Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

<br />
<br />
Ninamashaka na taaluma yako kama kweli uko kwenye hiyo fieeld. Hebu tuambie norma woman anamzunguko wa siku ngapi? Mbona unakimbilia kwenye ubnormality? Ndo nyie mnatozwa hela kwa vitu visivyo vya lazima. Waache watu wapate elimu ya bure kwenye fursa kama hii. Baada ya kuleta suluhisho we unasema eti nababaisha, ulishazoea kutozwa hela hata kwenye haki yako.

Mimi siyo Daktari,natumia tu ka knowledge kangu ka Biology ya form 4.Ulichoandika aki apply kwa wanawake wote.Tukubaliane hapa kwanza
 
<br />
<br />
Wewe Riwa nilichokiandika mimi ni for normal woman. Kama kuna ubnormal woman lete mapendekezo hapa, na si kusema eti kunaubabaishaji hapa kwenye sayansi. Hapa tunaapply Science.

Tatizo lako,hukusema tangu mwanzo kuwa ushauri wako ni kwa wanawake wenye normal menstrual cycle tu ie in ur case 28days.Umeandika kushauri kwa mizunguko yote ya hedhi.Na hii si kweli 'dokta'.Are u a medical doctor by the way?
 
<br />
<br />
Wewe Riwa nilichokiandika mimi ni for normal woman. Kama kuna ubnormal woman lete mapendekezo hapa, na si kusema eti kunaubabaishaji hapa kwenye sayansi. Hapa tunaapply Science.

Nchasi...mwanamke mwenye mzunguko wa mwezi wa siku 26 au 30 sio abnormal, it is purely shorter or longer menstrual cycle. To accomodate all cycles regardless of the length..ndio hiyo formula au principle inaapply. Anyway, hili ni jukwaa la 'kitaaluma', sio la mipasho...sioni mantiki ya kubishana na NgumiJiwe wakati anachosema ni sahihi.

Vile viel usidharau waTanzania unapotoa facts kuhusu maisha yao, usiassume tu kuwa ni wajinga kiasi hawajui chromosomes ni nini, au ukiwa explaination behind a certain phenomenon then hawataelewa...sisi wadau wa afya tuna hulka ya kuona watu wengine wasio kwenye fani hii ni hawajui chochote, na sisi ndio tunaamua nini cha kuwaambia na nini sicho. hii ndio ile inapelekea unamuandikia mtu dawa hata hujamuambia majibu ya vipimo au unadhani anaumwa nini...tubadilike, give relevant basic information to your clients!

NgumiJiwe anaweza hasiwe mdau wa afya...kwani does it need kuwa mdau wa afya kuelewa mzunguko wa mwanamke na kufanya timing?! Tujibuni hoja ambayo ni mtu anataka kuzaa mtoto wa kiume hapa!
 
Duh, hizi timing utafikiri za kumchinja kobe jamani? I presume kuwa timing negative ya haya maelekezo ni wa kike.

Dina...hakuna rocket science hapo, vyote easy tu hapo. Principle ya kwanza elewa mzunguko wako, ya pili fanya timing kutokana na mzunguko wako. Hayo maelezo mengine ni explaination tu ya kwanini utime siku ya 16 au 17, na sio 13 au 14...
 
1.jedwali ra mzunguko mrefu

Siku za hedhi 1-5

Sik kavu 6,7,8,9-15
Sikusarama za awali 6-15

Siku ute 16-20 (21-23kavu)
Siku ya 16-23 ni siku za mtoto kavu wakiume ute nimtoto kike

Siku kavu 24-30
Siku sarama za mwisho hawezi nasa mimba

2.jedwali la mzunguko mfupi
Siku za hedhi 1-5
Siku ya tano ndani ya hedhi anapata mtoto

Siku ute 6,7,8,9 (10,11,12kavu) siku za mtoto siku 6-9 mtoto kike 10-12 mtoto kiume

Siku kavu 13-24 siku sarama za mwisho hawezi nasa mimba

3.jedwali siku za ngoja uone
Siku za hedhi 1-5

Siku kavu 6,7(8ute)9-13 kavu hizi siku kuanza 6-13 hakuna kujamiani ni siku za ngoja uone

Siku ute 14-17(18-20kavu)
Hizi nisiku 14-20 siku za mtoto 14-17 mtoto kike 18-20 wa kiume

Samahani hapo juu imevulugika nimeona ni andike tena kinacho takiwa kuzingatia mzunguko wewe upo kundi gani katika hayo makundi
 
Kama wewe ni mwanamke, hakikisha Mr. Anashusha kabla yako mpaka utaposhika mimba. Na kama ni mwanamme hakikisha unashusha kabla ya bibie mpaka ataposhika Mimba.

sijakuelewa hapa unamaanisha nini mkuu.. kushusha nini?
 
Dina...hakuna rocket science hapo, vyote easy tu hapo. Principle ya kwanza elewa mzunguko wako, ya pili fanya timing kutokana na mzunguko wako. Hayo maelezo mengine ni explaination tu ya kwanini utime siku ya 16 au 17, na sio 13 au 14...

