lakini yeye ndiyo anaamua karibu kila kitu chetu. Uingereza wana Taasisi hapa za kumwaga, kwa ujinga wa watu Taasisi hizo wanaamini zina malengo hayo yanayosemwa hadharani..ulishawahi kujiuliza Taasisi km British council ina kazi ya kukuza lugha ya kiingereza hapa nchini!?? Taasisi hiyo imejaa makachero wa uk na watanzania ambao ni mapandikizi..
Colonisation pia ni janga lilituumiza hadi leo
 
Hyo kulala salama ni just lazy excuse na watu ka nyie ni conservative you don't want change, Kuna vitu hata vya utendaji wa kawaida wa huduma kijamii hyo inahusikaje na kulala Kwa amani. To me napendelea mabadiliko chanya Kwa nchi yangu kuendana na nyakati sio kutumia old ways zisizotupa namna ya kwenda mbele Sasa Hadi Leo madawati na vyoo vya shule ni changamoto huoni Kuna mahali tumekwama kufikiri. So amani na kulala isiwe chaka la justification ya kuwa wavivu.
Umesema kweli Kuna shida ya vitu ulivyotaja hapo hatukutakiwa kua navyo kwa kipindi hiki.
 
Sasa huyo Aldeich Ames ndie alie suspect kuwa Goby Oleg, ndie anavujisha siri za ussr. Wakt huo Aldeich alikuwa mkuu wa CIA idara inayopambana na russia huku akiwa anavujisha siri za CIA kwa kgb
Kuna makala ya mwaka 2015 inadai kuna utata kuhusu hizo tuhuma, tena kuna uwezekano kuna jasusi mwingine ambae bado hajafamika ndiye aliyewauza kina Oleg....

Ipitie na wewe hii hapa chini.
👇

 
10



unapotumwa kama mwanadiplomasia mwakilishi wa nchi yako kwenye nchi nyingine, taarifa zako zinatumwa kwanza huko kwa ajili ya kukagua record zako, ikiwemo ku process visa n k. Taarifa zinazokaguliwa pia wanaangalia nchi ulizowahi kwenda,marital status n.k. Kwa kifupi wanakufanyia ukaguzi wa kutosha through papers ,Nchi husika ikiona hauna shida wanatoa go ahead na kuendelea na taratibu zingine kuruhusiwa kuingia.
Taarifa za bwana Oleg ikiwemo tuhuma za uwezekano wa kuwa jasusi la KGB zilikuwa zipo mezani. kumbuka file la Oleg waliokuwa nalo MI6 walililipa jina SUNBEAM likiwa linasimamiwa na afisa guscott waliona kwamba huenda Denmark haitaweza kumpokea kama mwakilishi huyo wa kidiplomasia kutoka urusi tena kutokana na record zake. Hivyo MI6 wakatuma kachero Hadi Denmark kuwashawishi PET wakubali ujio wake huko,ikiwa na maana kuruhusu visa itakayotumwa ubalozini ifanyiwe clearance zote na kumruhusu kuingia Denmark na taratibu zingine za kidiplomasia kwa maana M16/M15 yaliamini huenda kumtumia jasusi wa KGB kupata taarifa nyeti na mipango yote ya Kremlin kutawasaidia sana hususan wakati huo vita baridi kati ya Soviet bloc na west ulikuwa unatokota jikoni na muda wowote linaweza kuiva na kuwa vita rasmi ya dunia.
Hivyo MI6 wakamtuma kachero wao Hadi Copenhagen aliyeitwa Richard bromhead.

