Tarehe 19 Septembe TP Mazembe ana Mechi ya Ligi, Dar Wanakuja Kufanya Nini?

Tarehe 19 Septembe TP Mazembe ana Mechi ya Ligi, Dar Wanakuja Kufanya Nini?

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Kama kawaida.

Nabii Demigod niko Mjengoni na Swali jingine.

Ratiba LigiKuu Congo yaani LinaFoot imetoka leo. Inaonyesha kuwa TP Mazembe wanamchezo wa Ligi katika siku hiyo.? Je Simba wanacheza na TP Mazembe ipi? Kwanini Viongozi wa Simba wanapenda kuwa hadaa sana mashabiki wa Simba?

Maana hapo mwanzo walidokeza kuwa wanaleta Timu kubwa kwenye Tamasha, ghafla bin Vuu wakatu-Suprise na TP Mazembe. Hakuna shabiki wa simba aliye amini huu mwaliko, ila inabidi tu kukubaiana na uamuzi kwakuwa thamani ya hisa za Wanachama hazija zidi zile za Muhindi ambazo hata nazo pia hazija fika kwenye akaunti rasmi ya klabu.

Je TP Mazembe ina kikosi kipana cha kutosha hata kuleta wachezaji wa ziada Dar?

Hiki ni kitendawili ambacho Simba imewaachia mashabiki.

(Ninafuatilia zaidi, nitarudi na taarifa rasmi_)
 
Kama kawaida.

Nabii Demigod niko Mjengoni na Swali jingine.

Ratiba LigiKuu Congo yaani LinaFoot imetoka leo. Inaonyesha kuwa TP Mazembe wanamchezo wa Ligi katika siku hiyo.? Je Simba wanacheza na TP Mazembe ipi? Kwanini Viongozi wa Simba wanapenda kuwa hadaa sana mashabiki wa Simba?

Maana hapo mwanzo walidokeza kuwa wanaleta Timu kubwa kwenye Tamasha, ghafla bin Vuu wakatu-Suprise na TP Mazembe. Hakuna shabiki wa simba aliye amini huu mwaliko, ila inabidi tu kukubaiana na uamuzi kwakuwa thamani ya hisa za Wanachama hazija zidi zile za Muhindi ambazo hata nazo pia hazija fika kwenye akaunti rasmi ya klabu.

Je TP Mazembe ina kikosi kipana cha kutosha hata kuleta wachezaji wa ziada Dar?

Hiki ni kitendawili ambacho Simba imewaachia mashabiki.

(Ninafuatilia zaidi, nitarudi na taarifa rasmi_)
Ndugu unahangaika mno
 
Kama kawaida.

Nabii Demigod niko Mjengoni na Swali jingine.

Ratiba LigiKuu Congo yaani LinaFoot imetoka leo. Inaonyesha kuwa TP Mazembe wanamchezo wa Ligi katika siku hiyo.? Je Simba wanacheza na TP Mazembe ipi? Kwanini Viongozi wa Simba wanapenda kuwa hadaa sana mashabiki wa Simba?

Maana hapo mwanzo walidokeza kuwa wanaleta Timu kubwa kwenye Tamasha, ghafla bin Vuu wakatu-Suprise na TP Mazembe. Hakuna shabiki wa simba aliye amini huu mwaliko, ila inabidi tu kukubaiana na uamuzi kwakuwa thamani ya hisa za Wanachama hazija zidi zile za Muhindi ambazo hata nazo pia hazija fika kwenye akaunti rasmi ya klabu.

Je TP Mazembe ina kikosi kipana cha kutosha hata kuleta wachezaji wa ziada Dar?

Hiki ni kitendawili ambacho Simba imewaachia mashabiki.

(Ninafuatilia zaidi, nitarudi na taarifa rasmi_)
Na siku hiyo hiyo tarehe 19, misukule ya utopolo ya kuokoteza itakuwa inacheza na Rivers United, mchezo wa marudiano wa kukamilisha ratiba
 
Simba inacheza na Mazembe"B",haya tulia Simba tutafanya jambo letu bila tatizo.
Tuje kwenu sasa,umeshasikia taarifa mpya kuhusu Rivers Utd walichowafanyia kuhusu mechi yao mtakaocheza nao pale kwa Mkapa?
 
Sisi Mazembe tuna kikosi kipana
 
Na siku hiyo hiyo tarehe 19, misukule ya utopolo ya kuokoteza itakuwa inacheza na Rivers United, mchezo wa marudiano wa kukamilisha ratiba
Umemsikia "Manara"? Amesema Mechi Inaisha Tarehe 12 hiyo ya Marudiano watawapeleka Yanga Princess. 😂 😂
 
Unateseka ukiwa wap mkuu?
Nimetua Angoa kama masaa 2 yaliyopita nipo katika Jiji la Luanda. Niko Kwa Hotel inayoitwa Hotel Tropico.

Sio Mara yangu wa Kwanza katika hii Jiji. Ila Maisha ya Hapa ni gharama sana.
 
