Tarehe ya kuzaliwa na utabiri wa kesho yako

Alfu lela ulela
 
hahaha mchangieni hela ya bando atakuwa ameishiwa!!!
 
Nimeenda sawa na mfumo ulio drop nimepata Total 11, So what next Fanta?
 
Nimeenda sawa na mfumo ulio drop nimepata Total 11, So what next Fanta?
hiyo ni namba kiongozi endelea kufuatilia uzi nitatoa maelezo yake kwa kina, lakini kwa ufupi

Mtu mwenye mzunguko wa namba 11 ni lazima uwe na uelewa mpana wa masuala ya kiroho na mahusiano yake katika maisha yetu ya kila siku hapa duniani. Mtu mwenye mzunnguko huu ana faida ya ziada katika kuelewa na kufahamu mambo ukilinganisha na watu wa mizunguko mingine.

Jambo la kuzingatia ni kuwa huu uelewa na ufahamu vinachukua muda ili kujijenga na vikishajijenga mtu mwenye mzunguko huu anakuwa na uwezo wa kukamilisha mambo ambayo watu wa mizunguko mingine hawawezi kuyakamilisha kwa urahisi. Mtu mwenye mzunguko huu pia ni lazima kujifunza kuamini na kuboresha uwezo wake wa kupata maono uwe unaongozwa kiroho.
Lazima ujitambue kuwa wewe ni njia katika kuhakikisha kuwa unainua maisha ya watu wengine kwa kuwapatia mwanga kupitia uwezo mkubwa wa ufahamu na uelewa wa mambo.
 
Kaka unasema kweli maana kuna muda huwa najiogopa kwa uwezo nilio nao, mtaani wanasema mimi ni usalama wa Taifa, Wenye shida wanaamini mimi ndio mtetezi wao, Mfano mkuu wa Nchi kazaliwa 29 October na mimi nimezaliwa 30 november tofauti ni namba 1 kwenye tarehe na mwezi tofauti ni moja bahati mbaya nimeishia darasa la saba lakini maisha yangu kama nimemaliza vyuo vyote. Please nipe neno zaidi kaka.
 
Sawa, endelea kufatilia maana namba haijawai kudanganya, utayajua mengi kuhusu hiyo 11.
 
Sawa, endelea kufatilia maana namba haijawai kudanganya, utayajua mengi kuhusu hiyo 11.
Asante sana kaka na nashukuru maana nahisi hii mada kama umeleta kwa ajiri yangu, ukizingatia kesho ni 30 November ni siku yangu ya kuzaliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…