econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Angekua shujaa asingezitema mali za chama Cha ushirika Nyanza alizozipata kimagumashi...
Alizitema au walimtemesha kwa nguvu akiwa lupango.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekua shujaa asingezitema mali za chama Cha ushirika Nyanza alizozipata kimagumashi...
Paulsylvester nenda japo kasome QT Ili uandike Kiswahili kizuri mbumbumbu mkubwa wewe. Msiludie siyo Kiswahili bali MsirudiePumbavu, biashara za magendo msiludie tena!
Hivi huwezi kuomba ajengewe sanamu bila kumdhalilisha marehemu?.
Hebu mwacheni huyu baba apumzike!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Alitakiwa kuwapiga risasi za kichwa kabisa!!Kuna watu hawajawahi hata kuingia kituo cha Polisi na hawadindishi, sembuse huyu aliyeteswa akiwa mikononi mwa Polisi?
Mimi natambua kitendo cha kupambana na lile kundi dhalimu la WASIOJULIKANA. Kimsingi alituheshimisha sana
Kumbe ulikuwa unawafahamu kwa kina!? Aisee!Hakuna haja ya kuwatafuta maana hawapo!. Jamaa mmoja anaitwa karma, amewashughulikia mmoia baada ya mwingine!.
P
Hivi huwezi kuomba ajengewe sanamu bila kumdhalilisha marehemu?.
Hebu mwacheni huyu baba apumzike!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Pumbavu, biashara za magendo msiludie tena!
Hatasahau mpaka anaingia kaburini
Ila kila nikukumbuka kuwa mke wa huyo katili na watoto wake wanakula pension na marupurupu kibao ya kodi zetu maisha yao yote najisikia hasira.
Familia ya watu wa aina hiyo ilipaswa kukiona cha moto katika maisha ikibidi hata kucharazwa bakora kwa makosa ya mume/baba yao ili iwe fundisho kwa wengine wawapo madarakani kutambua kuwa wakitenda ujinga basi wakiondoka kwa kufa basi moto wanawaachia watoto na mke
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Yaani bongo fulu ujinga. Yaani jitu zima linatetea majizi yaliyoiba mali za umma. Halafu wakati huo huo hilo hilo pumbavu Tanzania linalalamika eti huduma mbovu za jamii na kuwalalamikia viongozi wa serikali wezi eti hawafai kuwa viongozi wakati huo huo linatete majizi yaliyoiba zamani yaani hakika bongo kwa kizazi hiki ukiwa kiongozi iba na yakilalamika yaue tu haya mapumbavu matanzania maana hayana akili za kujua umuhimu wa kiongozi muadilifu
Yeye sio dhalimu? Hajawahi kudhulumu mtu?
Tuache kumdhihaki Mwenyezi Mungu
Hivi huwezi kuomba ajengewe sanamu bila kumdhalilisha marehemu?.
Hebu mwacheni huyu baba apumzike!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Watu mliobutuliwa na Magufuli mkaachwa bila urithi mna hasira sana.
Waache waelelee kuendekeza ushamba itaonekana hao hawabadiliki wamegongwa mhuri wa moyo kwenye vipaji vya nyuso zao.Hasira ya Nini?. Zakaria alifanya kitendo Cha kishujaa. Kuwatia ulemavu wa kudumu wale majambazi.
econonist watu kama akina Zakaria ingekuwa China wangekufa kwa kunyongwa. Nadhani ngoja tusubiri, hikiJamaa hatetei wizi wa Zakaria, Bali anafurahia alivyo washughulikia wale watu wasiojulikana.
Waache wafu wawazike wafu waoHivi huwezi kuomba ajengewe sanamu bila kumdhalilisha marehemu?.
Hebu mwacheni huyu baba apumzike!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Vipi ulimpa kinyeo chako akashindwa kukuingizia fresh?Muulize kama anadindisha? Aliteswa mateso daraja la kwanza