Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Wife kwa miez kadhaa mfululizo
amekua akipata hedhi kila tar 23 na inachukua siku 3 hadi 4 kumaliza lkn siKu 4 huwa ni mara chache sana na Huwa ni kidogo mno!

sasa naomba mnisaidie ana mzunguko wa siku ngapi? Na na siku zake za mimba kuingia ni zipi?
 
Me nilianza period tarehe1 march til 5march bt on 7march nilisex jion wakat naenda kuoga kuvua chup nkakuta dam za kumalizia kuna any chance of conciving?mzunguko wng 28dayz
 
Mkuu ungetupia hiyo kanuni ili wailewe itawasaidia hata siku ukiwa haupo wapige wenyewe mahesabu....bora uwafundishe kuvua samaki badala ya kuwaletea wewe kila siku.
hapo ni kwamba yai la kike linapevuka siku ya 14 tangia uanze kutumika(bleed)na yai likipevuka linasafiri kwenye mirija ya uzazi hadi kwenye mji wa uzazi.kumbuka yai ya mwanamke linakuwa hai kwa siku 3 kama halitakutana na mbegu ya mwanamke.
Kwa upande mwanaume akitoa manii(shahawa) anatoa vinyemele x na y ambapo kazi yake ni wa ajili ya jinsia ya mtoto ambapo x hutoa mwanamke na y hutoa mwanaume,na hizi x na y zinaweza kuishi ndani ya mwili wa mwanamke kwa siku 3 baada ya hapo zinakufa.
Kwa kutumia formula hiyo siku za kupata mimba ni siku ya 11,12,13,14,15,16,na 17 tangia uanze kutumika,

Ukitaka upate mtoto wa kiume au wa kike unaangalia sifa za x na y anayoitoa mwanaume kwenye shahawa zake.X ukiichora haina mkia kwa hiyo inatembea taratibu na inaishi muda mrefu wakati ya y ina mkia kwa hiyo inakimbia zaidi ila ina maisha mafupi.
Kwa ufafanuzi huo ndio mana siku ya 11na 12 unapata mtoto wa kike mana ya y itakuwa imekufa wakati yai limekomaa siku ya 14.na siku ya 14 na 15 ni siku nzuri za kupata mtoto wa kiume mana ile chromosome ya y itakimbia haraka na kukutana na yai la mwanamke lililokomaa siku ya 14
Japo siku zinachangia sana wakati wa kupanga jinsia ya mtoto kuna vitu vingine vya kuingatia kama alkalini na acidity kwenye uke wa mwanamke.
NAWAKILISHA
 
Duu nimevutiwa Kweli na mada yko na nilikuwa nahitaji sn kuongeza familia ila naona kumekuwa na ugumu kidogo lately so nahisi km waweza nisaidia na chili

Km vp ni pm mkuu
 


kwani hili swali ni gumu mbona halijibiwi wakuu niaje ????
zubedayo_michuzi, MCHOMEBEDA
na wengine
 
Last edited by a moderator:
wa kwangu mimi siku 28 alianza peri0d mwezi huu tarehe 1,ila yeye anamaliza siku ya 6 hadi kuwa msafi.je ni siku gani anakuwa safe na siku gani anaweza shika mimba #zubeday0_mchuzi

Month 1

Saturday 1st March 2014 - First day of your cycle

Tuesday 11th March 2014 - A little bit fertile

Wednesday 12th March 2014 - Fertile

Thursday 13th March 2014 - VERY fertile

Friday 14th March 2014 - Time to ovulate

Monday 24th March 2014 - A home pregnancy test may work now.
Friday 28th March 2014 - End of cycle

Monday 31st March 2014 - No period? Maybe you're pregnant!



Month 2

Saturday 29th March 2014 - First day of your cycle

Tuesday 8th April 2014 - A little bit fertile

Wednesday 9th April 2014 - Fertile

Thursday 10th April 2014 - VERY fertile

Friday 11th April 2014 - Time to ovulate

Monday 21st April 2014 - A home pregnancy test may work now.
Friday 25th April 2014 - End of cycle

Monday 28th April 2014 - No period? Maybe you're pregnant!



