Uchaguzi 2020 Tarehe 29 ni Kijani na Njano, kushoto, kulia, juu na chini

Uchaguzi 2020 Tarehe 29 ni Kijani na Njano, kushoto, kulia, juu na chini

cocochanel

Platinum Member
Joined
Oct 6, 2007
Posts
27,885
Reaction score
76,043
Ni furaha sana kwangu. Mimi nikiongea na wananchi, wanapotoa machozi, wakisema kwa furaha. Nanukuu machache:

"Nimefurahia sana nchi kuwa ilivyo na yenye hadhi" "Nilikuwa mvivu, ila sentensi ya asiye fanya kazi asile...,kwa kweli sasa biashara yangu inashamiri sana" "Niliishi kwa kutegemea pesa za ziada kazini, hata kutunga uongo. Kwa kweli sasa ninajua nini maana ya kubajeti na nina furaha sana bila kuishi kama mwizi" "Nilikuwa sibajali mke na watoto, kwa kweli michepuko ingeniua, pesa bamekula sioni faida. Sasa hivi mimi na mke tupo vizuri, nimekoma" "Kwa kweliii wajukuu zangu, Magufuli ametuweka vizuri walimu; tuna uhuru wa kufanya biashara zetu wenyewe nje ya kufundisha na maisha yapo bora. Huwezi ishi tegemea kikapu kimoja"

Ni mengi sana, nitaendelea

Shukurani sana

Rais jembe, imeweka historia nyingiiiii. Pigeni vigelegele wanawake.. wanaume pigeni miluzi..

HERI YA SIKUKUU YA KUZALIWA RAIS WETU JPM

Magufuli oyeeeeeeeee

Nalia kwa furaha.. tano tena.. kaa chini ndugu.. kaweke tiki kwa tanoooo tenaaaaaa

JPM 2020 💯

IMG-20201020-WA0078.jpg


Inaendelea posti #21.. oyeeeee


UPDATE..... AM 29 OCTOBER 2020: Mwaliko
wangu kwenu wote wananchi wenzangu..
kwanza HASWAAA WAPINZANI WA HUMU JF
napenda uwafikie kwanza.. wenzangu wa humu
wa bluu na nyekundu.. KARIBUNI SANAA
.ili tusherekeee tusaze.. JPM 2020 💛 💚 💛 💚 💛
yaani mkumbuke pia maendeleo hayana Chama...​
 
Ni kweli,
JPM for life and Forever,Amefanya mambo makubwa tangu nchi hii iundwe na kuwekewa mipaka na mkoloni

JPM namlinganisha na amemzidi akili Albert Einstein mwanasayansi nguli huyo pale alipogundua mapapai yana corona na ikawa mwanzo wa watu kujiamini

Twende mbele turudi nyuma hata Isaac Newton ,Abraham lincolin au Mahatma Ghandi hawamfikii JPM hata robo tu

Michael Angel hamfikii JPM hata nusu,Huyu Michael Angel ni nguli wa kila kitu hasa sanaa ya uchongaji na uchoraji na ameacha alama huko Sisten Chapel Italia ,Michoro yake hapo vatican haina mfano lakini kwa JPM Michael Angelo hamfikii hata kidogo hasa kwenye kusimamia uwajibikaji
.
Mimi binafsi ndio wakati ambao nimekuwa na pesa nyingi sana hata sijui nitumie vipi na nipeleke wapi maana kila kitu nilichofikiria nimetekeleza na kusaidia wengine

JPM ameongeza mishahara kwa kupunguza kodi kwa kila mwananchi aliyeajiriwa bila kuangalia dini zao au vyama vyao,Watu wameongezewa elfu hamsini nchi nzima

JPM ameajiri na kutoa ajira kwa malaki na maelfu kwa vijana waliomaliza vyuo hasa walimu,madaktari na wahasibu na juzi ameajiri walimu 13,000

Hakuna dharau wala mtu anayelalamika maisha magumu,kwani maisha mtaani ni mazuri sana ,Kuna lami kila kona ya nchi na taa barabarani,Maisha yamekuwa rahisi sana ,Leo hii tuna uwezo wa kununua chochote kwa bei nafuu sana

Mimi binafsi nisiwe mnafiki maisha yangu yamekuwa mazuri mara 1000 ukilinganisha na wakati wa Kikwete,Nimesafiri kila kona ya nje ya nchi nipendako nilisimama wakati wa corona tu mwaka huu

Nitaambatanisha picha zangu nilizoziba uso nikiwa nchi tofauti tofauti nakula bata na maisha

Bila JPM hakuna furaha
.

