mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mtume au nabii ndo cheo chake.wale wengine ni wanafunzi wake.Mwana wa mungu, kwa mujibu wa bible
Vipi, mbona tunaitana kiboya watu tumepumzika!?
Nikisema uislam umejengwa juu ya Ukristo ntakuwa nakosea ? Yaani ilifanyika gap analysis then ukaanzishwa uislam ?
Mwana wa mungu, kwa mujibu wa bible
Nikisema uislam umejengwa juu ya Ukristo ntakuwa nakosea ? Yaani ilifanyika gap analysis then ukaanzishwa uislam ?
Gap analysis 😀😀😀😀Nikisema uislam umejengwa juu ya Ukristo ntakuwa nakosea ? Yaani ilifanyika gap analysis then ukaanzishwa uislam ?
Changia mada ustadhi.Vipi, mbona tunaitana kiboya watu tumepumzika!?
Mimba iliingia kimuujiza,Mtume au nabii ndo cheo chake.wale wengine ni wanafunzi wake.
Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa.
Na yesu hakuwa na baba.mimba yake iliingia kimiujiza.kumuita mtoto wa Mungu ni kumkosea heshima Mungu mwenyewe
Sawaaa.sasa hapo hawezi kuwa baba yakeMimba iliingia kimuujiza,
Huo muujiza sio ndio mungu mwenyewe amefanya, kumpatia Mariam mimba akiwa Bado bikra
Sayansi siyo kila kituMambo ya dini ni u TP tu
huwezi kudhibitisha kisayansi hata history inakinzana na dinii
Unaelewa maana neno Kristio, ambalo linazaa neno mkristo au wakristo?hakuna mtume yeyote au nabii yeyote aliyekuwa mkristo..
Mafundisho yote ya kwenye biblia ya kale ndo Mafundisho ambayo walikuja nayo mitume wote mpaka Muhammad alipofika.ya Mungu mmoja.
Indeed, the example of Jesus to Allah is like that of Adam. He created Him from dust; then He said to him, "Be," and he was.Kwa hiyo imekaaje ,
Kristo ni jina la yesu.ambalo wamemtunga wataalam wa kufakeUnaelewa maana neno Kristio, ambalo linazaa neno mkristo au wakristo?
MJA WAKE,kama mimi na wewe na wengineKwa hiyo imekaaje ,
Daudi alikuwa Mfalme wa Waisrael au Wapalestinahakuna mtume yeyote au nabii yeyote aliyekuwa mkristo..
Mafundisho yote ya kwenye biblia ya kale ndo Mafundisho ambayo walikuja nayo mitume wote mpaka Muhammad alipofika.ya Mungu mmoja.
Ndipo utata unapotokea hapo, TarehE Ya KuzaliwA Kwa MuhammaD Ni jambo lisilo na ukweli wenye mashikoUkisherekea maulidi unasherekea kifo cha mtume mna tarehe ya kuzaliwa kwake haijulikani bali tarehe ya kifo chake ndo inajulikana nyie makhurafi mnapoteza sana watu