Tetesi: Tarehe 21/12/2024 Mbowe atatangaza rasmi kutogombea uenyekiti na atamuunga mkono Tundu Lissu

Tetesi: Tarehe 21/12/2024 Mbowe atatangaza rasmi kutogombea uenyekiti na atamuunga mkono Tundu Lissu

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
3,474
Reaction score
3,744
Wasalaam

Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.

Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.
 
Huo ndio uamuzi pekee wa HEKIMA na BUSARA alionao sasa...

Nje ya hapo, anakwenda kudhalilika bila sababu za msingi....

Achilia mbali kushinda uchaguzi iwapo atagombea, lakini hata ikitokea amegombea na akashinda, uongozi wake awamu hii utakuwa mgumu sana....

Na kwa maamuzi yake ya kuendelea, ajue tu kuwa ata - demoralize kundi kubwa la wana CHADEMA, wapenzi (nikiwemo mimi) na mashabiki wa chama hiki...

Kwa kifupi atabaki na watu haohao waliokuja kwake jana kumwaga sumu dhidi ya mpinzani wake Tundu Lissu...

Miaka ya 2009, 2014 na 2019 tulimtetea kweli aendelee kuwa mwenyekiti kwa sababu hakukuwa na mtu sahihi wa kuvaa viatu vyake...

Mwaka huu 2024, mtu sahihi, makini na mwenye misimamo thabiti pengine kuliko yeye amepatikana na karibu dunia nzima inasema HUYU NDIYE MTU SAHIHI KUKALIA KITI HICHO...

Please, ndugu Freeman Mbowe pumzika kwa amani na kwa heshima zote huku ukiwa umekiacha chama kikiwa imara bila lawama tena mikononi mwa mtu sahihi kabisa Mh Tundu Lissu...

Na afahamu tu, Tundu Lissu hawezi ku back down hii vita kirahisi. Watapambana hadi dakika ya mwisho na wasipokuwa makini watararuana na kuacha makovu makubwa chamani na kutibika kwake itachukua miaka kadhaa...

Freeman Mbowe aache kujisifu kupita kiasi hata kujiona yeye ni CHADEMA na CHADEMA ni yeye. Dhana hii ni hatari sana...
 
Huo ndio uamuzi pekee wa HEKIMA na BUSARA alionao sasa...

Nje ya hapo, anakwenda kudhalilika bila sababu za msingi....

Achilia mbali kushinda uchaguzi iwapo atagombea, lakini hata ikitokea amegombea na ajashinda, uongozi wake wakati huu utakuwa mgumu sana....

Na kwa maamuzi yake ya kuendelea, ata demoralize kundi kubwa la wana CHADEMA, wapenzi (nikiwemo mimi) na mashabiki wa chama hiki...

Kwa kifupi atabaki na watu haohao waliokuja kwake jana kumwaga sumu dhidi ya mpinzani wake Tundu Lissu...

Na afahamu tu, Tundu Lissu hawezi ku back down hii vita kirahisi. Watapambana hadi dakika ya mwisho na wasipokuwa makini watararuana na kuacha makovu makubwa chamani na kutibika kwake itachukua miaka kadhaa...

Freeman Mbowe aache kujisifu kupita kiasi hata kujiona yeye ni CHADEMA na CHADEMA ni yeye. Dhana hii ni hatari sana...
Nimependa ulivyoandika!

Hongera sana Mkuu!
 
Wasalaam

Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.

Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.
Sijui itakuwaje huko mbeleni ila FAM atatangaza kugombea na atashinda. Labda Lissu atahamia ACT baada ya hapo.
 
Wasalaam

Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.

Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.
Hiii ndiyo busara, na pia kete ya ushindi kwa CDM..!
 
Yeriko na wenzake watakimbia.
Hii ni kawaida kabisa kunapotokea mabadiliko ya regime ktk taasisi au nchi yoyote, kuwa baadhi ya watu huwa ndio mwisho wao kwa kuwa aliyekuwa madarakani na kuwabeba, hayupo tena...?

Hayati Rais John P. Magufuli alipokufa tu, kina Sabaya Ole Lengai, Paul Makonda, Alexander Mnyeti na wengine wengi walitoa machozi ya kilio kikuu kwa sababu walijua hatuna nafasi tena na deal zetu zimekufa na kufikia mwisho...

Kwa hiyo, Yericko Nyerere kwa namna alivyojenga dhana za uongo dhidi ya Tundu Lissu na wengine kumtukana matusi ya nguoni, obvious akishika uongozi wa chama, wanaweza kujiengua wenyewe maana watakuwa hawana maslahi tena hapo...
 
