TARIME: Kada wa CCM auawa kwa kisu katika ubishi wa kisiasa kati ya CCM na CHADEMA

Kuua mtu kisa hizo siasa uchwara ni uboya, ukizingatia usikute ni makada tu wala sio viongozi.

Mnauana kwa ajili ya watu wasio na maslahi na nyie.
 
Mbona hakuna Chadema ilipotajwa hapo?
Inawezekana Sukuma gang wameua mwana CCM unasema Chadema
 
Ukifuatilia nae ameua wengi wa upinzani. Siku hizi malipo ni hapa hapa
 
Ndio maana tunawaita nyumbu kichwa mzigo akili kisoda, apumzike amini kada
 
MaCCm na Machadema ni mapumbavu sana maccm yanajiona nchi ya kwao na machadema huko Twitter ukipishana nayo kimtazamo tu unakua adui yao wanakufukuza hadi Twitter Kama vile Wana hisa zao kule.
Wote hawastahili kuongoza nchi udikteta na uchu wa madaraka ni mwingi sana Kati yao, na wote wanatumika Kama misukule kunufaisha walio juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…