Tashwishwi ya Biblia kweli ni kitabu cha Mungu?

Tashwishwi ya Biblia kweli ni kitabu cha Mungu?

TozzyMay

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2023
Posts
482
Reaction score
1,787
BAADHI YA MISTARI YA BIBLIA

2 samweli 1:18
(Kama ilivyoandikwa katika kitabu Cha YASHARI), akasema , wana wa Yuda wafundishwe haya.

Yoshua 10:13
Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia,
Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao.
Hayo, je! Hayakuandikwa ndani ya kitabu cha Yashari? Basi jua likasimama kimya katikati ya mbingu, wala halikufanya haraka kuchwa kama muda wa siku nzima.

Hesabu 21:14
Kwa hiyo imesemwa katika kitabu cha Vita vya BWANA,
Wahebu katika Sufa, .............

1 Mambo ya Nyakati 29:29
Basi habari za mfalme Daudi, mwanzo na mwisho, angalia, zimeandikwa katika tarehe ya Samweli, mwonaji, na katika tarehe ya Nathani, nabii, na katika tarehe ya Gadi, mwonaji;
(Now the acts of David the king, first and last, behold, they are written in the book of Samuel the seer, and in the book of Nathan the prophet, and in the book of Gad the seer)

1 Wafalme 14:29
[29]Na mambo yake Rehoboamu yaliyosalia, na yote aliyoyafanya, je! Hayakuandikwa katika kitabu-cha-tarehe cha wafalme wa Yuda?
(Now the rest of the acts of Rehoboam, and all that he did, are they not written in the book of the chronicles of the kings of Judah?)

Kwa wale wasomaji wa biblia, wenye uelewa na hii MISTARI ya BIBLIA naombeni msaada .
Kwa sababu sijaelewa kwanini Baadhi ya Vitabu vya BIBLIA inaonesha Kuna Vitabu vingine vinarejewa, mfano kitabu Cha YASHARI, ....etc?
TASHWISHWI,
Je, Vitabu hivi navyo vilikuwepo katika Biblia?
Kama vilikuwepo, Je vilikwenda wapi?
Na kama havikuwepo, kwanini vinarejewa katika BIblia?
 
Vitabu hivyo vipo. Vinarejewa kama vitabu vya historia tu na siyo kwa ajili ya mambo ya kiroho ndiyo maana havipo kwenye mkusanyiko wa vitabu vya biblia

Na viko vingine vimetajwa kwenye biblia zaidi ya hivyo ulivyovitaja
 
BAADHI YA MISTARI YA BIBLIA

2 samweli 1:18
(Kama ilivyoandikwa katika kitabu Cha YASHARI), akasema , wana wa Yuda wafundishwe haya.

Yoshua 10:13
Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia,
Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao.
Hayo, je! Hayakuandikwa ndani ya kitabu cha Yashari? Basi jua likasimama kimya katikati ya mbingu, wala halikufanya haraka kuchwa kama muda wa siku nzima.

Hesabu 21:14
Kwa hiyo imesemwa katika kitabu cha Vita vya BWANA,
Wahebu katika Sufa, .............

1 Mambo ya Nyakati 29:29
Basi habari za mfalme Daudi, mwanzo na mwisho, angalia, zimeandikwa katika tarehe ya Samweli, mwonaji, na katika tarehe ya Nathani, nabii, na katika tarehe ya Gadi, mwonaji;
(Now the acts of David the king, first and last, behold, they are written in the book of Samuel the seer, and in the book of Nathan the prophet, and in the book of Gad the seer)

1 Wafalme 14:29
[29]Na mambo yake Rehoboamu yaliyosalia, na yote aliyoyafanya, je! Hayakuandikwa katika kitabu-cha-tarehe cha wafalme wa Yuda?
(Now the rest of the acts of Rehoboam, and all that he did, are they not written in the book of the chronicles of the kings of Judah?)

Kwa wale wasomaji wa biblia, wenye uelewa na hii MISTARI ya BIBLIA naombeni msaada .
Kwa sababu sijaelewa kwanini Baadhi ya Vitabu vya BIBLIA inaonesha Kuna Vitabu vingine vinarejewa, mfano kitabu Cha YASHARI, ....etc?
TASHWISHWI,
Je, Vitabu hivi navyo vilikuwepo katika Biblia?
Kama vilikuwepo, Je vilikwenda wapi?
Na kama havikuwepo, kwanini vinarejewa katika BIblia?
Mungu hajawahi kubandika kitabu chochote .
 
