Hivi ni kwanini aliomba hii nafasi? Ina maana alikuwa anakumis kuumiza watu akawa anakosa fursa ya kufanya hivyo? Shida ya kuwapa madaraka wakimbizi toka nchi jirani ndio hii.Asanta mkapa, Nape, January, Kikwete, Libuva, IGP Mangu...
nia yenu ndio imelifikisha taifa hili hapa..
Hapa ambapo yametimia maana hapa ndipo ambapo ukipita mtaani wanasaga meno kwani yule alishasema nikiishika watatembea kwa meno..
FISADI PAPASigusiki
Mungu tusamehe kwa makosa ya kutokujua tuliyoyafanya tarehe 25/10/2015. Haya yalikuwa ni maamuzi ya kijinga yenye hasara kwa sasa na kizazi chetu. Matokeo ya uamuzi wetu yameifanya kaya yetu kuwa kambi ya chuki, vitisho, kutekwa, kupotezwa, kuminya demokrasia, kusigina katiba na mambo mengi ya hovyo hovyo. Tunaishi kama wakimbizi vile.
AminaDuh!
Happy Birthday!Alafu ilifanyika siku ya kuzaliwa kwangu
Hii filamu haijaingia kwenye tuzo za OscarHi
Tarehe Kama Ya Leo, 25/10/2015, Kwa Akili Zetu Timamu Tulipiga Kura Na Kuchagua Haya Maisha.
NB: Picha haina uhusiano na uziView attachment 910060
Asante mkuu .Sio Zanzibari laana hii inaitafuna Tanzania kwa kusukumiziwa dereva jiwe kwenye urais
asante kwa kushirikiLaana iwapige kabisa mafisadi wakubwa nyie