Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa


Mimi siyo Daktari,natumia tu ka knowledge kangu ka Biology ya form 4.Ulichoandika aki apply kwa wanawake wote.Tukubaliane hapa kwanza
 
<br />
<br />
Wewe Riwa nilichokiandika mimi ni for normal woman. Kama kuna ubnormal woman lete mapendekezo hapa, na si kusema eti kunaubabaishaji hapa kwenye sayansi. Hapa tunaapply Science.

Tatizo lako,hukusema tangu mwanzo kuwa ushauri wako ni kwa wanawake wenye normal menstrual cycle tu ie in ur case 28days.Umeandika kushauri kwa mizunguko yote ya hedhi.Na hii si kweli 'dokta'.Are u a medical doctor by the way?
 
<br />
<br />
Wewe Riwa nilichokiandika mimi ni for normal woman. Kama kuna ubnormal woman lete mapendekezo hapa, na si kusema eti kunaubabaishaji hapa kwenye sayansi. Hapa tunaapply Science.

Nchasi...mwanamke mwenye mzunguko wa mwezi wa siku 26 au 30 sio abnormal, it is purely shorter or longer menstrual cycle. To accomodate all cycles regardless of the length..ndio hiyo formula au principle inaapply. Anyway, hili ni jukwaa la 'kitaaluma', sio la mipasho...sioni mantiki ya kubishana na NgumiJiwe wakati anachosema ni sahihi.

Vile viel usidharau waTanzania unapotoa facts kuhusu maisha yao, usiassume tu kuwa ni wajinga kiasi hawajui chromosomes ni nini, au ukiwa explaination behind a certain phenomenon then hawataelewa...sisi wadau wa afya tuna hulka ya kuona watu wengine wasio kwenye fani hii ni hawajui chochote, na sisi ndio tunaamua nini cha kuwaambia na nini sicho. hii ndio ile inapelekea unamuandikia mtu dawa hata hujamuambia majibu ya vipimo au unadhani anaumwa nini...tubadilike, give relevant basic information to your clients!

NgumiJiwe anaweza hasiwe mdau wa afya...kwani does it need kuwa mdau wa afya kuelewa mzunguko wa mwanamke na kufanya timing?! Tujibuni hoja ambayo ni mtu anataka kuzaa mtoto wa kiume hapa!
 
Duh, hizi timing utafikiri za kumchinja kobe jamani? I presume kuwa timing negative ya haya maelekezo ni wa kike.

Dina...hakuna rocket science hapo, vyote easy tu hapo. Principle ya kwanza elewa mzunguko wako, ya pili fanya timing kutokana na mzunguko wako. Hayo maelezo mengine ni explaination tu ya kwanini utime siku ya 16 au 17, na sio 13 au 14...
 
1.jedwali ra mzunguko mrefu

Siku za hedhi 1-5

Sik kavu 6,7,8,9-15
Sikusarama za awali 6-15

Siku ute 16-20 (21-23kavu)
Siku ya 16-23 ni siku za mtoto kavu wakiume ute nimtoto kike

Siku kavu 24-30
Siku sarama za mwisho hawezi nasa mimba

2.jedwali la mzunguko mfupi
Siku za hedhi 1-5
Siku ya tano ndani ya hedhi anapata mtoto

Siku ute 6,7,8,9 (10,11,12kavu) siku za mtoto siku 6-9 mtoto kike 10-12 mtoto kiume

Siku kavu 13-24 siku sarama za mwisho hawezi nasa mimba

3.jedwali siku za ngoja uone
Siku za hedhi 1-5

Siku kavu 6,7(8ute)9-13 kavu hizi siku kuanza 6-13 hakuna kujamiani ni siku za ngoja uone

Siku ute 14-17(18-20kavu)
Hizi nisiku 14-20 siku za mtoto 14-17 mtoto kike 18-20 wa kiume

Samahani hapo juu imevulugika nimeona ni andike tena kinacho takiwa kuzingatia mzunguko wewe upo kundi gani katika hayo makundi
 
Kama wewe ni mwanamke, hakikisha Mr. Anashusha kabla yako mpaka utaposhika mimba. Na kama ni mwanamme hakikisha unashusha kabla ya bibie mpaka ataposhika Mimba.

sijakuelewa hapa unamaanisha nini mkuu.. kushusha nini?
 
Dina...hakuna rocket science hapo, vyote easy tu hapo. Principle ya kwanza elewa mzunguko wako, ya pili fanya timing kutokana na mzunguko wako. Hayo maelezo mengine ni explaination tu ya kwanini utime siku ya 16 au 17, na sio 13 au 14...