Mungu yupi Sasa , maana kwenye dini ya kikristo Kuna mungu mwana, mungu baba, ambapo maria mama wa mabikira wote alimzaa yesu kristo , mtoto wa mungu

Je Maria ni nani, ni mungu Mama, wanashindwa kusema hivyo Kwa sababu ya mfumo Dume.

Ila kwenye ile sala ya BABA yetu ulio mbinguni,
Maria katajwa kama "mama wa mungu, tuombee sisi wakosefu mpaka saa ya kufa kwetu Amina ".

Je Amina ni nini Tena,
Kwa wengine hilo neno Amina ni jina la jinsia ya kike kwa waislam.

Kwa hiyo Amina anapokea maombezi ya wakristo wote .
 
BAADHI YA MISTARI YA BIBLIA

2 samweli 1:18
(Kama ilivyoandikwa katika kitabu Cha YASHARI), akasema , wana wa Yuda wafundishwe haya.

Yoshua 10:13
Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia,
Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao.
Hayo, je! Hayakuandikwa ndani ya kitabu cha Yashari? Basi jua likasimama kimya katikati ya mbingu, wala halikufanya haraka kuchwa kama muda wa siku nzima.

Hesabu 21:14
Kwa hiyo imesemwa katika kitabu cha Vita vya BWANA,
Wahebu katika Sufa, .............

1 Mambo ya Nyakati 29:29
Basi habari za mfalme Daudi, mwanzo na mwisho, angalia, zimeandikwa katika tarehe ya Samweli, mwonaji, na katika tarehe ya Nathani, nabii, na katika tarehe ya Gadi, mwonaji;
(Now the acts of David the king, first and last, behold, they are written in the book of Samuel the seer, and in the book of Nathan the prophet, and in the book of Gad the seer)

1 Wafalme 14:29
[29]Na mambo yake Rehoboamu yaliyosalia, na yote aliyoyafanya, je! Hayakuandikwa katika kitabu-cha-tarehe cha wafalme wa Yuda?
(Now the rest of the acts of Rehoboam, and all that he did, are they not written in the book of the chronicles of the kings of Judah?)

Kwa wale wasomaji wa biblia, wenye uelewa na hii MISTARI ya BIBLIA naombeni msaada .
Kwa sababu sijaelewa kwanini Baadhi ya Vitabu vya BIBLIA inaonesha Kuna Vitabu vingine vinarejewa, mfano kitabu Cha YASHARI, ....etc?
TASHWISHWI,
Je, Vitabu hivi navyo vilikuwepo katika Biblia?
Kama vilikuwepo, Je vilikwenda wapi?
Na kama havikuwepo, kwanini vinarejewa katika BIblia?
Kuna wahuni walikaa 320AD,wakachagua vitabu vinavyofaa agenda zao na kuacha vingine,na kusimika mfumo dume kwenye hiyo dini
 
Vitabu hivyo vipo. Vinarejewa kama vitabu vya historia tu na siyo kwa ajili ya mambo ya kiroho ndiyo maana havipo kwenye mkusanyiko wa vitabu vya biblia

Na viko vingine vimetajwa kwenye biblia zaidi ya hivyo ulivyovitaja
Hii Ni sentensi Hali ya Wakati uliopo Hali ya Kupotosha
 
BAADHI YA MISTARI YA BIBLIA

2 samweli 1:18
(Kama ilivyoandikwa katika kitabu Cha YASHARI), akasema , wana wa Yuda wafundishwe haya.

Yoshua 10:13
Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia,
Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao.
Hayo, je! Hayakuandikwa ndani ya kitabu cha Yashari? Basi jua likasimama kimya katikati ya mbingu, wala halikufanya haraka kuchwa kama muda wa siku nzima.

Hesabu 21:14
Kwa hiyo imesemwa katika kitabu cha Vita vya BWANA,
Wahebu katika Sufa, .............

