Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Huo mwaka mzee wangu alikuwa na 5 years my mama hajazaliwa
Wow awe na maisha marefuHuo mwaka mzee wangu alikuwa na 5 years my mama hajazaliwa
Mimi mdogo kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo mwaka mzee wangu alikuwa na 5 years my mama hajazaliwa
Wow awe na maisha marefuHuo mwaka mzee wangu alikuwa na 5 years my mama hajazaliwa
🤣🤣hilo halipingiki mkuu, tena mkubwa kweli kweli🤣😂😂😂😂😂 ila mimi nimeshakuwa mkubwa mkuu! Tena mkubwa sana.
Nimeshtuka! Kuna kitu sio bure 😂😂😂😂🤣🤣hilo halipingiki mkuu, tena mkubwa kweli kweli🤣
Nje ya mada kidgKuna hii picha aliileta M Said na kuelezea kuwa ni Kariakoo mwaka 1950 mtaa wa Congo
Mpaka nyumba akawa anazitaja za kina nani
Ila ukiangalia hiyo picha kwenye mitandao ya Historia utakuta kila mmoja ameweka mwaka anaoujua sijui kwanini wanapotosha View attachment 2837563
Umeshtuka nini tena mkuu 🤣🤣Nimeshtuka! Kuna kitu sio bure 😂😂😂😂
Ilinikuta nina miezi 11 toka kuzaliwa kisangani CongoHeri ya siku ya uhuru wadau.
Nikikumbuka siku ya tarehe 09/12/1961 naona ni kama juzi tu kumbe ni miaka kibao imepita.
Nakumbuka siku hiyo tulivyochinja mbuzi nyumbani kusherekea uhuru, nakumbuka mvua kubwa ilivyonyesha mpaka kusababisha maji kujaa ziwa Victoria kupita kingo zake.
Kweli wakati ni ukuta.
Mkuu unakumbuka nini siku hii?
Kwa hiyo sasa hivi una miaka 89? Kama ni kweli, basi hongera kwa kula chumvi nyingi.Miaka 27 mkuu
Asante mkuuKwa hiyo sasa hivi una miaka 87? Kama ni kweli, basi hongera kwa kula chumvi nyingi.
Asante mkuuKwa hiyo sasa hivi una miaka 87? Kama ni kweli, basi hongera kwa kula chumvi nyingi.
basi we kweli binti...Mama yangu mwenyewe hakuwepo 🙄
Niambie shikamoo bwana we acha janja janja za kunibintisha. 😅basi we kweli binti...
Shikamoo Binti😁Niambie shikamoo bwana we acha janja janja za kunibintisha. 😅
Marahaba mdogo wangu mzuri. 😊Shikamoo Binti😁
Wifi tusubiri mpaka 2030 kwanza😅Marahaba mdogo wangu mzuri. 😊
Wifi hajambo?
Baada ya uchaguzi mkuu 😂Wifi tusubiri mpaka 2030 kwanza😅
Ni kweli kabisa mkuu, Enzi hizo kulikuwa na nidhamu na watu wanafuata sheria kweli kweliNje ya mada kidg
Kizazi hiki kimeshindwa kabisa kujenga nyumba kwa mpangilio ukicheki hapo juu nyumba za matope zimekaa kwa mstari
Tunaanza na uongo na tutamaliza na uongo.... Hakuna mtu wa mwaka 61 hapo angalia hata muandiko unajifunza ni dogo wa 91 hapoKama kuna uzi ambao utajaa uongo, basi ni huu.
Huwezikulalamikia uchafu kwenye nyumba unayoishi. Hapo tatizo linaanzia kwako kutofanya usafi.Kwa hapa tu imenikuta nalaani huu utawala.
Bei za nauli juu
Nyama juu
Nyanya juu
Kitunguu juu
Umga juu
Michele juu
Viungo juu
Walevi bado
Watakuja hapa kudai bei za
Bia
Na vikali