Ccm for life

Wanaolalamiki maisha magumu hawapo kwenye Network na Connection

Ukita upate connection wewe chagua ccm achana na hao wengine

Mimi nalala na naota oktoba 28.JPM akishinda ameahidi ataongeza pesa zaidi hapo ndio sasa nitakula bata la maana na kushinda angani tu

Baba Pita kwa kishindo

JPM kanyaga twende kanyaga

Wanafunzi vilaza na wananchi vilaza watakulaumu sana lakini umefanya mambo makubwa Africa na Dunia nzima
 
Ni furaha sana kwangu. Mimi nikiongea na wananchi, wanapotoa machozi, wakisema kwa furaha. Nanukuu machache:

"Nimefurahia sana nchi kuwa ilivyo na yenye hadhi" "Nilikuwa mvivu, ila sentensi ya asiye fanya kazi asile...,kwa kweli sasa biashara yangu inashamiri sana" "Niliishi kwa kutegemea pesa za ziada kazini, hata kutunga uongo. Kwa kweli sasa ninajua nini maana ya kubajeti na nina furaha sana bila kuishi kama mwizi" "Nilikuwa sibajali mke na watoto, kwa kweli michepuko ingeniua, pesa bamekula sioni faida. Sasa hivi mimi na mke tupo vizuri, nimekoma" "Kwa kweliii wajukuu zangu, Magufuli ametuweka vizuri walimu; tuna uhuru wa kufanya biashara zetu wenyewe nje ya kufundisha na maisha yapo bora. Huwezi ishi tegemea kikapu kimoja"

Ni mengi sana, nitaendelea

Shukurani sana

Rais jembe, imeweka historia nyingiiiii. Pigeni vigelegele wanawake.. wanaume pigeni miluzi..

Magufuli oyeeeeeeeee

Nalia kwa furaha.. tano tena.. kaa chini ndugu.. kaweke tiki kwa tanoooo tenaaaaaa

JPM 2020 💯

View attachment 1610080
Heh! Kulala kidogo tu Mara hii ushaanza kuota ndoto ajabu Kama hizi!!!!!!??????
 
Ni furaha sana kwangu. Mimi nikiongea na wananchi, wanapotoa machozi, wakisema kwa furaha. Nanukuu machache:

"Nimefurahia sana nchi kuwa ilivyo na yenye hadhi" "Nilikuwa mvivu, ila sentensi ya asiye fanya kazi asile...,kwa kweli sasa biashara yangu inashamiri sana" "Niliishi kwa kutegemea pesa za ziada kazini, hata kutunga uongo. Kwa kweli sasa ninajua nini maana ya kubajeti na nina furaha sana bila kuishi kama mwizi" "Nilikuwa sibajali mke na watoto, kwa kweli michepuko ingeniua, pesa bamekula sioni faida. Sasa hivi mimi na mke tupo vizuri, nimekoma" "Kwa kweliii wajukuu zangu, Magufuli ametuweka vizuri walimu; tuna uhuru wa kufanya biashara zetu wenyewe nje ya kufundisha na maisha yapo bora. Huwezi ishi tegemea kikapu kimoja"

Ni mengi sana, nitaendelea

Shukurani sana

Rais jembe, imeweka historia nyingiiiii. Pigeni vigelegele wanawake.. wanaume pigeni miluzi..

Magufuli oyeeeeeeeee

Nalia kwa furaha.. tano tena.. kaa chini ndugu.. kaweke tiki kwa tanoooo tenaaaaaa

JPM 2020 💯

View attachment 1610080

Watu wote walio makini kama cocochanel wanamwamini rais makini John Pombe Magufuli 😍😍😍😍👍🇹🇿👍
 
Watu wote walio makini kama cocochanel wanamwamini rais makini John Pombe Magufuli 😍😍😍😍👍🇹🇿👍

Ni raha tupu.. 😍😍😍😍💚💛💚💛💚
Marafiki zangu humu waleeeee.. wanakuja PM kunijibu.. wamejaa aibu tele tele.. na kusapoti huku wamejikuta wanaona majangaaa matupu..
 
Duuh uzi hauendi kabisa. Watag Buku 7 FC wenzako

Ha ha haaaaaaa.. unapokea wewe hizo buku..
Mimi huwa wananikimbia.. haswa wale ninaowachoma.. hawawezi jaribu.. nina historia nao tele tele humu..
 
Ni raha tupu.. 😍😍😍😍💚💛💚💛💚
Marafiki zangu humu waleeeee.. wanakuja PM kunijibu.. wamejaa aibu tele tele.. na kusapoti huku wamejikuta wanaona majangaaa matupu..

Huwa nakukubali sana dogo, uko smart sanaaa. Ila leo nimethibisha wewe ni akili kubwaaa
Cheers🍾🍹🥂🍸😍😍😍😍😍😍
 
Back
Top Bottom