1 Mambo ya Nyakati 29:29
Basi habari za mfalme Daudi, mwanzo na mwisho, angalia, zimeandikwa katika tarehe ya Samweli, mwonaji, na katika tarehe ya Nathani, nabii, na katika tarehe ya Gadi, mwonaji;
(Now the acts of David the king, first and last, behold, they are written in the book of Samuel the seer, and in the book of Nathan the prophet, and in the book of Gad the seer)

1 Wafalme 14:29
[29]Na mambo yake Rehoboamu yaliyosalia, na yote aliyoyafanya, je! Hayakuandikwa katika kitabu-cha-tarehe cha wafalme wa Yuda?
(Now the rest of the acts of Rehoboam, and all that he did, are they not written in the book of the chronicles of the kings of Judah?)

Kwa wale wasomaji wa biblia, wenye uelewa na hii MISTARI ya BIBLIA naombeni msaada .
Kwa sababu sijaelewa kwanini Baadhi ya Vitabu vya BIBLIA inaonesha Kuna Vitabu vingine vinarejewa, mfano kitabu Cha YASHARI, ....etc?
TASHWISHWI,
Je, Vitabu hivi navyo vilikuwepo katika Biblia?
Kama vilikuwepo, Je vilikwenda wapi?
Na kama havikuwepo, kwanini vinarejewa katika BIblia?
Swali ni kwamba Kiko wapi Kitabu Cha Yashari..!?
Inaonekana kimeandika mengi.
 
Vitabu hivyo vipo. Vinarejewa kama vitabu vya historia tu na siyo kwa ajili ya mambo ya kiroho ndiyo maana havipo kwenye mkusanyiko wa vitabu vya biblia

Na viko vingine vimetajwa kwenye biblia zaidi ya hivyo ulivyovitaja
Biblia inauliza maswali juu ya Vitabu hivyo, Kwa wasomaji wake,
watu wake watawezaje kujibu maswali haya ikiwa Vitabu tajwa havipo na wasomaji hawavijui?
Na havijapewa heshima yeyote!.
 
Vitabu hivyo vipo. Vinarejewa kama vitabu vya historia tu na siyo kwa ajili ya mambo ya kiroho ndiyo maana havipo kwenye mkusanyiko wa vitabu vya biblia

Na viko vingine vimetajwa kwenye biblia zaidi ya hivyo ulivyovitaja
Je, umevisoma Vitabu hivyo ukajua vimeandika Nini?
 
BAADHI YA MISTARI YA BIBLIA

2 samweli 1:18
(Kama ilivyoandikwa katika kitabu Cha YASHARI), akasema , wana wa Yuda wafundishwe haya.

Yoshua 10:13
Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia,
Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao.
Hayo, je! Hayakuandikwa ndani ya kitabu cha Yashari? Basi jua likasimama kimya katikati ya mbingu, wala halikufanya haraka kuchwa kama muda wa siku nzima.

Hesabu 21:14
Kwa hiyo imesemwa katika kitabu cha Vita vya BWANA,
Wahebu katika Sufa, .............

1 Mambo ya Nyakati 29:29
Basi habari za mfalme Daudi, mwanzo na mwisho, angalia, zimeandikwa katika tarehe ya Samweli, mwonaji, na katika tarehe ya Nathani, nabii, na katika tarehe ya Gadi, mwonaji;
(Now the acts of David the king, first and last, behold, they are written in the book of Samuel the seer, and in the book of Nathan the prophet, and in the book of Gad the seer)

1 Wafalme 14:29
[29]Na mambo yake Rehoboamu yaliyosalia, na yote aliyoyafanya, je! Hayakuandikwa katika kitabu-cha-tarehe cha wafalme wa Yuda?
(Now the rest of the acts of Rehoboam, and all that he did, are they not written in the book of the chronicles of the kings of Judah?)

Kwa wale wasomaji wa biblia, wenye uelewa na hii MISTARI ya BIBLIA naombeni msaada .
Kwa sababu sijaelewa kwanini Baadhi ya Vitabu vya BIBLIA inaonesha Kuna Vitabu vingine vinarejewa, mfano kitabu Cha YASHARI, ....etc?
TASHWISHWI,
Je, Vitabu hivi navyo vilikuwepo katika Biblia?
Kama vilikuwepo, Je vilikwenda wapi?
Na kama havikuwepo, kwanini vinarejewa katika BIblia?
Kwenye maandiko MATAKATIFU kuna maelezo mengine yameandikwa kama historia na mengine kwaajili ya wokovu wetu. So usichanganye
 
Back
Top Bottom