Siku hazigandi taratibu zilifuatwa hatimaye visa ya bwana Oleg Gordievsky ikawa approved kwa msaada wa MI6 Kwani PET walikuwa wanakaza ila walilegeza wakaamua kuruhusu Oleg arudi Denmark.Haya yote bwana bromhead aliambiwa awe attention Hadi huyu bwana ana report kituo chake Cha kazi kwa kufuatilia kila hatua .
Oleg na mkewe Yelena walifika Tena Copenhagen oktoba 11,1972. kwa mujibu wa boss wake Oleg ,Dimitri Yakushin, majukumu yake ndani ya Denmark sio Tena ku run na kusimamia operation za illegals la hasha. majukumu yake mapya ya Oleg yalikuwa ni ujasusi wa kisiasa. Hii ni ujasusi wa kuwatumia wanasiasa wawakilishi na upinzani , viongozi wa vyama vya wafanyakazi,wafanyabiashara wakubwa pamoja na waandishi wa nchi hiyo ya Denmark kupata infos za kiintelijensia kwa ajili ya Soviet . Ugumu ukaja kwamba kiasili nchi ya Denmark ni raia wachache sana ambao walikuwa interested na Soviet ,hivyo bwana Oleg huenda angetumia njia ya ziada kupata infos za kutosha.Money( the Grease that oils the wheels of so much espionage). Na njia nyingine za ushawishi ikiwemo kujipendekeza kwa baadhi ya wanasiasa au propaganda za kutengeneza fake news.
kila jaribio la kuwatumia baadhi ya wa danish ambao ni public figures kupata access ya infos ziligonga mwamba . Lakini bwana Oleg aliweza kumpata kiongozi wa chama Denmark's socialists people's party bwana Gert Petersen ambaye alikuwa mbunge wa bunge la ulaya kwa wakati huo. Alifanikiwa kujenga naye mazoea ya Siri sana na huyu bwana alipewa codename ZEUS . Na kweli huyu bwana mbele ya pesa hukumweleza kitu(alikuwa ni chapombe mzuri ) alitema Siri za kutosha hususan sera za nje ya nchi ya Denmark na mipango mikakati yote.
Baadaye Tena Copenhagen ikapata balozi mpya kutoka urusi aliyeitwa Alfred mogilevchik na akamchagua Bwana Oleg kama naibu wake.
Hii teuzi ikawa inamaanisha kwamba bwana Oleg anapanda ngazi taratibu ndani ya KGB . Na kadri alivyopanda ngazi ndivyo alivyokuwa anapata access ya taarifa nyingi za Siri za Soviet . Haya yote M16 na PET wanaangalia kupitia radar zao.
Ndani ya Denmark ilitarajiwa Kuna hafla ingefanyika siku za karibuni na miongoni mwa wageni waalikwa wangekuwemo maafisa wa balozi mbalimbali, wawakilishi, wafanyabiashara wakubwa n.k. Hivyo bwana bromhead jasusi wa M16 alikuwa na picha za Siri za Bwana Oleg hususan zilizopatikana wakati Wana process passport yake.Hafla ilifanyika kwenye ukumbi wa rådhus hapo Jiji la copenhagen. Na kweli kama ilivyotarajiwa bwana Oleg alihudhuria Hivyo bwana bromhead aliweza kumuona . wakakutana sehemu ya Diplomatic lunch club hapo ukumbini. Hapo bwana Oleg hakuweza ku notice huyu Bwana bromhead ni jasusi anayempeleleza yeye. Aliona ni mgeni mwalikwa kama waalikwa wengine [emoji28] . Waliongea Convos za hapa na pale kama tu wanadiplomasia wawili waliokutana kwenye party. Taarifa za bromhead kukutana na Oleg kwenye party alizituma nyumbani uingereza. swala na kipengele kikawa ni mawasiliano. Bromhead hakuwa anajua ki Russia ,lugha ya ki danish alikuwa anaongea kile cha kuunga . Ila bwana Oleg alikuwa anaongea kijerumani na ki danish kwa ufasaha ila kingereza cha you know, yeah, yes ok . Kwa kifupi kile Cha kuombea maji[emoji28][emoji28]. Kikwazo Cha kwanza ilikuwa ni lugha.
Kwenye hii dunia ya ujasusi ,kumwajiri jasusi wa nchi nyingine Ili akupe infos za nchi yake ni mchakato mgumu sana na inahitaji mambo ya ziada kufanyika.endapo pesa kama nyenzo kubwa kufeli.[emoji88]. kwa mfano TISS watake kumwajiri jasusi wa Rwanda aweze kutoa infos za Rwanda ni mchakato kidogo mzito . Endapo huyo jasusi pesa sio kipaumbele chake .Ndivyo hili swala lilikuwa linamwangaisha bwana bromhead jasusi la M16. Maana waliona kumshawishi bwana Oleg Gordievsky ni kazi ngumu ambayo ingeweza kuleta mgongano wa kidiplomasia na kashfa kubwa sana endapo mpango huu kabambe unge leak.
M16 Wakaamua kusuka Mpango mwingine ili waweze kumshawishi Oleg.
Iliandaliwa party nyingine ndogo ya kidiplomasia Ili waweze kualikwa maafisa kadhaa wa ubalozi na delegates ambao wako affiliated na urusi ikitarajiwa Oleg Gordievsky na jopo lake wangehudhuria.
Ni nzr
 
Back
Top Bottom