Tarime, Mara: Mmiliki wa mabasi ya Zacharia awapiga risasi maafisa wa Usalama wa Taifa, ashikiliwa na Polisi

Zakaria mafia sana; nakumbuka miaka flani hivi zamani alimchukua mzee mmoja mtoza kodi akampeleka hadi chini kabisa kwenye nyumba yake ya kufanyia mafia shimoni chini kabisa akimwonya kuhusiana na tabia yake ya kuzuia Mali yake.
Tokea hapo wakawa marafiki sana hadi leo hii.
 
Haka ka paragraph kamejaa usanii sana!
Yaani mtu awashambulie kwa risasi kisa walishuka? ipo namna hapa
 
Aisee hii kali.
 
Aisee!
 
“Tunamshukuru Mungu aliweza kupambana na watu kujitokeza kumsaidia. Pengine naye angepotea kama wengine wanaoripotiwa kupotea katika siku za hivi karibuni,” alisema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…