Tarehe ya kuzaliwa kwa Muhammad ni suala linalotokana zaidI na masimulizI ya kihistoria na ya kidini, kuliko ushahidi wa kisayansi

Mwana wa mungu, kwa mujibu wa bible
Mtume au nabii ndo cheo chake.wale wengine ni wanafunzi wake.
Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa.
Na yesu hakuwa na baba.mimba yake iliingia kimiujiza.kumuita mtoto wa Mungu ni kumkosea heshima Mungu mwenyewe
 
Mtume au nabii ndo cheo chake.wale wengine ni wanafunzi wake.
Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa.
Na yesu hakuwa na baba.mimba yake iliingia kimiujiza.kumuita mtoto wa Mungu ni kumkosea heshima Mungu mwenyewe
Mimba iliingia kimuujiza,
Huo muujiza sio ndio mungu mwenyewe amefanya, kumpatia Mariam mimba akiwa Bado bikra
 
hakuna mtume yeyote au nabii yeyote aliyekuwa mkristo..
Mafundisho yote ya kwenye biblia ya kale ndo Mafundisho ambayo walikuja nayo mitume wote mpaka Muhammad alipofika.ya Mungu mmoja.
Unaelewa maana neno Kristio, ambalo linazaa neno mkristo au wakristo?
 
hakuna mtume yeyote au nabii yeyote aliyekuwa mkristo..
Mafundisho yote ya kwenye biblia ya kale ndo Mafundisho ambayo walikuja nayo mitume wote mpaka Muhammad alipofika.ya Mungu mmoja.
Daudi alikuwa Mfalme wa Waisrael au Wapalestina

Yesu alikuwa Muisrael au Mpalestina.


Haya maswali yanajibu kamili kuhusu Uislam
 
Ukisherekea maulidi unasherekea kifo cha mtume mna tarehe ya kuzaliwa kwake haijulikani bali tarehe ya kifo chake ndo inajulikana nyie makhurafi mnapoteza sana watu
 
Ukisherekea maulidi unasherekea kifo cha mtume mna tarehe ya kuzaliwa kwake haijulikani bali tarehe ya kifo chake ndo inajulikana nyie makhurafi mnapoteza sana watu
Ndipo utata unapotokea hapo, TarehE Ya KuzaliwA Kwa MuhammaD Ni jambo lisilo na ukweli wenye mashiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…