Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa akili yako unadhani kuwa Dunia na civilization vilianza wakati wa yesu na mudiSayansi mchumba hapo.wala haikuwa imegunduliwa.
Kwaio mitume walikua dini Gani?Agano la Kale.
Acha hilo la juzi juzi.
Hakuna nabii au mtume aliyekuwa mkristo
Juzi wapi uislamu unaanzishwa calender ya kirumi tayari ipo mwaka wa 600+ na ndoo hii inayosema ni mwaka 2025Sayansi si imegunduliwa juzi tu hapo?
Mwambie huyo kobasi, anawaza mabikira TU na mito ya pombeJuzi wapi uislamu unaanzishwa calender ya kirumi tayari ipo mwaka wa 600+ na ndoo hii inayosema ni mwaka 2025
Wakati huo muhammad hajazaliwa golden age ya wagiriki ilikuwa imeshapita mda sana elimu hii tunayosoma leo imetokana na wagiriki
Hadi mwaka 2024, idadi ya waumini wa Kiislamu duniani imefikia takriban watu bilioni 2. UIslam ni dini ya pili kwa ukubwa Duniani baada ya Ukristo, na inajumuisha takriban 24% ya idadi ya watu duniani. Takriban 62% ya Waislamu wanaishi katika kanda ya Asia-Pasifiki, ikiwemo nchi kama Indonesia, ambayo ina idadi kubwa zaidi ya Waislamu duniani, pamoja na Pakistan, India, na Bangladesh.
Alikuwa na miaka kama 50 hivi YanHiyo idadi itaongezeka maradufu maana uislamu ulitabiriwa ujio wake kama mpinga Kristo atakayepotosha sana.
Hivi huyo muanzishaji wa hiyo dini Mohamed alikuwa na umri gani wakati anagegeda katoto Aisha kakiwa na umri wa miaka tisa
Mkuu inaonekana jamaa hajui hata sayansi nini 😂Juzi wapi uislamu unaanzishwa calender ya kirumi tayari ipo mwaka wa 600+ na ndoo hii inayosema ni mwaka 2025
Wakati huo muhammad hajazaliwa golden age ya wagiriki ilikuwa imeshapita mda sana elimu hii tunayosoma leo imetokana na wagiriki
Nikisema uislam umejengwa juu ya Ukristo ntakuwa nakosea ? Yaani ilifanyika gap analysis then ukaanzishwa uislam ?
Alikuwa na miaka kama 50 hivi Yan
Anashindwa kuelewa walioandaa kalender ni wanajimu leo tunawaita astronaut zile ni hesabu zilipigwa hasa hii calender ya jua tunayoitumia leo ni hesabu kali zilipigwaMkuu inaonekana jamaa hajui hata sayansi nini 😂
Kujua siku yake ya kuzaliwa na kufa hakuna faida yoyote.Mutautaje hiyo siku?
hakuna mtume yeyote au nabii yeyote aliyekuwa mkristo..
Mafundisho yote ya kwenye biblia ya kale ndo Mafundisho ambayo walikuja nayo mitume wote mpaka Muhammad alipofika.ya Mungu mmoja.