Ajengewe sanamu gani Peter zakaria. zakaria ni huyu tajiri aliyewatesa watu wa Tarime Kwa kuwaua ,aliyewadhulumu wa Mali zao mchana kweupe, aliyewasingizia watu kesi na kuwaweka kolokoloni.zakaria huyu aliyewahi kuwachapa viboko abiria waliokataa kushuka kwenye Busi lake baada ya kukatisha safari ghafla instead ya kuwafikisha sirari akalazimisha waishie Tarime mjini , zakaria huyu mkepa kodi na mfanyabiashara ya magendo, Zakaria huyu aliyepora na kujipatia Mali na majumba na ya chama cha ushirika cha Nyanza Jijini mwanza , zakaria huyu mwana CCM kindakindaki anayetumia jina mwamvuli wa chama kujinufaisha kiuchumi etc. Sanamu inajengewa watu kama Peter zakaria