Tarehe kama ya leo Oktoba 25, 2015 tulipiga kura na kuchagua haya maisha, mnakumbuka?

Tarehe kama ya leo Oktoba 25, 2015 tulipiga kura na kuchagua haya maisha, mnakumbuka?

Wakuu nawasalimia kwa upendo mkubwa sana , na baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja yangu .

Tarehe kama ya leo miaka mitatu iliyopita nchi yetu iliingia kwenye vitabu vya historia ya dunia kwa kukubali kupokea laana kwa mikono miwili baada ya Tume ya uchaguzi kuacha weledi na kuamua kusikiliza matakwa ya watu binafsi kwa kutoa matokeo ya uchaguzi kutokana na maelekezo ya watu hao .

Kisiwani Zanzibar hali ilikuwa mbaya zaidi ambapo Mtukufu Salum Jecha , Mwanachama wa ccm aliyewahi kugombea ubunge siku zilizopita , kabla ya kuangukia pua kwenye kura za maoni , akiwa kama Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi alifuta matokeo yote ya uchaguzi baada ya kubaini kwamba chama chake kimeshindwa , akaitisha uchaguzi mpya ambapo miongoni mwa waangalizi wa kimataifa alikuwa ALI KARUME !

Nimeamua kufanya maadhimisho haya ili kumuenzi Mwenyezi Mungu ambaye amekataza dhuluma katika vitabu vyake vyote .

Naomba kuwasilisha .
Bado hujaandika,nasema bado,kuna miaka saba mbele,jipange kwelikweli
 
Na bado.wa msoga kasema.muendelee kukandamizwa
Mswahili ni mswahili tu , yeye ameenda kujikomba maana anamjua jamaa hana cha mswalia mtume basi ameiona kamalizamamboyake hawazi kuna majanga ametuachia anatoka anakenua kenua meno tu. Sisi waafrika tuna shida sana kwa kujikomba. Angalia Marekani Ronald Reagan huwa anaweka misimamo yake hadharani so as marais wote waliotangulia na analindwa kikatibaa ila hapa kwetu sababu kila mtu akiingia anaangalia maslahi yake lazimakujikomba watu wamefanya looting ya public resources balaa. Anyway tutafika tu.
 
Mswahili ni mswahili tu , yeye ameenda kujikomba maana anamjua jamaa hana cha mswalia mtume basi ameiona kamalizamamboyake hawazi kuna majanga ametuachia anatoka anakenua kenua meno tu. Sisi waafrika tuna shida sana kwa kujikomba. Angalia Marekani Ronald Reagan huwa anaweka misimamo yake hadharani so as marais wote waliotangulia na analindwa kikatibaa ila hapa kwetu sababu kila mtu akiingia anaangalia maslahi yake lazimakujikomba watu wamefanya looting ya public resources balaa. Anyway tutafika tu.
Hamia huko Marekani ukamkosoe Trump..
 
Ndio mana maeneo mengi ya nchi jua limegoma kutoka leo[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
 
CHOZI LANITOKA
IMG-20181025-WA0007.jpg
 
Back
Top Bottom