Shikamoo bro mkubwa?Heri ya siku ya uhuru wadau.
Nikikumbuka siku ya tarehe 09/12/1961 naona ni kama juzi tu kumbe ni miaka kibao imepita.
Nakumbuka siku hiyo tulivyochinja mbuzi nyumbani kusherekea uhuru, nakumbuka mvua kubwa ilivyonyesha mpaka kusababisha maji kujaa ziwa Victoria kupita kingo zake.
Kweli wakati ni ukuta.
Mkuu unakumbuka nini siku hii?
Huwa tunasema ulikuwa unapishana na mikojo!Nilikuwa napiga mbizi kwenye majimaji ya mzee Mbaga huko kiunoni
Adui alikuwa noma mkuu. Petrol mwenyewe alipita naye tena kwa matesoMngejimwagia rangi mwilini kumuhadaa adui.
Umetumia carbon 14?
Kuna mtu aliwahi kusema...wajinga nao huzeekaHeri ya siku ya uhuru wadau.
Nikikumbuka siku ya tarehe 09/12/1961 naona ni kama juzi tu kumbe ni miaka kibao imepita.
Nakumbuka siku hiyo tulivyochinja mbuzi nyumbani kusherekea uhuru, nakumbuka mvua kubwa ilivyonyesha mpaka kusababisha maji kujaa ziwa Victoria kupita kingo zake.
Kweli wakati ni ukuta.
Mkuu unakumbuka nini siku hii?
Hamna shida mkuuHata ningekuwa nakufahamu kwa jina halisi siwezi kukuchukia. Ila ulimbukeni na uongo uache
Have a fabulous weekend!!
Hakukua na smartphone, intaneti, computer , magari mazuri, miundombinu mizuri. Huo utamu uliletwa na nini au unaongea according to you.Nilikuwa duniani, ila sikumbuki hilo tukio maana unajua tena waswahili kila leo ni sherehe wala hujui nini kinaendelea
Sherehe tangu uhuru mpaka leo ndio maana hata maendeleo ni zero
Niliona ni ujinga kuishi huko nikasepa baada ya kuona maduka ya ushirika ya Nyerere wameanza kuuza ngano unalazimishwa na sabuni
Ila miaka 10 ya kwanza ya Uhuru tulikuwa bado tuna mentality za kizungu maana watu walikuwa wanajielewa sana na akili kibao
Baba alikuwa mfanyabiashara na supplier mkubwa kwa wazungu, Gari lake lilikuwa Land Rover nakumbuka mwaka 1967 alinunua ila kulikuwa na wakulima wawili pia walikuwa na Peugeot kabla ya mzee hao walikuwa nazo kabla ya Uhuru
Maisha zamani yalikuwa matamu asikuambie mtu yaani mswahili tajiri tena anatamba na Gari?
Hapo ndio wenye roho ya korosho wakaingia madarakani na kuona wao waanze nao badala ya kuwahamasisha waendeleze biashara zao
Mahasidi wametufanya hivi ila poleni sana
Nyerere kaondoka madarakani mwaka 85, aliongiza nchi kwa kutegemea kilimo, mifugo na viwanda. Hakuchimba madini ukiondoa Alma's na Tanzanite, Wala hakuchimba gesi pamoja na kwamba akijua uwepo wake. Aliuaje uchumi wa Tanzania, uchawa wenu ndio umeua nchi.Miaka 60 za uhuru ila bado tuko vile vile kila kitu loh Nyerere kauua hi nchi.
Hamna shida mkuu
I never lie in my words
Ila shikilia hapo hapo huenda ipo siku tutaongea kwa heshima zaidi
Thanks for that
Umenishambulia bila kosa lolote na bado unaniita muongo sasa huo ukweli uanike hapa
Hata kama nipo huko ningesema tu niko mahali flani maana hakuna anaenitafuta
Be happy
Nilikuwa sijazaliwa Ila Kuna kipindi mvua ilinyesha Bibi yangu akaniambia mvua Kama hii ilinyesha wakati wa Uhuru.Heri ya siku ya uhuru wadau.
Nikikumbuka siku ya tarehe 09/12/1961 naona ni kama juzi tu kumbe ni miaka kibao imepita.
Nakumbuka siku hiyo tulivyochinja mbuzi nyumbani kusherekea uhuru, nakumbuka mvua kubwa ilivyonyesha mpaka kusababisha maji kujaa ziwa Victoria kupita kingo zake.
Kweli wakati ni ukuta.
Mkuu unakumbuka nini siku hii?
Tarehe hiyo baba yangu alikuwa bize na mishemishe za elimu ili aje kuchomoza maishani.Heri ya siku ya uhuru wadau.
Nikikumbuka siku ya tarehe 09/12/1961 naona ni kama juzi tu kumbe ni miaka kibao imepita.
Nakumbuka siku hiyo tulivyochinja mbuzi nyumbani kusherekea uhuru, nakumbuka mvua kubwa ilivyonyesha mpaka kusababisha maji kujaa ziwa Victoria kupita kingo zake.
Kweli wakati ni ukuta.
Mkuu unakumbuka nini siku hii?
Nimekuuliza jambo dogo kijana unaanza matusi.Ndiyo kwenye familia yenu mnavyotukana namna hiyo.Una A+ ya weledi wa matukano.Unapayuka tu nikikwambia uniambie mode of function ya hicho kifaa unajua au unabwabwaja?..au ndo akili yako ilipoishia?
Bila shaka lugha hujui ulipata D au F.
Maarifa madogo!!
Ujue wewe mi najuaga ni mwanamke 😂Tufunge ndoa
Mkuu kweli barua ilikuwa ukiandika na kupeleka posta itachukua hata mwezi kumfikia uliemuandikia ila Habari za vifo tulikuwa tunapata haraka sana kwa njia ya simu ya upepo telegraphy ambapo anakuja postman na kuwataarifu msibaHakukua na smartphone, intaneti, computer , magari mazuri, miundombinu mizuri. Huo utamu uliletwa na nini au unaongea according to you.
Ndiyo mkaamua kutorokea mawinguni mkajiliwaze kwa stori?Mmekacha maagizo mliyoachiwa.pAdui alikuwa noma mkuu. Petrol mwenyewe alipita naye tena kwa mateso
Nimekuuliza jambo dogo kijana unaanza matusi.Ndiyo kwenye familia yenu mnavyotukana namna hiyo.Una A+ ya weledi wa matukano.
Mwandiko wa Mtu wa 80s huu
Walichinja kuku home nikaenda kucheza narudi nakutana na mguu wa kukuHeri ya siku ya uhuru wadau.
Nikikumbuka siku ya tarehe 09/12/1961 naona ni kama juzi tu kumbe ni miaka kibao imepita.
Nakumbuka siku hiyo tulivyochinja mbuzi nyumbani kusherekea uhuru, nakumbuka mvua kubwa ilivyonyesha mpaka kusababisha maji kujaa ziwa Victoria kupita kingo zake.
Kweli wakati ni ukuta.
Mkuu unakumbuka nini siku hii?
Rudi usome tena kijana, ujifunze vya kusimulia vijana wenzako...