Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatia huruma, sasa ndio umeandika nini, kumbe hata kiswahili fasaha hujui, by the way, siitegemei ccm au siasa ya TZ kuishi, i have better life with or without politics, nakupa pole wewe unaetegemea buku saba za lumumba, halafu unaonekana hata shule hukwenda na kama ulienda basi ulipata zero
Dah vibaraka mnatia huruma
ongeeni mmalize , watanzania wanajua la kufanya oktoba 28 View attachment 1612991
[emoji1304][emoji1304][emoji1304][emoji1304][emoji1304][emoji1304][emoji1304][emoji1304]
Yesu Wa LugolaAbeee
KafanyajeYesu Wa Lugola
Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yule msaliti wa Nchi ameishakata tikiti ya kurudi kwao ubeligiji
Kwa spana za TAL kwa hakika hata mzee baba akipita anajua moyoni hapendwi na kwahiyo awe mpole aheshimu wezake
pole sana kibarakaHuwa nasahau wale wandangs... eeeeh nao banaumia.. muchape kazi... awamu hii tamu ukiwa suo muvivu kama wengi nyie.. musisahau kujisalia pia
[emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172]
pole sana kibaraka
familia yako ufukara umewajaa but still mtaendelea kuwapigia kura ambao kwanza hawatashinda, pili wataendelea kuwaletea umasikini, nakupa pole wewe uliyejitoa ufahamu na kuridhika na umasikini ulionao, kwa malipo ya elfu saba je familia yako elfu saba inatosha kumaliza umasikini na shida mlizonazo ?
Ni furaha sana kwangu. Mimi nikiongea na wananchi, wanapotoa machozi, wakisema kwa furaha. Nanukuu machache:
"Nimefurahia sana nchi kuwa ilivyo na yenye hadhi" "Nilikuwa mvivu, ila sentensi ya asiye fanya kazi asile...,kwa kweli sasa biashara yangu inashamiri sana" "Niliishi kwa kutegemea pesa za ziada kazini, hata kutunga uongo. Kwa kweli sasa ninajua nini maana ya kubajeti na nina furaha sana bila kuishi kama mwizi" "Nilikuwa sibajali mke na watoto, kwa kweli michepuko ingeniua, pesa bamekula sioni faida. Sasa hivi mimi na mke tupo vizuri, nimekoma" "Kwa kweliii wajukuu zangu, Magufuli ametuweka vizuri walimu; tuna uhuru wa kufanya biashara zetu wenyewe nje ya kufundisha na maisha yapo bora. Huwezi ishi tegemea kikapu kimoja"
Ni mengi sana, nitaendelea
Shukurani sana
Rais jembe, imeweka historia nyingiiiii. Pigeni vigelegele wanawake.. wanaume pigeni miluzi..
Magufuli oyeeeeeeeee
Nalia kwa furaha.. tano tena.. kaa chini ndugu.. kaweke tiki kwa tanoooo tenaaaaaa
JPM 2020 [emoji817]
View attachment 1610080
Inaendelea posti #21.. oyeeeee
Manii zilizokosea njia! Je kuna mimba za bahati mbaya?
Msinichoke kwa post za kila mara.... Napenda sana kuandika...!!!! Mimba za bahati mbaya ninazozungumzia sio zile watu wanaosingizia kuwa iliingia kwa bahati mbaya HAPANA... Mkishavuliana nguo na kufanya ngono bila kinga kwa kutumia njia ya ukeni na manii kuzama ndani.... Ndugu tarajia lolote...www.jamiiforums.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani umeelewa nini hapo? A wasted manii!?[emoji848][emoji848][emoji848]Umefikia kiwango cha kuwa low hivi!!!.. kiasi hiki.. mbona mnaandika yenu.. inakuuma nini sasa na yangu!!!!
Kweli siasa imekuingia.. mtu mie kiongozi wenu aliyetumwa na RA.. jina nimelisahau
Kwani umeelewa nini hapo? A wasted manii!?[emoji848][emoji848][emoji848]