Camcorowamodo
Senior Member
- Sep 12, 2024
- 160
- 150
Na kwako pia imekula. Ishara ziko wazi kabisa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika umeandika vizuri sana. Tundu Lisu akiamua kumvua nguo mr FAM hata anayemshabikia atajidharau maana Tl anajua mengi na ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja.Nimependa ulivyoandika!
Hongera sana Mkuu!
Haaa haaa boniyai ataende kuogelea mkadiBoniyai hata kukimbia hawezi na ule mwili wote labda abebwe na Bajaji.
Approch ya Lissu kuutaka uwenyekiti ilikuwa na walakini - hajui kutumia uugwana, hana lugha ya ki diplomasia anapayuka sana.
Kwa hiyo awe tayari kujipima ubavu ya Jabari.
Yericko ana mchango gani CHADEMAYeriko na wenzake watakimbia.
Wewe!Boniyai hata kukimbia hawezi na ule mwili wote labda abebwe na Bajaji.
Safari hii ccm hamna pa kutokea labda mufanye vurugu TAL atawanyoosha nyie wakoloni weziChama cha ukanda, ukabila, udini na utaifa katika ubora wake, ccm itaendelea kutawala japo ina madhaifu yake
Ndicho atachofanya amini hili andikoMandela anaheshimika mpaka leo na jina lake litaendelea kuwa reference katika kupigania haki, kujitoa kwaajili ya watu , siyo kwa sababu alikaa madarakani kwa muda mrefu, bali kwa sababu ya kuwaonesha njia wananchi wa Afrika Kusini.
Mbowe ataheshimika na kukumbukwa nyakati zote kama atachukua uamuzi huo kuliko kufanya vinginevyo.
Hajachelewa sana kufanya hivyo.
Na kweli akingeuka na kuwapuuza wanaomtakia mema basi ndo meisho wake maana ataivunja chadema bipande vipandeAgombee kife
Nimeagiza mahindi milipuko... Tayari kuangalia hii tamthiliaHivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.