Nakubaliana nawe, ila mie ni kati ya wale tunaosema asante kwa chochote kijacho. Nimewahi kuwa karibu na mdada aliyetumia utaalam wa makaratasi nafikiri na theory zote alizoweza (sina uhakika kwenye kipengele cha timing kama ilikuwa sahihi) na ameishia kuwa na watoto wa kiume wanne! Alichofanya ni ku-sign off na kuanza kukimbizana na ada zao badala ya hizi timing.
 
Mimi nimeielewa lakinin vile vile nina swali kwa wahabarishaji wetu,

Kwa nini kuna familia utakuta watoto wote ni wa kike/kiume tupu (4-7) na hizi familia hazina mambo hayo ya timing? Nazungumzia familia zetu kule viijijini na unakuta wanaishia kulaumiana kwamba mama anazaa watoto wa jinsia moja tu.
 
mbona mnabishana na kukanushana? Nyie ni madoc wa practice au madoc wa google? Waambieni watu kitu mlichosoma,mkaelewa,mkatumia na kikaleta mafanikio. Tucwe watu wa kutoa kile tulichosoma na kuelewa tu! medicine z practice.
 
Kuna kalenda ya kichina ya uzazi uki google chinese birth calender utapata nimefuatilia naona inaukweli yaani umri wa mwanamke unadetermine sex kwa miezi maalum mfano akw na miaka 23 jna,feb,mrch,aprl atapata boys may girl june july agst girl yaani ukitaka kuprove angalia mwezi aliopata mimba ya mtoto wenu ulinganishe na umri wa mke utapata ukweli
 
<br />
<br />
tangia aanze au amalize.? Kwan mzunguko unaanza hesabiwa ln.?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Wewe Riwa nilichokiandika mimi ni for normal woman. Kama kuna ubnormal woman lete mapendekezo hapa, na si kusema eti kunaubabaishaji hapa kwenye sayansi. Hapa tunaapply Science.
<br />
<br />
hata hao wenye cku tofaut na 28 ni normal.scientifically only 15 percent ya women wanaqualify na rule ya 28,i stand 2 b corected.
 

MpitaNjia MpitaNjia acha kumuingiza mwenzako chaka, kwanza kabisa, mwanamke huwa anatoa yai moja tu kwa mwezi likipevuka kama halijapata kirutubisha toka kwa mwanaume ndio linapasuka tunapata hedhi,mwanaume huwa anatoa mbegu ina mbili na yeye ndio anauwezo wa kumzalisha mwanamke either boy or girl, kwa hiyo.....mbegu zinazokimbia haraka sana na kufa haraka sana zinatoka kwa mwanaume nazo ni za mtoto wa kiume na zinazoenda taratibu na kuishi muda karibu ya masaa 72 ni za mtoto wa kike, kwa hiyo hizo za mtoto wa kiume zikikuta yai lipo tayari zinatunga kwanza hapohapo na za kike zinakuwa zimechelewa, na zikikuta yai bado haliapevuka za mtoto wa kiume zinakufa za kike zinakaa kama yai litapevuka kwa masaa 72 niliyotaja hapo juu unapata girl

kwa msingi huu basi, hesbu mzunguko wa mkeo vizuri kama ni wa siku 28 wewe fanya nae mapenzi siku ya 14 na hakikisha wakati unamwaga mbegu uume uko ndani kabisa, na wanaotaka bby girl wanaweza fanya tendo siku ya tisa,ili zikikaa ndani za kiume zinakufa, yai likija linazikuta zenyewe tu zinasubiria, ukiona ya tisa hujanasa unasogeza tena siku moja mbele,hivohivo mpaka utafanikiwa
 
Jamani mnanchanganya, huko ambako y znakimbia kuliko x niwapi? Kwenye seamen au ktk yai la mwanamke.?
 
BB hedhi haitokani na yai kupasuka. Hii inatokana na ukuta wa uterus uliokuwa richly supplied with blood kuanza kudetach baada ya mabadiliko ya homoni yatakayosababisha blood cut off hivo unakuwa not growing any more. Kayai kenyewe ni microscopic hata yai la buibui linaonekana hiyo damu ya cku tano itatoka wapi? Mi nahisi kuna siasa zinaendelea hapa na kuchakachua maelezo yaliyotolewa na wachangiaji ambao wanahitaji watu waelewe.
 
Jamani mnanchanganya, huko ambako y znakimbia kuliko x niwapi? Kwenye seamen au ktk yai la mwanamke.?
<br />
<br />
when deposited in the K... moving towards an ovum
 
Sawa ni ukuta hii nakubali, mimi mwenyewe hedhi ni siku nne mpaka tano, kwa hiyo sijui unabisha nini
 
Mr Riwa ameeleza kitaalam...nyongeza yangu...during ovulation mke atatoa ute unaovutika..atatest na vidole vyake viwili akiona unavutika 10cm apart..siku hiyo wa ukae ndio yenyewe..mengi hebu google baby gender selection by dr. shettles utapata meeengi sana waukae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…