Tp Mazembe mechi yake ya ligi kama sijakosea ni tarehe 15 mwezi huu kisha atacheza tena tarehe 26 mwezi huu. Tarehe 19 hana mechi. Labda kama ratiba imebadilishwa
 
Nimetua Angoa kama masaa 2 yaliyopita nipo katika Jiji la Luanda. Niko Kwa Hotel inayoitwa Hotel Tropico.

Sio Mara yangu wa Kwanza katika hii Jiji. Ila Maisha ya Hapa ni gharama sana.
Tafuta hotel inaitwa Ritz, hutojuta, iko mbali kutoka hapo Luanda ipo kitongoji kinaitwa Calulo, kuna kila aina raha za hapa duniani. Almost 70 kilometres
 
CAF Official Clubs Ranking (5-year ranking)
Viwango vya club mwa miaka 5

1. Al Ahly [emoji1093]
2. Espérance [emoji1249]
3. Wydad Casablanca [emoji1173]
4. Raja Casablanca [emoji1173]
5. Zamalek [emoji1093]
6. Mamelodi Sundowns [emoji1221]
7. TP Mazembe [emoji1078]
8. RS Berkane [emoji1173]
9. Horoya [emoji1119]
10. Etoile Sahel [emoji1249]
11. Pyramids [emoji1093]
12. Simba [emoji1241]
13. AS Vita [emoji1078]
14. Kaizer Chiefs [emoji1221]
15. Enyimba [emoji1184]
16. JS Kabylie [emoji1026]

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
𝐓𝐔𝐈𝐓𝐀𝐅𝐔𝐓𝐄 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐀 𝐒𝐀𝐒𝐀
17. Al Hilal [emoji1232]
18. CS Sfaxien [emoji1249]
19. MC Alger [emoji1026]
20. Hassania Agadir [emoji1173]
21. 1° de Agosto [emoji1029]
22. Orlando Pirates [emoji1221]
23. Coton Sport [emoji1062]
24. CR Belouizdad [emoji1026]
25. Al Masry [emoji1093]
26. ES Setif [emoji1026]
27. USM Alger [emoji1026]
28. Zesco United [emoji1268]
29. Nkana [emoji1268]
30. Zanaco [emoji1268]
31. El Nasr [emoji1149]
32. FC Platinum [emoji1269]
33. Rangers [emoji1184]
34. Al Merreikh [emoji1232]
35. JS Saoura [emoji1026]
36. Lobi Stars [emoji1184]
37. ASEC Mimosas [emoji1081]
38. KCCA FC [emoji1254]
39. DJoliba [emoji1159]
40. Teungueth [emoji1211]

𝐍𝐈𝐌𝐄𝐂𝐇𝐎𝐊𝐀
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
𝐁𝐀𝐃𝐎 𝐒𝐈𝐖𝐀𝐎𝐍𝐈 𝐖𝐀𝐏𝐎 𝐊𝐖𝐄𝐋𝐈
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
𝐊𝐇𝐀𝐀𝐀𝐀𝐀 𝐖𝐀𝐊𝐈𝐇𝐈𝐒𝐓𝐎𝐑𝐈𝐀 𝐇𝐀𝐖𝐀𝐏𝐎
61
62
63
64
65
66
67
68
69
𝐌𝐀𝐖𝐄𝐄𝐄 𝐁𝐀𝐃𝐎 𝐓𝐔??[emoji849][emoji849]
70. Young Africans [emoji1241]
 
CAF Official Clubs Ranking (5-year ranking)
Viwango vya club mwa miaka 5

1. Al Ahly [emoji1093]
2. Espérance [emoji1249]
3. Wydad Casablanca [emoji1173]
4. Raja Casablanca [emoji1173]
5. Zamalek [emoji1093]
6. Mamelodi Sundowns [emoji1221]
7. TP Mazembe [emoji1078]
8. RS Berkane [emoji1173]
9. Horoya [emoji1119]
10. Etoile Sahel [emoji1249]
11. Pyramids [emoji1093]
12. Simba [emoji1241]
13. AS Vita [emoji1078]
14. Kaizer Chiefs [emoji1221]
15. Enyimba [emoji1184]
16. JS Kabylie [emoji1026]

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
𝐓𝐔𝐈𝐓𝐀𝐅𝐔𝐓𝐄 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐀 𝐒𝐀𝐒𝐀
17. Al Hilal [emoji1232]
18. CS Sfaxien [emoji1249]
19. MC Alger [emoji1026]
20. Hassania Agadir [emoji1173]
21. 1° de Agosto [emoji1029]
22. Orlando Pirates [emoji1221]
23. Coton Sport [emoji1062]
24. CR Belouizdad [emoji1026]
25. Al Masry [emoji1093]
26. ES Setif [emoji1026]
27. USM Alger [emoji1026]
28. Zesco United [emoji1268]
29. Nkana [emoji1268]
30. Zanaco [emoji1268]
31. El Nasr [emoji1149]
32. FC Platinum [emoji1269]
33. Rangers [emoji1184]
34. Al Merreikh [emoji1232]
35. JS Saoura [emoji1026]
36. Lobi Stars [emoji1184]
37. ASEC Mimosas [emoji1081]
38. KCCA FC [emoji1254]
39. DJoliba [emoji1159]
40. Teungueth [emoji1211]

