cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
- Thread starter
- #21
Muendelezo....
Bila wasi wasi mitano tena
Magufuli 5 tena 1st π―
Hapa kijijini napoishi.. tumekuweka mahema.. ng'ombe na mbuzi wakuchinja.. vinywaji vinafika leo.. yaani tunajipa furaha Jumatano.. hakuna kulima.. na usafiri wa luxury mabasi.. upendo kijijini hapa... tutakula pati haswa, furaha sana.. chinja tule nyama.. MITANO TENA sisi tulimsikia Magufuli akisema....... na asile.. kijijini kama town moja kule nje ya downtauni kubwa.
Umeme wa REA na maji bombani muda wote.. eeeh
Karibuni mjumuike nasi.. πππππ
Magufuli oyeeeeeeee
Bila wasi wasi mitano tena
Magufuli 5 tena 1st π―
Hapa kijijini napoishi.. tumekuweka mahema.. ng'ombe na mbuzi wakuchinja.. vinywaji vinafika leo.. yaani tunajipa furaha Jumatano.. hakuna kulima.. na usafiri wa luxury mabasi.. upendo kijijini hapa... tutakula pati haswa, furaha sana.. chinja tule nyama.. MITANO TENA sisi tulimsikia Magufuli akisema....... na asile.. kijijini kama town moja kule nje ya downtauni kubwa.
Umeme wa REA na maji bombani muda wote.. eeeh
Karibuni mjumuike nasi.. πππππ
Magufuli oyeeeeeeee