Tarime, Mara: Mmiliki wa mabasi ya Zacharia awapiga risasi maafisa wa Usalama wa Taifa, ashikiliwa na Polisi

Tarime, Mara: Mmiliki wa mabasi ya Zacharia awapiga risasi maafisa wa Usalama wa Taifa, ashikiliwa na Polisi

Peter Zakaria anabakia kuwa mwanadamu pekee hapa Tanzania kuwazidi maarifa watu wasiojulikana.
Walimuonea lakini na yeye aliwakomesha imebakia kuwa mfano kwa Tabia mbaya ya wasiojulikana wengine wenye Tabia kama zile, kipindi hiki cha miaka minne wameteketea wasiojulikana wengi sana hasa kile kikundi cha kuwabambikia watu kesi cha nyaulingo na wale waliokwenda kumpiga risasi Tundu Lisu, wengi wamekufa wengine ni vilema wengine wamekuwa vichaa zipo Adhabu nyingi wanakutana nazo toka kwa mungu kwa siri na sasa wasiojulikana wengi wamekuwa waoga sana, wanaogopa Albadiri kuliko chochote kile.
 
Mwisho wa ubaya huwa ni Aibu na sijaona sababu ya utawala huu kuhangaika na Ubaya wakati mazuri wanayoyafanya yanatosha kuzikamata Akili za watanzania wakawapenda
Sasa wanasema atakayeongea kuwa fulani katekwa akamatwe!
Nadhani njia hii aliyotumia Zakaria ni mujarabu kabisa,inabidi raia tumiliki silaha kwa wingi!

Zakaria style!!!!
 
Mnamo Julai 2018 Peter Zakaria aliwashambulia kwa risasi maafisa usalama wa Taifa kwa kile kinachodaiwa walikuwa kazini. Hawa ndiyo walikuwa wanaitwa WASIOJULIKANA.

Kwa ushujaa aliounyesha kwenye utawala DHALIMU wa Magufuli, napendekeza sisi wapenda amani tumtambue Peter Zakaria kama SHUJAA wa kipindi alichotawala DIKTETA na tumjengee Sanamu lake.
 
Mnamo Julai 2018 Peter Zakaria aliwashambulia kwa risasi maafisa usalama wa Taifa kwa kile kinachodaiwa walikuwa kazini. Hawa ndiyo walikuwa wanaitwa WASIOJULIKANA.

Kwa ushujaa aliounyesha kwenye utawala DHALIMU wa Magufuli, napendekeza sisi wapenda amani tumtambue Peter Zakaria kama SHUJAA wa kipindi alichotawala DIKTETA na tumjengee Sanamu lake.
Mkuu wa Mkoa Adam Malima alisema ni watu gani vile?
 
Mnamo Julai 2018 Peter Zakaria aliwashambulia kwa risasi maafisa usalama wa Taifa kwa kile kinachodaiwa walikuwa kazini. Hawa ndiyo walikuwa wanaitwa WASIOJULIKANA.

Kwa ushujaa aliounyesha kwenye utawala DHALIMU wa Magufuli, napendekeza sisi wapenda amani tumtambue Peter Zakaria kama SHUJAA wa kipindi alichotawala DIKTETA na tumjengee Sanamu lake.
Mbona Mimi hata simjui huyu Peter
 
Magufuli alikuwa katiri Sana.
Alimiliki kikundi cha uhalifu ndani ya Ikulu (rogue unit). Genge liliitwa watu wasiojulikana, hili gege lilifanikiwa
-Kumpiga risasi Tundu Lissu
-Kumteka na kumuua Ben Saanane
-kumteka Mo Dewiji
-kumteka Roka Mkatoriki
-kumteka na kumtesa Mdude Nyangali
-Kumteka na kumuua Lwajabe
-Kumteka na kumuua Kanguye
-Kumteka na kumuua Azory Gwanda
-Kumteka Zakaria
-Kumteka Abdul Nondo
-Kumteka Tito Magoti

Hiki kikundi hata Kama kilikuwa kinapata Oda kutoka juu, Ni dhahiri kiliongozwa na watu makatiri Sana, watu wenye roho mbaya, maana matendo waliofanyiwa Watanzania wenzetu, yalikuwa ya kutisha Sana. Napendekeza TUWATAFUTE wakabiliane na MKONO WA SHERIA
 
Back
Top Bottom