Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Agano la kale ndio biblia ya wayahud so Biblia ya kikristo imeunganisha agano la kale na jipya. Ila pia biblia yenyewe inatuambia mambo yote aliyofanya Yesu yangeandikwa hata dunia isingetosha. Lakin pia walizingatia zaid vitabu vinavyozungumzia wokovu wa mwanadamu na sio historia ya IsraelLakini ,Kuna maandiko mengine yamefichwa.
Au bado unaikataa.
Isingetosha kivipi?Agano la kale ndio biblia ya wayahud so Biblia ya kikristo imeunganisha agano la kale na jipya. Ila pia biblia yenyewe inatuambia mambo yote aliyofanya Yesu yangeandikwa hata dunia isingetosha. Lakin pia walizingatia zaid vitabu vinavyozungumzia wokovu wa mwanadamu na sio historia ya Israel
Unahtaji jibu unalotaka au unataka jibu chiefIsingetosha kivipi?
Mbona Yesu mwenyewe alitosha kuishi duniani na akafariki.
Hizi ni lugha mnazitumia kukatisha watu(wajinga) tamaa wasiendelee kutafuta Maarifa.
Umma upi mbona mimi naelewaMaelezo yanayoeleweka ndiyo yanahitajika na umma.
Nimesoma biblia sio vitabu vya historiaUmesoma kitabu Cha YASHARI?
Kweli we ni blender😂Mungu yupi Sasa , maana kwenye dini ya kikristo Kuna mungu mwana, mungu baba, ambapo maria mama wa mabikira wote alimzaa yesu kristo , mtoto wa mungu
Je Maria ni nani, ni mungu Mama, wanashindwa kusema hivyo Kwa sababu ya mfumo Dume.
Ila kwenye ile sala ya BABA yetu ulio mbinguni,
Maria katajwa kama "mama wa mungu, tuombee sisi wakosefu mpaka saa ya kufa kwetu Amina ".
Je Amina ni nini Tena,
Kwa wengine hilo neno Amina ni jina la jinsia ya kike kwa waislam.
Kwa hiyo Amina anapokea maombezi ya wakristo wote .