MR. IBU
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 1,380
- 2,965
Na wao muda si mlefu watafanyayao,huwa hawapendi kupitwa na jambo.Kitawauma mno mtaa wa pili
Jr[emoji769]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wao muda si mlefu watafanyayao,huwa hawapendi kupitwa na jambo.Kitawauma mno mtaa wa pili
Jr[emoji769]
Kazee kanajitambua haka kuzidi hata vijana wa 25yrs!Atuletee na sie wazee, wanasema sie ndio tuko hatari zaidiView attachment 1400624
Wabunge wa ccm huwa wanatoa magari ya kuzikia na kugawa pipi kwa wagonjwaKama ni madumu kama unavyodhani , wabunge wa ccm wangeshindwa ?
Akamatwe kwa kosa gani? Tusiingize siasa katika mambo ya kitaifa kama haya. Mbunge kafanya kitu kwa maslahi ya watu wa jimbo lake; siyo kwa maslahi ya watu wa chama chake. Hivi ndivyo Watanzania wote inatubidi kufanya. Serikali inabidi kumpongeza mbunge huyu (hata kama ni kutoka upinzani) na iwahimize wabunge wengine waige mfano huo. Vivyo hivyo, wanachama wa upinzani wasibeze juhudi zinazochukuliwa na serikali kukabili tatizo hili eti tu kwa sababu serikali inaongozwa na CCM.Hakukamatwa kweli?
Hivi yule aliyetoa gari la kuzikia na yule aliyegawa pipi kwa wagonjwa mbele ya makamera ni wa chama gani vileTunafanya kimya kimya siyo kuleta madumu kumi ya maji unatangazia dunia nzima!
Huijui ccm wewe .Akamatwe kwa kosa gani? Tusiingize siasa katika mambo ya kitaifa kama haya. Mbunge kafanya kitu kwa maslahi ya watu wa jimbo lake; siyo kwa maslahi ya watu wa chama chake. Hivi ndivyo Watanzania wote inatubidi kufanya. Serikali inabidi kumpongeza mbunge huyu (hata kama ni kutoka upinzani) na iwahimize wabunge wengine waige mfano huo. Vivyo hivyo, wanachama wa upinzani wasibeze juhudi zinazochukuliwa na serikali kukabili tatizo hili eti tu kwa sababu serikali inaongozwa na CCM.
Siwezi kuamini na nitawaona wanaofanya hivyo ni wajinga wa hali ya juu,kwasasa tunahitaji msaada kwaajili ya kua salama na sio siasa za majitaka zinazofanywa na wahuni wachache.Hivi tukikuambia njama za kumkamata mbunge kwa kosa la kusambaza hivi vifaa zinapangwa utaamini ?
Nadhani haujasoma vizuri ukaelewa mkuu,soma tena.Huwezi kufanya hivyo kila siku,pesa anatoa wapi?Halafu mnataka wasiikosoe serikali,yaani kila kitu iwe sawa na wao wajikite kuhudumia wanamchi kwa fedha zao,hakuna siasa za hivyo duniani!
Jamaa anashida ya kutokusoma/kuelewa vizuri hata mimi kuna sehemu amenijibu bila kuelewa vizuri.[emoji3][emoji3][emoji3]Kwani huyo ni Mbunge tunaongelea wabunge wewe umekurupuka kama fisimaji!
Sioni ubaya kuiga jambo jema,watu wenye akili watafurahi kuona wabunge wengine wameiga na kuzifanya jamii zao salama.Na wao muda si mlefu watafanyayao,huwa hawapendi kupitwa na jambo.
Ameileta mamako ndo maana hatupat maendeleo kwasababu ya mamako na ccm ambayo ni corona.
Mbona ninyi hata mgahawa bosi wenu anakuwa live kwenye Tv ana zindua?Tunafanya kimya kimya siyo kuleta madumu kumi ya maji unatangazia dunia nzima!
Wewe si hutaki waipinge serikali kwa jambo lolote na badala yake wawe wanatoa misaada kwa wananchi!Nadhani haujasoma vizuri ukaelewa mkuu,soma tena.
macson
Kuna mbunge wa upinzani aliwahi kukamatwa kwa kwenda kutoa msaada shuleni kisa hakuwa na kibali!Pia kule kagera kipindi cha tetemeko viongozi wa upinzani walizuiwa kwenda kutoa misaada!Ndio maana nikauliza kama hakukamatwa huyu mbunge!Akamatwe kwa kosa gani? Tusiingize siasa katika mambo ya kitaifa kama haya. Mbunge kafanya kitu kwa maslahi ya watu wa jimbo lake; siyo kwa maslahi ya watu wa chama chake. Hivi ndivyo Watanzania wote inatubidi kufanya. Serikali inabidi kumpongeza mbunge huyu (hata kama ni kutoka upinzani) na iwahimize wabunge wengine waige mfano huo. Vivyo hivyo, wanachama wa upinzani wasibeze juhudi zinazochukuliwa na serikali kukabili tatizo hili eti tu kwa sababu serikali inaongozwa na CCM.
Hakuna ubaya kuiga jambo jema.ila isiwe kusaka kiki,kwakuwa mwenzangu kafanya na mimi nifanye.kama utakumbuka yalio tokea segerea walifanya hivyohivyo kwa kuwa upande wapili wamefanya basi na sisi tufanye,mwishoe ikawa aibu.Sioni ubaya kuiga jambo jema,watu wenye akili watafurahi kuona wabunge wengine wameiga na kuzifanya jamii zao salama.
macson
Hahahahahaaa,kwahiyo kwa mbunge inatakiwa iwe kimya kimya ila kwa mama janet inatakiwa iwe na makamera juu!Daaah,aliyewaroga kafa kwakweli!Kwani huyo ni Mbunge tunaongelea wabunge wewe umekurupuka kama fisimaji!