Nakubaliana nawe, ila mie ni kati ya wale tunaosema asante kwa chochote kijacho. Nimewahi kuwa karibu na mdada aliyetumia utaalam wa makaratasi nafikiri na theory zote alizoweza (sina uhakika kwenye kipengele cha timing kama ilikuwa sahihi) na ameishia kuwa na watoto wa kiume wanne! Alichofanya ni ku-sign off na kuanza kukimbizana na ada zao badala ya hizi timing.
 
Mimi nimeielewa lakinin vile vile nina swali kwa wahabarishaji wetu,

Kwa nini kuna familia utakuta watoto wote ni wa kike/kiume tupu (4-7) na hizi familia hazina mambo hayo ya timing? Nazungumzia familia zetu kule viijijini na unakuta wanaishia kulaumiana kwamba mama anazaa watoto wa jinsia moja tu.
 
mbona mnabishana na kukanushana? Nyie ni madoc wa practice au madoc wa google? Waambieni watu kitu mlichosoma,mkaelewa,mkatumia na kikaleta mafanikio. Tucwe watu wa kutoa kile tulichosoma na kuelewa tu! medicine z practice.
 
Kuna kalenda ya kichina ya uzazi uki google chinese birth calender utapata nimefuatilia naona inaukweli yaani umri wa mwanamke unadetermine sex kwa miezi maalum mfano akw na miaka 23 jna,feb,mrch,aprl atapata boys may girl june july agst girl yaani ukitaka kuprove angalia mwezi aliopata mimba ya mtoto wenu ulinganishe na umri wa mke utapata ukweli
 
Nyadunga...hii njia inakuwezesha kuongeza kwa kiasi kikubwa 'uwezekano' wa kupata mtoto wa kiume, lakini sio lazima kupata mtoto wa kiume ukifuata njia hii. Njia ya uhakika zaidi (kama una hela) ni kurutubisha yai nje ya tendo la ndoa (In-Vitro Fertilization).<br />
<br />
Njia hii kama alivyokuambia mpita Njia...inafuata 'timing' ya mzunguko wa mwezi wa mwanamke, hivyo shati uelewe mzunguko wa mkeo ( ni mrefu zaidi ya siku 28, au siku 28, au mfupi chini ya siku 28) kwani hii hubadlisha timing ya tarehe/siku za kufanya tendo.<br />
<br />
Kwa kawaida, genetically binadamu ana chromosomes X na Y (usijali sana hiki ni nini), akiwa na XX basi huyo ni mwanamke..na akiwa na XY basi huyo ni mwanamume. Wakati wa kutunga mimba, mtoto anapata nusu ya chromosome toka kwa yai la mama (X) na nusu toka kwa mbegu ya baba (X au Y). Kwa hiyo yai la kike mara zote ni X na mbegu ya kiume ni aidha X au Y.<br />
<br />
Manii (kumradhi..shahawa) inapomwagwa ina mbegu za kiume zaidi ya milioni kwa goli moja, mbegu hizi ni mchanganyiko wa X na Y. Ila sasa, mbegu X na Y zina tabia tofauti..<br />
- X zinaishi muda mrefu (hadi siku 3), lakini ziko slow...hivyo zikimwagwa huchukua muda mrefu kulifikia yai na kulirutubisha<br />
- Y zinaishi muda mfupi (siku 1 na nusu), lakini ziko fast...hivyo zikimwagwa huwai kulifikia yai na kulirutubisha kama limeiva vya kutosha.<br />
<br />
Sasa hapo ni kucheza na timing tu mkeo anatoa yai lini kutokana na urefu wa mzunguko wake wa mwezi. Yai likitolewa linakuwa halijakomaa na ukuta wake mgumu kwa mbegu kupenya, inachukua siku 1 na nusu hadi 2 kwa yai kumature na ukuta kuwa laini kupenywa na mbegu. Hivyo ukishanote siku ambayo mkeo anatoa yai (yai hutolewa kati kati ya mzunguko...usually siku ya 14 au 15 ya mzunguko) ongeza siku 2 then mfanye tendo, hapo assumption ni kuwa yai litakuwa limeiva na ukuta laini, na ukimwaga mbegu basi zile Y ambazo ni za kiume zitawahi na kurutubisha yai kabla ya X ambazo ni za kike. Hapo unazaa mtoto wa kiume.<br />
<br />
Kwa hiyo basi, kuna uwezekano mkubwa sana wa kuzaa mtoto wa kiume kama utafanya tendo na mkeo siku ya 16 na/au 17 ya mzunguko tangu mkeo aanze bleeding!
<br />
<br />
tangia aanze au amalize.? Kwan mzunguko unaanza hesabiwa ln.?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Wewe Riwa nilichokiandika mimi ni for normal woman. Kama kuna ubnormal woman lete mapendekezo hapa, na si kusema eti kunaubabaishaji hapa kwenye sayansi. Hapa tunaapply Science.
<br />
<br />
hata hao wenye cku tofaut na 28 ni normal.scientifically only 15 percent ya women wanaqualify na rule ya 28,i stand 2 b corected.
 
