Tarime: Mbunge aamua kupambana na Corona kwa vitendo, asambaza Sanitizer na vifaa vya kunawia Jimbo zima

Tarime: Mbunge aamua kupambana na Corona kwa vitendo, asambaza Sanitizer na vifaa vya kunawia Jimbo zima

Kiki kwenye janga
03860b676c5a200b448b216bd6cd7db4.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akamatwe kwa kosa gani? Tusiingize siasa katika mambo ya kitaifa kama haya. Mbunge kafanya kitu kwa maslahi ya watu wa jimbo lake; siyo kwa maslahi ya watu wa chama chake. Hivi ndivyo Watanzania wote inatubidi kufanya. Serikali inabidi kumpongeza mbunge huyu (hata kama ni kutoka upinzani) na iwahimize wabunge wengine waige mfano huo. Vivyo hivyo, wanachama wa upinzani wasibeze juhudi zinazochukuliwa na serikali kukabili tatizo hili eti tu kwa sababu serikali inaongozwa na CCM.
Mzee uko dunia ya wapi? Mbunge alipeleka misaada shuleni kilichotokea... Allah atunusuru
 
Kama kweli kuna misaada kama hiyo iliyokataliwa kwa sababu tu msaada ulikuwa unatolewa na upinzani, hilo ni kosa linalobidi kukemewa. Kwa upande mwingine nilisikia wakati fulani mtu wa upinzani alitaka kutoa madawati kwenye kata fulani (sikumbuki wapi) serikali ikamkataza. Kilichokuja kugundulika ni kwamba madawati yaliyokataliwa yalikuwa hayakidhi kabisa kiwango kinachohitajika. Mtu huyo alitaka kiki ya kisiasa tu akaitangazia nchi na kuita waandishi wa habari waone 'msaada' anaotoa. Ni halali kwa Serikali kukataa misaada kama hiyo.
Huwajui vizuri wewe, Eti madawati hayana ubora ila yangepelekwa na mbunge wa ccm yangekuwa grade1
 
Wewe ni mzungu siyo? Ndiyo maana hata DM umeweka picha ya mzungu (Nguruwe) umekuwa brainwashed na hao wazungu au hujawahi kuishi kwao hao mabwana zako wazungu.
We katika maelezo yangu umeona nimejiexcludi eti eee?? Afu uyo si mzungu tafadhali angalia vizuri
 
Nakala iwafikie UVCCM maandazi popote walipo
 
Back
Top Bottom