𝐍𝐈𝐌𝐄𝐂𝐇𝐎𝐊𝐀
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
𝐁𝐀𝐃𝐎 𝐒𝐈𝐖𝐀𝐎𝐍𝐈 𝐖𝐀𝐏𝐎 𝐊𝐖𝐄𝐋𝐈
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
𝐊𝐇𝐀𝐀𝐀𝐀𝐀 𝐖𝐀𝐊𝐈𝐇𝐈𝐒𝐓𝐎𝐑𝐈𝐀 𝐇𝐀𝐖𝐀𝐏𝐎
61
62
63
64
65
66
67
68
69
𝐌𝐀𝐖𝐄𝐄𝐄 𝐁𝐀𝐃𝐎 𝐓𝐔??[emoji849][emoji849]
70. Young Africans [emoji1241]
Wewe jamaa acha uongo Kaizer chiefs, as vita na Kabylie wapo juu ya Simba na pia Enyimba na Simba wapo sawa sawa point wote wana point 24. Kabylie ni wa 12 ana point 28, As vita ni wa 13 anapoint 26, Kaizer chiefs ni ya 14 inapoint 25. Enyimba ni ya 15 na Simba ni ya 16. Hiyo nduyo rank official ya CAF. Yanga ni ya 7 kutoka mwisho.
 
CAF Official Clubs Ranking (5-year ranking)
Viwango vya club mwa miaka 5

1. Al Ahly [emoji1093]
2. Espérance [emoji1249]
3. Wydad Casablanca [emoji1173]
4. Raja Casablanca [emoji1173]
5. Zamalek [emoji1093]
6. Mamelodi Sundowns [emoji1221]
7. TP Mazembe [emoji1078]
8. RS Berkane [emoji1173]
9. Horoya [emoji1119]
10. Etoile Sahel [emoji1249]
11. Pyramids [emoji1093]
12. Simba [emoji1241]
13. AS Vita [emoji1078]
14. Kaizer Chiefs [emoji1221]
15. Enyimba [emoji1184]
16. JS Kabylie [emoji1026]

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
𝐓𝐔𝐈𝐓𝐀𝐅𝐔𝐓𝐄 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐀 𝐒𝐀𝐒𝐀
17. Al Hilal [emoji1232]
18. CS Sfaxien [emoji1249]
19. MC Alger [emoji1026]
20. Hassania Agadir [emoji1173]
21. 1° de Agosto [emoji1029]
22. Orlando Pirates [emoji1221]
23. Coton Sport [emoji1062]
24. CR Belouizdad [emoji1026]
25. Al Masry [emoji1093]
26. ES Setif [emoji1026]
27. USM Alger [emoji1026]
28. Zesco United [emoji1268]
29. Nkana [emoji1268]
30. Zanaco [emoji1268]
31. El Nasr [emoji1149]
32. FC Platinum [emoji1269]
33. Rangers [emoji1184]
34. Al Merreikh [emoji1232]
35. JS Saoura [emoji1026]
36. Lobi Stars [emoji1184]
37. ASEC Mimosas [emoji1081]
38. KCCA FC [emoji1254]
39. DJoliba [emoji1159]
40. Teungueth [emoji1211]

𝐍𝐈𝐌𝐄𝐂𝐇𝐎𝐊𝐀
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
𝐁𝐀𝐃𝐎 𝐒𝐈𝐖𝐀𝐎𝐍𝐈 𝐖𝐀𝐏𝐎 𝐊𝐖𝐄𝐋𝐈
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
𝐊𝐇𝐀𝐀𝐀𝐀𝐀 𝐖𝐀𝐊𝐈𝐇𝐈𝐒𝐓𝐎𝐑𝐈𝐀 𝐇𝐀𝐖𝐀𝐏𝐎
61
62
63
64
65
66
67
68
69
𝐌𝐀𝐖𝐄𝐄𝐄 𝐁𝐀𝐃𝐎 𝐓𝐔??[emoji849][emoji849]
70. Young Africans [emoji1241]

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wewe jamaa acha uongo Kaizer chiefs, as vita na Kabylie wapo juu ya Simba na pia Enyimba na Simba wapo sawa sawa point wote wana point 24. Kabylie ni wa 12 ana point 28, As vita ni wa 13 anapoint 26, Kaizer chiefs ni ya 14 inapoint 25. Enyimba ni ya 15 na Simba ni ya 16. Hiyo nduyo rank official ya CAF. Yanga ni ya 7 kutoka mwisho.
Haina haja ya kurekebisha kama fulani anabaki pale pale wa 7 kutoka mkiani[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom