jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Kimsingi wahuni wapo kazini.
#MaendeleoHayanaChama
#MaendeleoHayanaChama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msoga gangMlengwa ni nani hasa.?
Hivi ni kweli Tarimba Abbas au?? Maana siamini"....wanaoiba hizi mali za Umma si wadogo kama tunavyofikiri ni watu wazito na ndiyo maana jeuri yao si kwa Bunge pekee bali ni jeuri hadi kwa Rais."
Tarimba.
NB: Mtanikumbuka si kwa mabaya yangu bali kwa mazuri yangu.
Hili neno Dhaifu tulilisikia kwa Mnyika enzi hiyo ni Mnyika kweliKwani ni uongo sio dhaifu
Si useme tu mtoto wa dada? Matrillion yote ya dhalimu aliyoyaiba kayatunza.Sijui
Machadema majizi sana!!Duh...... bunge ni Moto
Unakuta Current Government Operators wengi Wana undugu na viongozi wakuu wastaafu au walioko madarakani... Viongozi wakuu includes ata wakuu wa vyombo...kuwagusa hao lazima ushikwe na kigugumizi.Kwan Nan anawez kumgusa mzee wa Msoga nyie endleeeni kubwabwaja nchi ndogo sana hiii
Bahati mbaya wapigaji na wezi hao ni wale genge la Mwendazake.."....wanaoiba hizi mali za Umma si wadogo kama tunavyofikiri ni watu wazito na ndiyo maana jeuri yao si kwa Bunge pekee bali ni jeuri hadi kwa Rais."
Tarimba.
NB: Mtanikumbuka si kwa mabaya yangu bali kwa mazuri yangu.
Huyo Mzoga wako anashughulikiwa na aliyemleta Duniani. Punde utamsikiaKwan Nan anawez kumgusa mzee wa Msoga nyie endleeeni kubwabwaja nchi ndogo sana hiii
Kinga ipo ndani tu wakitoka nje moto unawawakiaWawataje si Wana kinga ya bunge?
Wanaanza kutafuta uhalali wa 2025"....wanaoiba hizi mali za Umma si wadogo kama tunavyofikiri ni watu wazito na ndiyo maana jeuri yao si kwa Bunge pekee bali ni jeuri hadi kwa Rais."
Tarimba.
NB: Mtanikumbuka si kwa mabaya yangu bali kwa mazuri yangu.
Iko sawa kabisa tuache kujipendekeza kwa kudhani rais ni munguTarimba anavuka mipaka hii kauli haijakaa sawa