Month 3

Saturday 26th April 2014 - First day of your cycle

Tuesday 6th May 2014 - A little bit fertile

Wednesday 7th May 2014 - Fertile

Thursday 8th May 2014 - VERY fertile

Friday 9th May 2014 - Time to ovulate

Monday 19th May 2014 - A home pregnancy test may work now.
Friday 23rd May 2014 - End of cycle

Monday 26th May 2014 - No period? Maybe you're pregnant!
 
Tarehe 26/03/2014 mzunguko ni siku 30/31.

Month 1

Wednesday 26th March 2014 - First day of your cycle

Tuesday 8th April 2014 - A little bit fertile

Wednesday 9th April 2014 - Fertile

Thursday 10th April 2014 - VERY fertile

Friday 11th April 2014 - Time to ovulate

Monday 21st April 2014 - A home pregnancy test may work now.
Friday 25th April 2014 - End of cycle

Monday 28th April 2014 - No period? Maybe you're pregnant!


Month 2

Saturday 26th April 2014 - First day of your cycle

Friday 9th May 2014 - A little bit fertile

Saturday 10th May 2014 - Fertile

Sunday 11th May 2014 - VERY fertile

Monday 12th May 2014 - Time to ovulate

Thursday 22nd May 2014 - A home pregnancy test may work now.
Monday 26th May 2014 - End of cycle

Thursday 29th May 2014 - No period? Maybe you're pregnant!


Month 3

Tuesday 27th May 2014 - First day of your cycle

Monday 9th June 2014 - A little bit fertile

Tuesday 10th June 2014 - Fertile

Wednesday 11th June 2014 - VERY fertile

Thursday 12th June 2014 - Time to ovulate

Sunday 22nd June 2014 - A home pregnancy test may work now.
Thursday 26th June 2014 - End of cycle

Sunday 29th June 2014 - No period? Maybe you're pregnant!
 
Day 1, ilikuwa tarehe 01.March.
Mzunguko wangu ni siku 35.

Month 1

Saturday 1st March 2014 - First day of your cycle

Monday 17th March 2014 - Best chance of conceiving a girl

Tuesday 18th March 2014 - A little bit fertile, best chance of conceiving a girl

Wednesday 19th March 2014 - Fertile, best chance of conceiving a boy

Thursday 20th March 2014 - VERY fertile, best chance of conceiving a boy

Friday 21st March 2014 - Time to ovulate

Monday 31st March 2014 - A home pregnancy test may work now.


Friday 4th April 2014 - End of cycle

Monday 7th April 2014 - No period? Maybe you're pregnant!


Month 2

Saturday 5th April 2014 - First day of your cycle

Monday 21st April 2014 - Best chance of conceiving a girl

Tuesday 22nd April 2014 - A little bit fertile, best chance of conceiving a girl

Wednesday 23rd April 2014 - Fertile, best chance of conceiving a boy

Thursday 24th April 2014 - VERY fertile, best chance of conceiving a boy

Friday 25th April 2014 - Time to ovulate

Monday 5th May 2014 - A home pregnancy test may work now.
Friday 9th May 2014 - End of cycle

Monday 12th May 2014 - No period? Maybe you're pregnant!



Month 3

Saturday 10th May 2014 - First day of your cycle

Monday 26th May 2014 - Best chance of conceiving a girl

Tuesday 27th May 2014 - A little bit fertile, best chance of conceiving a girl

Wednesday 28th May 2014 - Fertile, best chance of conceiving a boy

Thursday 29th May 2014 - VERY fertile, best chance of conceiving a boy

Friday 30th May 2014 - Time to ovulate

Monday 9th June 2014 - A home pregnancy test may work now.
Friday 13th June 2014 - End of cycle

Monday 16th June 2014 - No period? Maybe you're pregnant!
 
Me nilianza period tarehe1 march til 5march bt on 7march nilisex jion wakat naenda kuoga kuvua chup nkakuta dam za kumalizia kuna any chance of conciving?mzunguko wng 28dayz


Month 1

Saturday 1st March 2014 - First day of your cycle

Monday 10th March 2014 - Best chance of conceiving a girl

Tuesday 11th March 2014 - A little bit fertile, best chance of conceiving a girl

Wednesday 12th March 2014 - Fertile, best chance of conceiving a boy

Thursday 13th March 2014 - VERY fertile, best chance of conceiving a boy

Friday 14th March 2014 - Time to ovulate

Monday 24th March 2014 - A home pregnancy test may work now.
Friday 28th March 2014 - End of cycle

Monday 31st March 2014 - No period? Maybe you're pregnant!



