Tarime: Mbunge aamua kupambana na Corona kwa vitendo, asambaza Sanitizer na vifaa vya kunawia Jimbo zima

Tarime: Mbunge aamua kupambana na Corona kwa vitendo, asambaza Sanitizer na vifaa vya kunawia Jimbo zima

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Huu ndio uongozi , Tukisubiri vya ALIBABA tutakwama

FB_IMG_1585294780569.jpg


FB_IMG_1585294819569.jpg
 
Hizi ndio akili tunazozitaka sasa,sio kila kitu kupinga tu na kugombana na serikali hata kama hakukua na ulazima. Big up mbunge,wapinzani wakiwa hivi mbona maendeleo yatapatikana haraka sana.

macson
Hivi tukikuambia njama za kumkamata mbunge kwa kosa la kusambaza hivi vifaa zinapangwa utaamini ?
 
Hizi ndio akili tunazozitaka sasa,sio kila kitu kupinga tu na kugombana na serikali hata kama hakukua na ulazima. Big up mbunge,wapinzani wakiwa hivi mbona maendeleo yatapatikana haraka sana.

macson
Huwezi kufanya hivyo kila siku,pesa anatoa wapi?Halafu mnataka wasiikosoe serikali,yaani kila kitu iwe sawa na wao wajikite kuhudumia wanamchi kwa fedha zao,hakuna siasa za hivyo duniani!
 
Ungemwambia kwanza mama janet magufuli aliyeenda kutoa msaada wa sabuni na nguo kwa watoto yatima akiwa na makamera kibao na tukio likawa live!
Kunya anye kuku akinya bata kaharisha!
😆😆😆😆
 
  • Dislike
Reactions: UCD
Ungemwambia kwanza mama janet magufuli aliyeenda kutoa msaada wa sabuni na nguo kwa watoto yatima akiwa na makamera kibao na tukio likawa live!
Kunya anye kuku akinya bata kaharisha!
Kwani huyo ni Mbunge tunaongelea wabunge wewe umekurupuka kama fisimaji!
 
Back
Top Bottom