KuWale rafiki zetu wa bita ni bita akili zao ni ndogo sana.
Sijui kwanini wana akili ndogo
Ingekua wakati wa mtu yule saa hii hukumu angekua nayo jaji..Polisi watalifanyia kazi haraka swala hili
Unaingiza ukabila wakati mnalalamikia 'Sukuma Gang' kwamba walikuwa na ukabila. Wapi imesemwa kwamba sehemu fulani ya Tanzania waishi watu wa kabila fulani tu kiasi kwamba huyu mwenye jina la Kisukuma asiishi huko? Inawezekana kabisa huyu alizaliwa huko, la sivyo lazima ameishi huko muda mrefu mpaka kuja kupata cheo ambacho kwa kawaida hupewa wakazi wa mahali husika.huyo msukuma alipotea njia kwenda kuinadi ccm huko kwa wakila
Ikiwa inacheza yanga wa simba tusiingie kwa mkapa kushanglia.Group limeandikwa CHADEMA wewe CCM unakwenda kufanya nini?
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Kwa sababu ni CCM ama vepe?Polisi watalifanyia kazi haraka swala hili
Ndiyo hivyoKwa sababu ni CCM ama vepe?
Ulitakaje kwa mfano?Polisi watalifanyia kazi haraka swala hili
Ila ndio wanaowalinda kwenye hii nchi yenu.bila wao huenda sasa Tanzania ingekua na mikoa miwili tu ya singida na Dodoma.Wale rafiki zetu wa bita ni bita akili zao ni ndogo sana.
Sijui kwanini wana akili ndogo
Mama yako yeye ana akili?Wakurya hawanaga akili kabisa.
Mangi kasema anataka pesa, fanya kazi uchangie chamaMama yako yeye ana akili?
Sisi wananchama wa Umoja Party tuna-comment kwa wapi?View attachment 2193056
Ni huko Tarime Mkoa wa Mara.
Mwana CCM alileta ubishi kwenye maslahi mapama ya nchi watu wametoka naye.
Mungu ibariki Chadema.
Mungu mwema sana!Sisi
Sisi wananchama wa Umoja Party tuna-comment kwa wapi?