Month 2

Saturday 29th March 2014 - First day of your cycle

Monday 7th April 2014 - Best chance of conceiving a girl

Tuesday 8th April 2014 - A little bit fertile, best chance of conceiving a girl

Wednesday 9th April 2014 - Fertile, best chance of conceiving a boy

Thursday 10th April 2014 - VERY fertile, best chance of conceiving a boy

Friday 11th April 2014 - Time to ovulate

Monday 21st April 2014 - A home pregnancy test may work now.
Friday 25th April 2014 - End of cycle

Monday 28th April 2014 - No period? Maybe you're pregnant!



Month 3

Saturday 26th April 2014 - First day of your cycle

Monday 5th May 2014 - Best chance of conceiving a girl

Tuesday 6th May 2014 - A little bit fertile, best chance of conceiving a girl

Wednesday 7th May 2014 - Fertile, best chance of conceiving a boy

Thursday 8th May 2014 - VERY fertile, best chance of conceiving a boy

Friday 9th May 2014 - Time to ovulate

Monday 19th May 2014 - A home pregnancy test may work now.



Friday 23rd May 2014 - End of cycle

Monday 26th May 2014 - No period? Maybe you're pregnant!
 

wewe na wife mnajukumu la kujua kwamba mke wako ana mzunguko wa siku ngapi,fanya hivi kama mnakumbu kumbu sahihi ya tarehe ya mwisho ya hedhi yake kwa mwezi march,basi atakapoingia mwezi APRIL,mhesabu kuanzia tarhe ya mwisho mwezi wa 3 mpaka tarehe ya mwezi wa 4 alipoanza siku zake tena,mfanye hivyo kwa miezi 3 mtajua mzunguko wake ni wa siku ngapi.
 
last bleed ilianza 14 march..... n mzunguko ni 33/34 dayz...


Month 1

Friday 14th March 2014 - First day of your cycle

Saturday 29th March 2014 - Best chance of conceiving a girl

Sunday 30th March 2014 - A little bit fertile, best chance of conceiving a girl

Monday 31st March 2014 - Fertile, best chance of conceiving a boy

Tuesday 1st April 2014 - VERY fertile, best chance of conceiving a boy

Wednesday 2nd April 2014 - Time to ovulate

Saturday 12th April 2014 - A home pregnancy test may work now.

Wednesday 16th April 2014 - End of cycle

Saturday 19th April 2014 - No period? Maybe you're pregnant!


Month 2

Thursday 17th April 2014 - First day of your cycle

Friday 2nd May 2014 - Best chance of conceiving a girl

Saturday 3rd May 2014 - A little bit fertile, best chance of conceiving a girl

Sunday 4th May 2014 - Fertile, best chance of conceiving a boy

Monday 5th May 2014 - VERY fertile, best chance of conceiving a boy

Tuesday 6th May 2014 - Time to ovulate

Friday 16th May 2014 - A home pregnancy test may work now.



Tuesday 20th May 2014 - End of cycle

Friday 23rd May 2014 - No period? Maybe you're pregnant!


Month 3

Wednesday 21st May 2014 - First day of your cycle

Thursday 5th June 2014 - Best chance of conceiving a girl

Friday 6th June 2014 - A little bit fertile, best chance of conceiving a girl

Saturday 7th June 2014 - Fertile, best chance of conceiving a boy

Sunday 8th June 2014 - VERY fertile, best chance of conceiving a boy

Monday 9th June 2014 - Time to ovulate

Thursday 19th June 2014 - A home pregnancy test may work now.



Monday 23rd June 2014 - End of cycle

Thursday 26th June 2014 - No period? Maybe you're pregnant!
 

Ahsante sana mchuzi.
Tarehe 18.March tulifanya kazi nzuri sana.
Natumaini MUNGU atatujalia.
 
Last edited by a moderator:
zubedayo toa elimu kwani ni ya muhimu sana hasa kwa hawa vijana wa dotcom na hata wanandoa wanaogopa kutumia njia za kimagharibi(kisasa) kuzuia mimba.
unachokiandika hapa hakina tofauti na tiba ya uganga wa kienyeji...teteteeeeeh.


naenda kuangalia bunge la katiba nikirudi ntakupa ya siku 30,
 
Last edited by a moderator:

13. 2. 2014 mzunguko siku 26
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…