Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi mkuu... Mafisadi wakubwa wa ccm...Laana iwapige kabisa mafisadi wakubwa nyie
Bado hujaandika,nasema bado,kuna miaka saba mbele,jipange kwelikweliWakuu nawasalimia kwa upendo mkubwa sana , na baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja yangu .
Tarehe kama ya leo miaka mitatu iliyopita nchi yetu iliingia kwenye vitabu vya historia ya dunia kwa kukubali kupokea laana kwa mikono miwili baada ya Tume ya uchaguzi kuacha weledi na kuamua kusikiliza matakwa ya watu binafsi kwa kutoa matokeo ya uchaguzi kutokana na maelekezo ya watu hao .
Kisiwani Zanzibar hali ilikuwa mbaya zaidi ambapo Mtukufu Salum Jecha , Mwanachama wa ccm aliyewahi kugombea ubunge siku zilizopita , kabla ya kuangukia pua kwenye kura za maoni , akiwa kama Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi alifuta matokeo yote ya uchaguzi baada ya kubaini kwamba chama chake kimeshindwa , akaitisha uchaguzi mpya ambapo miongoni mwa waangalizi wa kimataifa alikuwa ALI KARUME !
Nimeamua kufanya maadhimisho haya ili kumuenzi Mwenyezi Mungu ambaye amekataza dhuluma katika vitabu vyake vyote .
Naomba kuwasilisha .
wewe mwenyewe jizi, hakuna ccm msafi wote majambazi na watekajiWavivu Na Matapeli wanapata Tabu Sana
majambazi yanapetaMafisadi yana lalamika...
Hahahahah huu mkanganyiko wa maelezo kwenye picha ni hatari sana! Na mateka ni muhindi! Dooh,hapo kulikuwa na maelewano kweli?Hi
Tarehe Kama Ya Leo, 25/10/2015, Kwa Akili Zetu Timamu Tulipiga Kura Na Kuchagua Haya Maisha.
NB: Picha haina uhusiano na uziView attachment 910060
Mswahili ni mswahili tu , yeye ameenda kujikomba maana anamjua jamaa hana cha mswalia mtume basi ameiona kamalizamamboyake hawazi kuna majanga ametuachia anatoka anakenua kenua meno tu. Sisi waafrika tuna shida sana kwa kujikomba. Angalia Marekani Ronald Reagan huwa anaweka misimamo yake hadharani so as marais wote waliotangulia na analindwa kikatibaa ila hapa kwetu sababu kila mtu akiingia anaangalia maslahi yake lazimakujikomba watu wamefanya looting ya public resources balaa. Anyway tutafika tu.Na bado.wa msoga kasema.muendelee kukandamizwa
Hamia huko Marekani ukamkosoe Trump..Mswahili ni mswahili tu , yeye ameenda kujikomba maana anamjua jamaa hana cha mswalia mtume basi ameiona kamalizamamboyake hawazi kuna majanga ametuachia anatoka anakenua kenua meno tu. Sisi waafrika tuna shida sana kwa kujikomba. Angalia Marekani Ronald Reagan huwa anaweka misimamo yake hadharani so as marais wote waliotangulia na analindwa kikatibaa ila hapa kwetu sababu kila mtu akiingia anaangalia maslahi yake lazimakujikomba watu wamefanya looting ya public resources balaa. Anyway tutafika tu.
sawa kaka jambazi naona ishu ni kukosoa tu umeiona ila haujaona point nzima ya huyo mkwereHamia huko Marekani ukamkosoe Trump..
Tarehe kama ya leo 25.10.2015 tulipiga kura na kuchagua haya maisha
Mnakumbuka?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Habari ndio hiyo.
View attachment 910048