fatakifataki
Senior Member
- Nov 2, 2009
- 134
- 60
Kwanza nawapa kongole mamlaka ya usimamizi wa barabara za mjini na vijijini (TARURA) kwa kuanzisha na kurahisisha huduma za parking kwa njia ya kulipia hususani maeneo ya miji na majiji makubwa hapa nchini.
Mapungufu makubwa niliyoyaona hapa ni Parking space nyingi ziko katika barabara ambazo zingepaswa kutumika mfano unakuta barabara ziko mbili lakini TARURA wamewapa reserve parking watu katika upande wa barabara almost moja na kisha ile iliyopaswa kutumika kama barabara nzima ya njia mbili sasa wananchi tunabanana kwenye njia moja.
Mfano mtaa wa lumumba Mwanza n.k
Pili hata hizi parking za pembeni ya barabara TARURA zinafinya njia na kusababisha msongamano ingawa mradi huu unaongeza wigo wa mapato ya serikali.
Tatu nashauri sasa jengeni maeneo maalum ambayo watu watapaki magari na kuendelea na huduma hii bila kusababisha mbanano au msongamano mijini ambao wakati mwingine unawaletea shida kutokana na ufinyu sasa uliotokana na huduma hizi.
Mapungufu makubwa niliyoyaona hapa ni Parking space nyingi ziko katika barabara ambazo zingepaswa kutumika mfano unakuta barabara ziko mbili lakini TARURA wamewapa reserve parking watu katika upande wa barabara almost moja na kisha ile iliyopaswa kutumika kama barabara nzima ya njia mbili sasa wananchi tunabanana kwenye njia moja.
Mfano mtaa wa lumumba Mwanza n.k
Pili hata hizi parking za pembeni ya barabara TARURA zinafinya njia na kusababisha msongamano ingawa mradi huu unaongeza wigo wa mapato ya serikali.
Tatu nashauri sasa jengeni maeneo maalum ambayo watu watapaki magari na kuendelea na huduma hii bila kusababisha mbanano au msongamano mijini ambao wakati mwingine unawaletea shida kutokana na ufinyu sasa uliotokana na huduma hizi.