Tarehe 9-12-1961 ilikukuta wapi?

Nje ya mada kidg
Kizazi hiki kimeshindwa kabisa kujenga nyumba kwa mpangilio ukicheki hapo juu nyumba za matope zimekaa kwa mstari
 
Ilinikuta nina miezi 11 toka kuzaliwa kisangani Congo
 
Nje ya mada kidg
Kizazi hiki kimeshindwa kabisa kujenga nyumba kwa mpangilio ukicheki hapo juu nyumba za matope zimekaa kwa mstari
Ni kweli kabisa mkuu, Enzi hizo kulikuwa na nidhamu na watu wanafuata sheria kweli kweli
Ila leo unajenga unavyotaka
Unaweza kukuta mtu anajenga kukwepa jua lisimchome asubuhi, na mwingine anaamua kuweka ukuta kwenye dirisha la jirani na bwana ardhi hana ubavu maana kapewa hela

Sasa hali inazidi kuwa mbaya siku hadi siku na kuna watu wengi wanaona sawa tu
Sheria hazifuatwi ni virugu tu sio nchi tena limekuwa soko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…