KERO TARURA waliahidi kuanza ukarabati wa barabara ya Wakorea Tegeta A lakini mpaka sasa hawajafanya lolote

KERO TARURA waliahidi kuanza ukarabati wa barabara ya Wakorea Tegeta A lakini mpaka sasa hawajafanya lolote

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Msitari wa pambizo

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2014
Posts
3,098
Reaction score
5,451
Niliwahi kusema hapa kwamba tangu Serikali ijue kwamba watanzania ni wepesi wa kusahau na wala si wafuatuliaji basi wana ahidi na kudanganya watakavyo.

Mwezi March TARURA walitoa ahadi kupitia ukurasa rasmi wa Instagram wa Jamii forums kwamba ujenzi wa barabara ya Wakorea ( inayoelekea Tegeta A mpaka Goba mpaka) iliyoko manispaa ya Ubungo Dsm ungeanza. Lkn sasa tuko tunaelekea mwezi wa kumi na hakuna dalili zozote za ujenzi. Halaf mvua zikirudi tena wataanza kuja na drama hizi hizi za kwamba mvua zikikata tutajenga. Huwa mnatuonaje watanzania kwa mfano.


Screenshot_20240927_133951_Instagram.jpg

Pia soma ~ TARURA: Barabara ya Goba Wakorea hadi Tegeta itakuwa ya lami, njia za watembea kwa miguu na taa za barabarani
 
Miradi mingi inayoahidiwa na huyu bibi Huwa haitekelezwi.kwanza yeye hafuatilii kama Hadi imetekelezwa au hamna.
 
Niliwahi kusema hapa kwamba tangu serikali ijue kwamba watanzania ni wepesi wa kusahau na wala si wafuatuliaji basi wana ahidi na kudanganya watakavyo.

Mwezi March TARURA walitoa ahadi kupitia ukurasa rasmi wa Instagram wa Jamii forums kwamba ujenzi wa barabara ya Wakorea ( inayoelekea Tegeta A mpaka Goba mpaka) iliyoko manispaa ya Ubungo Dsm ungeanza. Lkn sasa tuko tunaelekea mwezi wa kumi na hakuna dalili zozote za ujenzi. Halaf mvua zikirudi tena wataanza kuja na drama hizi hizi za kwamba mvua zikikata tutajenga. Huwa mnatuonaje watanzania kwa mfano.


View attachment 3109128
nasisi huku tarime barabARA ya kuelekea nyamongo kupitia vijiji kadhaa bado ni kitendawili baada ya mkandarasi kuondoka site akiwa baadhi ya maeneo ilibaki kuweka tu lami, maana kokoto zilikwishawekwa kiasi ya kusubiria tu lami. tangu june hakuna kinachoendelea
 
Kuna wajinga Fulani wanasema mitano Tena !
Kumbe hata udiwani hawezi
Kwanza bibi hana kumbu kumbu,za kufuatilia alichokisema.
 
Niliwahi kusema hapa kwamba tangu serikali ijue kwamba watanzania ni wepesi wa kusahau na wala si wafuatuliaji basi wana ahidi na kudanganya watakavyo.

Mwezi March TARURA walitoa ahadi kupitia ukurasa rasmi wa Instagram wa Jamii forums kwamba ujenzi wa barabara ya Wakorea ( inayoelekea Tegeta A mpaka Goba mpaka) iliyoko manispaa ya Ubungo Dsm ungeanza. Lkn sasa tuko tunaelekea mwezi wa kumi na hakuna dalili zozote za ujenzi. Halaf mvua zikirudi tena wataanza kuja na drama hizi hizi za kwamba mvua zikikata tutajenga. Huwa mnatuonaje watanzania kwa mfano.


View attachment 3109128
Kuna mkopo mwingine tunausikilizia
 
Huku kwetu walimwaga hadi kokoto, kuna eneo la kujenga daraja. Ni miezi mitatu sasa. Hapa tumepigwa pazito sana.
 
Kwenye SGR vipande vilivyosimama ujenzi masika ikianza tena hilo tuta lote litamomonyoka,hali ni tete
 
Huku kwetu walimwaga hadi kokoto, kuna eneo la kujenga daraja. Ni miezi mitatu sasa. Hapa tumepigwa pazito sana.
Hapo watakausha ikifika mwez wa wa 11 ambao ni mwezi wa uchaguzi watakuja watazugazuga mkiwapa kura wanapotea
 
Kuna wajinga Fulani wanasema mitano Tena !
Kumbe hata udiwani hawezi
Kwanza bibi hana kumbu kumbu,za kufuatilia alichokisema.
Aisee huyu mama hamna kitu. Yani aliyepeleka jina lake kamati kuu ili awe makamu alitukosea sana watanzania, hata aispotuomba radhi hadaharani basi aombe radhi kwa Mungu wake
 
Usiamini hii serikali ya CHURA mm ninauwakika hao tayri pesa ilitoka wajanja wamekula. Baada ya kujua CHURA sio mfatiliaji.
All the best
 
Back
Top Bottom