Tarehe 9-12-1961 ilikukuta wapi?

Enzi hizo wasaga sumu mlikuwa mnawaitaje?
 
Mm nlikuwa natoka kuchunga ng'ombe nakuta watu wanafurahia kulikuwa na shangwe na nderemo🤣najua mtabisha sana ila mm ndo nishasema
huu muandiko wa mtu mwenye miaka 27, 28, 29, 30, 31, 32, 33 au 34 haki vile mkuu uvuki kwenye miaka hiyo...!

nahitimisha kwa kusema kuwa 1961 hukuwepo🥰🤣​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…