Ni ngumu kidogo nlakini rahisi pia. Inahusisha mwanamke kujua mzunguko wa siku zake.
Kwa kawaida, mayai ya (mwanamke) mtoto wa kike na kiume yana sifa zinazotofautiana. Yale ya mtoto wa kike huwa yana kasi sana katika kusafiri kwenye mji za uzazi kuliko ya kiume. lakini, ya kike hufa mapema kuliko ya kiume.
Hivyo, siku yanapopevuka na kutoka kwenye ovary, mayai ya kike, kwa kuwa yanasafiri haraka, huwa mbele ya yale ya kiume. kama kuna mbegu za kiume yenyewe ndio yanakuwa ya kwanza kukutana nazo. Hivyo, kufanya tendo la ndoa mara tu baada ya mayai kupevuka, kuna uwezekano mkubwa wa kupata mtoto wa kike.
baada ya siku tatu tangu mayai ya kike yaachiwe kwenye ovary yanakufa. lakini yale ya kiume huweza kudumu mpaka siku tano. Hivyo, kama ukifanya tendio la ndoa siku, mathalani ya nne baada ya mayai kutoka kwenye ovaries, kuna uwezekano mkubwa wa kupata mtoto wa kiume kwa sababu mpaka wakati huo almost mayai yote ya kike yatakuwa yamekufa.
lakini inatakiwa mwanamke ajue kwa undani mzunguko wa siku zake ili kufanya timing nzuri. uinabidi ajue mayai yanaachiwa lini kwenye ovaries ili aweze kufanya hesabu hizi na zilete matojkeo yanayotarajiwa

MpitaNjia MpitaNjia acha kumuingiza mwenzako chaka, kwanza kabisa, mwanamke huwa anatoa yai moja tu kwa mwezi likipevuka kama halijapata kirutubisha toka kwa mwanaume ndio linapasuka tunapata hedhi,mwanaume huwa anatoa mbegu ina mbili na yeye ndio anauwezo wa kumzalisha mwanamke either boy or girl, kwa hiyo.....mbegu zinazokimbia haraka sana na kufa haraka sana zinatoka kwa mwanaume nazo ni za mtoto wa kiume na zinazoenda taratibu na kuishi muda karibu ya masaa 72 ni za mtoto wa kike, kwa hiyo hizo za mtoto wa kiume zikikuta yai lipo tayari zinatunga kwanza hapohapo na za kike zinakuwa zimechelewa, na zikikuta yai bado haliapevuka za mtoto wa kiume zinakufa za kike zinakaa kama yai litapevuka kwa masaa 72 niliyotaja hapo juu unapata girl

kwa msingi huu basi, hesbu mzunguko wa mkeo vizuri kama ni wa siku 28 wewe fanya nae mapenzi siku ya 14 na hakikisha wakati unamwaga mbegu uume uko ndani kabisa, na wanaotaka bby girl wanaweza fanya tendo siku ya tisa,ili zikikaa ndani za kiume zinakufa, yai likija linazikuta zenyewe tu zinasubiria, ukiona ya tisa hujanasa unasogeza tena siku moja mbele,hivohivo mpaka utafanikiwa
 
Jamani mnanchanganya, huko ambako y znakimbia kuliko x niwapi? Kwenye seamen au ktk yai la mwanamke.?
 
BB hedhi haitokani na yai kupasuka. Hii inatokana na ukuta wa uterus uliokuwa richly supplied with blood kuanza kudetach baada ya mabadiliko ya homoni yatakayosababisha blood cut off hivo unakuwa not growing any more. Kayai kenyewe ni microscopic hata yai la buibui linaonekana hiyo damu ya cku tano itatoka wapi? Mi nahisi kuna siasa zinaendelea hapa na kuchakachua maelezo yaliyotolewa na wachangiaji ambao wanahitaji watu waelewe.
 
BB hedhi haitokani na yai kupasuka. Hii inatokana na ukuta wa uterus uliokuwa richly supplied with blood kuanza kudetach baada ya mabadiliko ya homoni yatakayosababisha blood cut off hivo unakuwa not growing any more. Kayai kenyewe ni microscopic hata yai la buibui linaonekana hiyo damu ya cku tano itatoka wapi? Mi nahisi kuna siasa zinaendelea hapa na kuchakachua maelezo yaliyotolewa na wachangiaji ambao wanahitaji watu waelewe.
Sawa ni ukuta hii nakubali, mimi mwenyewe hedhi ni siku nne mpaka tano, kwa hiyo sijui unabisha nini
 
Mr Riwa ameeleza kitaalam...nyongeza yangu...during ovulation mke atatoa ute unaovutika..atatest na vidole vyake viwili akiona unavutika 10cm apart..siku hiyo wa ukae ndio yenyewe..mengi hebu google baby gender selection by dr. shettles utapata meeengi sana waukae.
 
Back
Top Bottom