Sijui itakuwaje huko mbeleni ila FAM atatangaza kugombea na atashinda. Labda Lissu atahamia ACT baada ya hapo.
Ndugu kumbe wewe hujamjua Tundu Lissu....

Hebu fuatilia historia yake kisha soma kwa umakini mkubwa tabia, hulka, silka na principles zinazoongoza mfumo wa maisha yake...

Ukimwelewa, utajua kuwa huyu mtu si wa kuhama kwenda chama chochote lolote liwavyo tokana na uchaguzi huu...!
 
Huo ndio uamuzi pekee wa HEKIMA na BUSARA alionao sasa...

Nje ya hapo, anakwenda kudhalilika bila sababu za msingi....

Achilia mbali kushinda uchaguzi iwapo atagombea, lakini hata ikitokea amegombea na akashinda, uongozi wake awamu hii utakuwa mgumu sana....

Na kwa maamuzi yake ya kuendelea, ajue tu kuwa ata - demoralize kundi kubwa la wana CHADEMA, wapenzi (nikiwemo mimi) na mashabiki wa chama hiki...

Kwa kifupi atabaki na watu haohao waliokuja kwake jana kumwaga sumu dhidi ya mpinzani wake Tundu Lissu...

Miaka ya 2009, 2014 na 2019 tulimtetea kweli aendelee kuwa mwenyekiti kwa sababu hakukuwa na mtu sahihi wa kuvaa viatu vyake...

Mwaka huu 2024, mtu sahihi, makini na mwenye misimamo thabiti pengine kuliko yeye amepatikana na karibu dunia nzima inasema HUYU NDIYE MTU SAHIHI KUKALIA KITI HICHO...

Please, ndugu Freeman Mbowe pumzika kwa amani na kwa heshima zote huku ukiwa umekiacha chama kikiwa imara bila lawama tena mikononi mwa mtu sahihi kabisa Mh Tundu Lissu...

Na afahamu tu, Tundu Lissu hawezi ku back down hii vita kirahisi. Watapambana hadi dakika ya mwisho na wasipokuwa makini watararuana na kuacha makovu makubwa chamani na kutibika kwake itachukua miaka kadhaa...

Freeman Mbowe aache kujisifu kupita kiasi hata kujiona yeye ni CHADEMA na CHADEMA ni yeye. Dhana hii ni hatari sana...
Uamuzi wa hekima na busara ungekua wa CCM kutangaza nafasi ya mwenyekiti kupigiwa kura badala ya kusimikwa kichifu.
 
Wasalaam

Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.

Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.
Wewe ni Lucia nkya? Mchepuko wa mwenyekiti?
 
CCM kwa sasa wanataka siasa za moto, na huyu TAL ndio anaweza kuwapelekea moto huo hadi waseme poo. Naomba Heche awe makamu na Lema awe katibu. Mtarimbo uende. ccm hawajitambui kwa sasa, na wanamshabikia sana Mbowe kwa siasa kitu ambacho si afya kwa siasa zetu. Ingependeza sana kama wapenzi wa CCM wangekaa kimya na siasa zao wazifanye kimya kimya hata kama wanampenda huyo Mbowe wao. Watanzanzia wanasema " Lissu will fix it" na mimi nasema , let him fix it.
 
Akifanya uamuzi huo tutamuheshimu sana, kwani hadi sasa tunaukubali uwezo wake uliokifikisha chama hapo kilipo, lakini tusingependa yeye atuhakikishie kuwa tulichokiamini siku zote kupitia siasa za chadema na taifa kwa ujumla, sicho alichokiamini...

chadema imeshaingia kwenye mioyo ya watu wengi kama chama chenye uwezekano wa kuwa mbadala wa CCM bila kujali kuwa chama kiliundiwa kaskazini wala kuongozwa na wa kaskazini.

Mbowe amwachie TAL hatamwangusha maana wengi tunaikubali misimamo yake na hatuna shaka atatupeleka mbele katika mustakabali wa siasa za nchi hii. People's power ifufuke upya kwa damu mpya katika uongozi wa juu wa chama.

Tunakuomba Mh. Freeman A. Mbowe mwachie Lissu hata kama itakuumiza nafsi ila tutakuheshimu daima.
 
Wasalaam

Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.

Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.
Haahaa nitaamini nikiona, wale machawa kina boni yai na yeriko itakuwaje?
 
Wasalaam

Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.

Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.
Kwahiyo Abdul atasemaje ?
 
Back
Top Bottom