Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huu ndio uongozi , Tukisubiri vya ALIBABA tutakwama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda akamatwe muda huu , lakini mpaka sasa bado yuko huruHakukamatwa kweli?
Hapo ndio jimbo zima?!
unataka tulete fuso zote hapa jf ?Hapo ndio jimbo zima?!
Madumu ya maji wewe unasema sanitizer!!
Tumekusikia , Chadema itaendelea kuwathamini wazeeAtuletee na sie wazee, wanasema sie ndio tuko hatari zaidiView attachment 1400624
Hizi ndio akili tunazozitaka sasa,sio kila kitu kupinga tu na kugombana na serikali hata kama hakukua na ulazima. Big up mbunge,wapinzani wakiwa hivi mbona maendeleo yatapatikana haraka sana.
Hahahaaaaa......... Sawa bwashee mnajitahidi kwa kweli.unataka tulete fuso zote hapa jf ?
Kama ni madumu kama unavyodhani , wabunge wa ccm wangeshindwa ?Madumu ya maji wewe unasema sanitizer!!
Tunafanya kimya kimya siyo kuleta madumu kumi ya maji unatangazia dunia nzima!Kama ni madumu kama unavyodhani , wabunge wa ccm wangeshindwa ?
Hivi tukikuambia njama za kumkamata mbunge kwa kosa la kusambaza hivi vifaa zinapangwa utaamini ?Hizi ndio akili tunazozitaka sasa,sio kila kitu kupinga tu na kugombana na serikali hata kama hakukua na ulazima. Big up mbunge,wapinzani wakiwa hivi mbona maendeleo yatapatikana haraka sana.
macson
haya ndio matatizo ya kuolewa mitala , kila mtu unamuona mbaya !Tunafanya kimya kimya siyo kuleta madumu kumi ya maji unatangazia dunia nzima!
Huwezi kufanya hivyo kila siku,pesa anatoa wapi?Halafu mnataka wasiikosoe serikali,yaani kila kitu iwe sawa na wao wajikite kuhudumia wanamchi kwa fedha zao,hakuna siasa za hivyo duniani!Hizi ndio akili tunazozitaka sasa,sio kila kitu kupinga tu na kugombana na serikali hata kama hakukua na ulazima. Big up mbunge,wapinzani wakiwa hivi mbona maendeleo yatapatikana haraka sana.
macson
Ungemwambia kwanza mama janet magufuli aliyeenda kutoa msaada wa sabuni na nguo kwa watoto yatima akiwa na makamera kibao na tukio likawa live!Tunafanya kimya kimya siyo kuleta madumu kumi ya maji unatangazia dunia nzima!
😆😆😆😆Ungemwambia kwanza mama janet magufuli aliyeenda kutoa msaada wa sabuni na nguo kwa watoto yatima akiwa na makamera kibao na tukio likawa live!
Kunya anye kuku akinya bata kaharisha!
Kwani huyo ni Mbunge tunaongelea wabunge wewe umekurupuka kama fisimaji!Ungemwambia kwanza mama janet magufuli aliyeenda kutoa msaada wa sabuni na nguo kwa watoto yatima akiwa na makamera kibao na tukio likawa live!
Kunya anye kuku akinya bata kaharisha!